Tufahamiane/Tujuane/tutambuane wana JamiiForums

NA MASNICHI TUTAISHIA KUONANA WA JF COZ KUJUANA SANA NI KICHEFUCHEFU
 
Ts a sad fact to let u know kwamba you are not annonimous actually no one is.
its fine what u say but i enjoy what am being right now if u think i am not then GOOD FOR YOU.
 
KWA AWAMU HII HAKUNA HAJA YA KUFAHAMIANA HUMU KWENYE HII FORUM,,,,,,,,,,,,, NI KUTAFUTIANA MATATIZO TU
 
Mtoa mada umeenda mbali sana!!! Acha watu tuwe km tulivyo ili mambo mengine yaendeleee!!!!! [emoji3]
 
Watu WA jf kumbe wanapanic hivi.. Sijui wengi niwaweke kwenye kundi gni
 
Mimi nahitwa Bongo experience najua mambo yote magumu na mepesi yanayowashinda Wabongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…