Elections 2010 Tufahamishane walioshinda tender za vifaa vya uchaguzi

Elections 2010 Tufahamishane walioshinda tender za vifaa vya uchaguzi

Mtazamaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
5,937
Reaction score
1,440
wadau napenda kufahamishwa ni

  • kampuni gani ita/ zita husiika ku supply, kuchapisha makaratasi ya kupigia kura.?
  • Kampuni gani zimeshind ku supply maboksi na vifaa vingine vya uchaguzi.
  • kampuni hizi zimeshinda tender kwa shilingi ngapi?
  • Kuna kampuni za watanzania?

Natanguliza shukrani
 
Mtazamaji! safi sana. Ngoja tusubiri wenye data, wanaJF tupeane data ili tuone yawezekana ni Kinana na Meli zake
 

Kalamazoo Secure Solutions Ltd

Mill Lane
Northfield
Birmingham
West Midlands
B31 2NY

Tel: 0121 256 2000

Kama upo, tafadhali sana tuwasiliane kwa PM. Asante.
 
Kamanda Enigma, hii si ndiyo ile kampuni iliyoshinda tenda ya kuchapisha karatasi za kupigia kura, au??!!
 
Nikimuona nzi ametua napata hisia kuna kajambo nyuma ya pazia
 
Back
Top Bottom