Tufahamiane/Tujuane/tutambuane wana JamiiForums

Mimi ni dereva mzoefu naitwa G'taxi,pamoja na kufanya kazi kwenye mashirika takribani miaka 10 lakini mimi ni taxi man nisiyepungukiwa na uzoefu wa kujua kila pembe ya mitaa ya jiji naloishi,upo hapo brother?
 
naona wewe umetumwa siyo bure, humu watu wanaishi Kama digidigi, tutambuane ili iweje?
ili uwarahisishie kazi wang'oa meno? 0
kwenda zako huko.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Hahahahaaaaaaa yani watu humu watu wamepinda mbaya, hongera mleta mada maana nimeburudiiika mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…