Tufahamiane/Tujuane/tutambuane wana JamiiForums

Lumumba ni tabu tupu....kwa hiyo uwezo ndo umeishia hapo?
 
Yaaan hata kama umetumwa mbinu unazozitumia kuchota watu ni za kitoto kinoma
 
Ungeanza mwenyewe mleta maada,vipi unataka uwatambue wenzio tu,lazma kunakitu unawinda siyo bure.
hahahaha eti nawinda hapana boss na mada kama mada nyingine tu am not a hunter
 


Mimi ni mpiga debe, na wakati mwingine nakua KONDAKTA.
 
Alafu tukifahamiana ! Sina haja ya kukujua wala kunijua tumekutana jf na tutaachana jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…