Tufahamishane kuhusu engine exhaust (mngurumo)

Tufahamishane kuhusu engine exhaust (mngurumo)

IST inabidi ifanyiwe Engine tuning kwanza... Kisha una funga muffler kubwa.
 
muungurumo upo katika Range Rover utadhani kundi la nyuki linapita walikaa sana chini hiyo ni moja ya mimi kulipenda lile dude..
Mkuu hilo dude nalo ni moto wa kuotea mbali.... Nalielewa sana sema basi tu haya maV8 ndiyo tunayokutana nayo sana hapa mjini.
 
Muungurumo wa kibabe inao NISSAN PATROL bhana
Hivi NISSAN huwa wanatatizo la SILENCE kwenye gari zao nini... Mana daa mpaka kero.

Likipita alfajiri lazima liamshe kijiji kizima kwa hizo kelele zake..

Hatari sana kama watu wakiwa wamekuwekea mark.
 
Aisee hakuna mlio mtamu kama wa landcruiser 80 then inafuatiwa ile ya land cruiser 100. Huwa unanifanya nitamani kumiliki ile gari kwa namna yeyote. Nakumbuka kipindi niko mdogo mzee alikuwa anapush lc 80 mpya ya ofisini kwao SUA. Ile mashine ilikuwa manual with diesel aisee acha tu. Tulikuwa tunapiga nayo tours as well kama kwenda kijiji n.k.
Alikuwa anaipiga chafu mbaya yani ina mzuka balaa kipindi akipangua gears wakati ana reverse na kuipa acceleration. That was when i started knowing and liking land cruisers. Aisee cruiser 80 ina mlio mtamu sana. It sound like a beast a real rugged suv!

Land cruiser 200 imepooza sana yani ipo kishoga sana esp. body design ingawa engine lake kubwa.
Kwenye tune department ndio kabisa wamefeli mno. It doesn't even sound like a v8.

They have just ruined the reputation of it i hate 200s! At least ya 2016 iliokuwa facelifted ndio kidogo inashawishi ila bado mlio "F"
Mhh kuna watu mko deep mpaka tunawaogopa...

Tisha sana mkuu, na hii ndiyo career yako.
 
Watu wanchanganya mnaposema V8 mnaamaanisha gari gani kuna gari nyingi sana ni V8 hadi V12 ikiwa inamaana gati hiyo ina engine ya piston 8 au 12 na engine ina shape V lakin land cruiser,nissan,VW,mercedes benz na zigine kibao ni hadi magari makubwa kama yapo ma V8 siri ya milio yote ipo kwenye muffler kama nilovyosema mwanzo ni pendekezo la mtengenezaji ana tune mlio wa gari ukisikia unajia ni gari gani ila unaweza kufanya modification unabadili na milio ukachange kabisa unavyotaka wewe
 
Embu rudi tena ukasikilize mlio wa cruiser lc200 series diesel na hiyo lc80 series diesel. Ukisikiliza jibu baki nalo moyoni maana najua utaona noma kukubali mziki wa lc200.
Ngoja niutafute mkuu nitakuletea in comparison na huu wa landcruiser 80 yenye 1HD-FTE. Ucheki hapa.

 
Hbr zenu,

Kuuliza si ujinga ndugu wana JF hasa ktk hili jukwaa letu la magari na vyombo vya usafiri..

Hivi hawa watu wanaobadili muungurumo wa gari zao mathalani IST unaweza kukikuta kinatoa sound/muungurumo mkubwa kama zile za team teza ama team subaru huwa wanazifanyaje?

Je hivi inawezekana tukafanya ule muungurumo wa cruiserV8 kwenye Premio, Yaani premio ilie kama V8??

V8 kwa upande wangu huwa inanivutia sana ule muungurumo wake, wakati mwingine huwa nadhani muungurumo nao una nafasi yake ya kumfanya dereva azidi kuihisi gari yake pindi aendeshapo (mzuka).

Hizo vurugu za kubadilisha hizo exhaust zinafanyika wapi kwa hapa dar??

Nini madhara yake ikiwa muungurumo utabadilishwa!

Nawasilisha.
Nimewahi kuangalia kipindi kinaitwa Pimp my Ride cha MTV. Walitengeneza gari wakaweka kifaa kinaitwa "vroom box" huwa kinabadili muungurumo wa gari electronically. Hivyo technically gari inaweza kutoa muungurumo uutakao.

Angalia hapa
 
Nimewahi kuangalia kipindi kinaitwa Pimp my Ride cha MTV. Walitengeneza gari wakaweka kifaa kinaitwa "vroom box" huwa kinabadili muungurumo wa gari electronically. Hivyo technically gari inaweza kutoa muungurumo uutakao.

Angalia hapa

Mkuu hebu rudi hapa uje utuelezee hii vroom box...

Mana nimeifuatilia na nimeielewa sana.

Imenifurahisha sana mana ina option ya kupakua sound effect za ingine nyingi tu...

Swali vroom box ina mafundi bongo... Zinapatikana bongo.
 
Hbr zenu,

Kuuliza si ujinga ndugu wana JF hasa ktk hili jukwaa letu la magari na vyombo vya usafiri..

Hivi hawa watu wanaobadili muungurumo wa gari zao mathalani IST unaweza kukikuta kinatoa sound/muungurumo mkubwa kama zile za team teza ama team subaru huwa wanazifanyaje?

Je hivi inawezekana tukafanya ule muungurumo wa cruiserV8 kwenye Premio, Yaani premio ilie kama V8??

V8 kwa upande wangu huwa inanivutia sana ule muungurumo wake, wakati mwingine huwa nadhani muungurumo nao una nafasi yake ya kumfanya dereva azidi kuihisi gari yake pindi aendeshapo (mzuka).

Hizo vurugu za kubadilisha hizo exhaust zinafanyika wapi kwa hapa dar??

Nini madhara yake ikiwa muungurumo utabadilishwa!

Nawasilisha.

kwanza ujue ule mlio huwa unafungwa vitu fulani "kifuani mwa engine" sio yale madude unayoyaona wanayafunga kwenye alteza na ist... Gari zenye ulio genuine ni SUBARU tu ambazi nying zinakuja zikiwa zimekuwa "tuned" ila alteza nying ukiona zina mlio huo ujue wamebadili muffler wenyewe wanaita kufung bunda.. ndio utaona mlio hauendani na speed ya gari.. mlio mkubwa ila accerelation ya kawaida... na ukumbuke kuwa kubadil muffler ama mfumo mzima wa exahaust bila kuwa na utaalam una hatarisha life spam ya engine yako.. maana kutoka kiwandan ilishawekwa gari ipumue kwa kiwango gani ss ukibana hewa ili upate mlio sio nzuri kwa gar.. unless umepata vifaa sahihi na "tuning" inafanyika tokea kwenye Engine
 
kwanza ujue ule mlio huwa unafungwa vitu fulani "kifuani mwa engine" sio yale madude unayoyaona wanayafunga kwenye alteza na ist... Gari zenye ulio genuine ni SUBARU tu ambazi nying zinakuja zikiwa zimekuwa "tuned" ila alteza nying ukiona zina mlio huo ujue wamebadili muffler wenyewe wanaita kufung bunda.. ndio utaona mlio hauendani na speed ya gari.. mlio mkubwa ila accerelation ya kawaida... na ukumbuke kuwa kubadil muffler ama mfumo mzima wa exahaust bila kuwa na utaalam una hatarisha life spam ya engine yako.. maana kutoka kiwandan ilishawekwa gari ipumue kwa kiwango gani ss ukibana hewa ili upate mlio sio nzuri kwa gar.. unless umepata vifaa sahihi na "tuning" inafanyika tokea kwenye Engine
Kwani kupata mlio mkubwa ktk gari kinachofanyika ni kubana mfumo au kupanua mfumo wa mafla.
 
Mlio inategemea na ukubwa wa injini ya gari husika. Hivyo kabla hujafikiria kubadilisha mlio na kutaka ufanane na gari fulanj angalia kifua cha gari lako likoje. Huwezi kupata mlio wa v8 kilimo kwanza kwenye mkonge. Au mlio wa subaru kwenye vits.

Angalia hata bomba la moshi ya hayo magari utajua kwa nini yanapishana ukubwa.
 
Mlio inategemea na ukubwa wa injini ya gari husika. Hivyo kabla hujafikiria kubadilisha mlio na kutaka ufanane na gari fulanj angalia kifua cha gari lako likoje. Huwezi kupata mlio wa v8 kilimo kwanza kwenye mkonge. Au mlio wa subaru kwenye vits.

Angalia hata bomba la moshi ya hayo magari utajua kwa nini yanapishana ukubwa.
Upo sahihi kabisa.
 
mi napenda ngurumo ya vespa zile kule unguja wanauliza "unachombo weye"?
 
Kuna mhindi pale dar ametumia sio chini ya usd 30,000 kwenye kui pimp hio WRX yake ya 2009 ,alii pimp hapo south africa.Ile gari muungurumo wake ni hatari afu ni very professional na Horse power yake ni 580.Acha kabisaa
 
Ngoja waje wenye magari, mimi miguu yangu haina exhaust.
 
Kuna mhindi pale dar ametumia sio chini ya usd 30,000 kwenye kui pimp hio WRX yake ya 2009 ,alii pimp hapo south africa.Ile gari muungurumo wake ni hatari afu ni very professional na Horse power yake ni 580.Acha kabisaa
Sasa hiyo gharama si angenunua gari lingine
 
Kuna mhindi pale dar ametumia sio chini ya usd 30,000 kwenye kui pimp hio WRX yake ya 2009 ,alii pimp hapo south africa.Ile gari muungurumo wake ni hatari afu ni very professional na Horse power yake ni 580.Acha kabisaa
Mkuu kufanyia tuning gari na mapping ni garama sanaaaa..

Hapo kutana na hiyo gari harafu jidanganye kuifuata ukitegemea kuwa ina speed 180 aibuuu mkuu.yaani ww na gari yako upo speed 180 mwenzio ndio kwanzaaa bado chombo haijafunguka inavyotakiwa.

Sema ndio hivyo kufanyia tunning na mapping ni garama sanaaa.

Ndio maana vijana wenye alteza kibongo bongo wanaishia kuua engine za gari zao maana wanachokifanya wao ni kuongeza muungurumo tu wa gari na sio kufanyia tunning kinachofuata baada ya mda mchache engine na.gearbox inakufa.

Kwanza wengi wanatumia magari ya automatic kitu ambacho sio sawa huwezi pata yale manjonjo halisi.


Harafu wengi hawafaham kuwa mapping inasaidia sana gari kubana mafuta.
 
Back
Top Bottom