Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuupole sana mkuu
Asante sana kwa ushauri. Tena homa imemuanza.
Mi kama daktari mzoefu nakushauri umwambie awe anayakamua kila mara yanapotokea ila akinywa dawa ya kuyakausha yasitoke atapata kansa ya titi hivyo kupelekea kukatwa titi, hivyo awe anayakamua tu yatakoma yenyewe.
Poleni sana. Kila yanapoaza kutoka awe anayakamua.
Mke wangu alijifungua yapata wiki ya tatu sasa. Bahati mbaya, mtoto hakuwa riziki.
Sasa maziwa yamekuwa yanajaa na kumwagika.. Afanyaje ili yakauke na yasiendelee kutoka?