Tufahamiane, wewe ni wa muonekano gani?

aahahahahaaa
wanangu mnawapa pass mi hamna

hapo nlikuwa nimetoka job ndio maana unashindwa kunigundua [emoji23]
Una utani na huyo baba mwenye hao watoto [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi nafanana na Daniel trejo kila kitu yule jamaa aliecheza filam kali kali kama vile machete.
 
Mods futa vitu km hv maana havitujengi wala kuleta mbinu ya kuleta pesa. Sanasana ni umbea tu.wenzenu wanawaza nucleair war, ww unawaza sifa za kijinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…