Mtatya's boy
Member
- Jul 28, 2014
- 48
- 19
Hujanipata kabisa, Mimi najaribu kueleza ukweli mkuu, Unapo Ingia kwenye Biashara kwa sasa Targeti kufika mbali sana,
Leo hii sisi tunabadili biashara kila kukicha na hii ni kwa sababu ya kufuata mkumbo, Tunafanya biashara za kufuata mkumbo tu, Leo hii mtu anakurupuka kufuga kuku kisa tu trei moja ni sh 6000 yaani yeye ameamua kufuga kuku kwa sababu kuku wanalipa, mtu anaamua kulima mahindi kwa sbabu inalipa, mkuu kwa staili hii hatutafika mbali,
Chukulia mfano wa Mkampuni ya Watanzania yakujenga Barabara- Hawa walijua Tanzania ni yao na wakaendela kufanya biashara ki primitive cheki sasa WACHINA WANAVYO SHIKA TENDA, watanzania walikuwa wanapata tenda badala waendelee kuimarisha kampuni zao wanakimbila kufanya vitu vya ajabu,
Kuna mzee mmoja alikuwa na kampuni yake ya UJENZI ana alikuwa akipata Tenda kwa enzi hizo lakini, ila cha ajabu pesa utakuta kanunua Haice, mara kajenga baa, mara gest, na leo hii kampuni yake ya ujenzi haipo tena na hivyo vyote havipo,
Na makampuni mengi ya WABONGO YA UKANDARASI YATAKUFA MAKE HAYATAWEZA KUSHINDANA NA WACHINA NA WAHINDI HATA SIKU MOJA, NA NDO TUKIHUBIRI KUUNGANISHA NGUVU WATU WANATUONA WA AJABU
So mkuu kwa sasa unapoingia kwenye Biashara targeti mbali na usitageti kutafuta Utajiri na hii ndo Ttaizo kubwa kuliko lote kwa WATANZANIA WENGI SANA, LEO HII UKIULIZA KILA MTU KWA NINI ANATAKA KUFANYA BIASHARA LABUDA YA NYUMBA ZA KUPANGISHA ATAKUAMBIA ZINALIPA, KILA MTU UTASIKIA KITU FULANI KINALIPA, KUKU WA NYAMAMA WANALIPA, MAYAI YANALIPA,
Ok vinalipa but how about tomorow? MAKANDARASI WA KITANZANIA WALIKUWA WANAAMINI BIASHARA ZA UKANDARASI ZINALIPA SANA, ILA WAMEKUJA WACHINA NA WAMETEKA SOKO NA WANAZIDI KUMIMINIKA TANZANIA,
Kosa kubwa walilofanya Makampuni ya Kitanzania, hawakujipanga kwa baadae, na sisi ndo hivyo hivyo tutakuwa kama Makampuni ya Ujenzi wa Barabara na Nyumba,
Mkuu kama ninavyo ongea ni Ijinga viache lakini haya maneno yangu utakuja kuyakumbuka siku moja si leo wala kesho wala kesho kutwa ila ipo siku
NB: Uliniuliza nafanya nini. Mimi nina consultance firm yangu A town
Contact pseHELLOW GUYS, MI NIPO MAFINGA...NINA GUNIA 300 ZA MKAA, NITAKUUZIA KWA 15000Tsh.. gunia lina ujazo wa debe saba, ww waweza uza kwa bei ya chini mfano elfu thelathini kwa dsm na ukapata milion 9, toa 4.5m za manunuzi na 1m ya kusafirisha, unaweza baki na 3m faida...so kama uko tayari ni pm nitakupa contact..
Mimi nauza kwa sasa sababu sijawa imara ktk kusafirisha hadi DSM
Tafadhari orodhesha hata tatu hizo sustainable biashara ni zipi?Hakuna mahali nimesema na kufundisha, na sijakuuliza kama una kazi au ala, by the way kazi si kitu cha kujivunia hata siku moja, ni utumwa mkuu, mimi huwa naona aibu kuwaambia watu kwamba nina kazi make naonaga si sihu kabisa
Umeorozesha vitu vingi sana mkuu, but si sustainable kabisa, na hilo ndo tatizo kubwa sana la watanzania wengi pamoja na mimi, tunafanya subsatnce activities, tukiamini ndo ishu, na ndo ujanja, Mimi siamini katika hilo, na ni lazima tubadilike hata kama unauza mkaa na kuni basi iwe ni formal Business na sio informal, Ni muda tu mkuu systeam zitabadilika na tutakuja kujiraumu sana,
Razima tuwe na Biashara ambazo hata leo na kesho tukiwa vipofu au tukapata kilema cha maisha itaendelea kktutunza na itakuwepo daima na sio Biashara ambazo tukigua au tukifariki ndo mwisho wa move,
MFANO : KUNA MKUTANO RWANDA UNAANZA MWEZI UJAO KAMA SIKOSEI NA UTAWAJUMUSIHA WAJASARIMALI WADOGO KUTOKA NCHI ZA ASI, AMERICA YA KUSINI, ULAYA NA AFRICA, HII NI BONGE LA FURUSA, NA SIJUI NI WATANZANIA WANGAPI WATA ATENDI HIYO MEETING
NA MWSIHO KABISA MIMI SIKUFUNDISHI NA SIJAWA MWALIMU KWA SABABU HAPA SIO SHULE, ILA TUNAJARIBU KELIMISHANA MIMI MWENYEWE NACHOTA MAUJUZI YA KUTOSHA KUTOKA KWA MAGREAT
Ila take it from me mkuu the time is coming
Wewe lazima utakua ni jamaa wa fursa forever living etc. Mnazarau biashara ambazo ndio zimetulea mnataka wote tuuze virutubisho na sabuniHakuna mahali nimesema na kufundisha, na sijakuuliza kama una kazi au ala, by the way kazi si kitu cha kujivunia hata siku moja, ni utumwa mkuu, mimi huwa naona aibu kuwaambia watu kwamba nina kazi make naonaga si sihu kabisa
Umeorozesha vitu vingi sana mkuu, but si sustainable kabisa, na hilo ndo tatizo kubwa sana la watanzania wengi pamoja na mimi, tunafanya subsatnce activities, tukiamini ndo ishu, na ndo ujanja, Mimi siamini katika hilo, na ni lazima tubadilike hata kama unauza mkaa na kuni basi iwe ni formal Business na sio informal, Ni muda tu mkuu systeam zitabadilika na tutakuja kujiraumu sana,
Razima tuwe na Biashara ambazo hata leo na kesho tukiwa vipofu au tukapata kilema cha maisha itaendelea kktutunza na itakuwepo daima na sio Biashara ambazo tukigua au tukifariki ndo mwisho wa move,
MFANO : KUNA MKUTANO RWANDA UNAANZA MWEZI UJAO KAMA SIKOSEI NA UTAWAJUMUSIHA WAJASARIMALI WADOGO KUTOKA NCHI ZA ASI, AMERICA YA KUSINI, ULAYA NA AFRICA, HII NI BONGE LA FURUSA, NA SIJUI NI WATANZANIA WANGAPI WATA ATENDI HIYO MEETING
NA MWSIHO KABISA MIMI SIKUFUNDISHI NA SIJAWA MWALIMU KWA SABABU HAPA SIO SHULE, ILA TUNAJARIBU KELIMISHANA MIMI MWENYEWE NACHOTA MAUJUZI YA KUTOSHA KUTOKA KWA MAGREAT
Ila take it from me mkuu the time is coming
HELLOW GUYS, MI NIPO MAFINGA...NINA GUNIA 300 ZA MKAA, NITAKUUZIA KWA 15000Tsh.. gunia lina ujazo wa debe saba, ww waweza uza kwa bei ya chini mfano elfu thelathini kwa dsm na ukapata milion 9, toa 4.5m za manunuzi na 1m ya kusafirisha, unaweza baki na 3m faida...so kama uko tayari ni pm nitakupa contact..
Mimi nauza kwa sasa sababu sijawa imara ktk kusafirisha hadi DSM