Yanga wamefanya kipi ambacho Simba hawajafanya?Mm naona ya Ligikuu tuyaweke pembeni.
Unadhani ipi sababu hata tusiweze kusonga mbele zaidi ya hatua ya robo fainali kila mara tunapo shiriki michuano ya CAF..?
YANGA wametushinda nini ambacho sisi hatuna?
Nini kifanyike?
Ila katuambia ukweli tuupokee tuufanyie kaziMmevurugwa walai...wenye akili.
Huwezi waona wakihangaika hivi...wanajua Simba amefanya nini na kwa timu gani.
Thread kila dkk ni ishara ya mvurugo...
Medali hata Kitenge anazo nyingi za Wasafi joggingTufanye nini Kufikia Level za Kupata Medali kama Yanga?
Simba anaishia robo fainali. Michuano hiyo hiyo Yanga anatamka hadharani kuwa lengo lao ni kufika hatua ya makundi. Do you note something there?Simba haijaanza kuishia robo Sasa hivi hapo kwenye robo
Vs Mazembe
Vs Orlando
Vs kaizer
Vs Wydad
Na Al Ahly
Mtoa mada ana hoja hata kama ni experience inatosha
Mashabiki wa simba wanaposhangilia Wenger kuwa uwanjani hizo ni akili au uji wa maboga? Simba mashabiki wengi ni low class,maskini,bodaboda na wapiga debe. Mnawatumia kujiaminisha kuwa nyie ni mionggoni mwa club bora afrika,hahaha.....wakubwa wanawatumia kupata mafanikio nyie mnabaki na sifa eti tumekufa kiume,Mara sisi ndio bora afrika Mashariki na kati,blahblah nyingi na miaka ya karibuni hamna hata kombe LA ligi kuu.NARUDIA TENA DUNIANI HAKUNA TIMU INAYOJIELEWA INAYOSHANGILIA MEDALI sio MADRID WALA AL AHLY klabu zinazojielewa zote malengo yao ni kombe.
Swali wew unazo?Medali hata Kitenge anazo nyingi za Wasafi jogging
Kitambo sana back 1990's. Halafu let's talk about Champions League, there is where giants meet, ukiondoa hii special tournament ya AFL. Hayo mambo ya shirikisho waachie Namungo na Singida FG. Kwa hiyo kusema medali za shirikisho, tena mshindi wa pili sio bingwa, inahitaji ujasiri kusimama kujivunia eti ni 'Level' ! Serious?Swali wew unazo?
Hamna timu mle Mwakarobo FC.Ni vyema kufikia hatua za mwisho kabisa za kila shindano.
Kuishia katikati na kujipiga nafsi konde kumekuwa ndio mtindo wetu wa Maisha. Mimi kama Shabiki wa Simba naumia mno kwakweli.
Ifike hatua ukweli usemwe.
Kwanini kila mara robo robo robo robo...Hii inakela kwa kweli. Roho inaniuma hadi nakosa kula. Nakosa hata usingizi muda huu..
Kwanini timu Yangu simba inaniumiza hivi?
Basi kama inashindikana kwenye mashindano haya makubwa basi tujaribu kwenye shirikisho.
At least tukajitahidi.kule tukafikepo fainali ili kutupe confidence ya kuweza kuishinda laana ya robo fainali.
Inauma sana kusema kweli, Binafsi siwezi kuidanganya nafsi yangu na takwimu wala perfomance.
Kuna pahala viongozi wetu inabidi waangalie tunapokwama. Bila hivyo wale Yanga watakuja siku moja kufika fainali kwenye michuano mikubwa kabla yetu sisi, ikiwa ukweli ni kwamba sisi ndio tulio waonyesha njia.
Inakera, Inauma na Inaudhi kwa kweli.
Jamani viongozi wetu kama mpo humu mpitiepo kwenye comments za uzi huu ili mpate mawazi yatakayo tutoa kwenye laana ya robo fainali.
Wadau ambao mmeumizwa na karibuni kwa mawazo, Hopeful viongozi wataona na kufanyia kazi mawazo yetu kwa ujumla.
Mwambieni Hersi aache uoga. Atasemaje lengo la Yanga ni kufika makundi na sio mwakarobo? 😆Hamna timu mle Mwakarobo FC.
Makosa ya kibinadamu ndio nini mkuu?Aya mashindano hayana mambo yenu ya kipiuzi ya makosa ya kibinadamu.
Yaani kila mkicheza ligi lazima yatokee makosa ya kibinadamu, hamuwezi kupiga hatua kimataifa.
Uto yaatiana vidole halafu yananusana! 🖕Mwanasimba huyu ndio anaejitambua mwenye uchungu wa mafanikio.
Wanajifanya ku-distort History waonekane wao tu ndo wamevaa medali hii nchi. Mipumbavu sana mijitu ya Uto.Huwa najiuliza sana sipati jibu. Hivi yanga wanapodai ana medali ina maana Simba 1993 hawakuvaa? Simba ni finalist 1993 na walivaa medali so issue ya medals sio kitu maana wote wamevaa. Issue hapa tutoke kwenye medals tuchukue kombe ila kuanzia mashabiki, viongozi kina Privaldinho wote wanashupaza shingo medali medali vitu vya ajabu kabisa
Sasa kuchukua medali ni ishara kwamba umefika hatua nzuri kuliko kushangilia robo fainali kila kukicha...
Mimi.inaniuma kwa kweli kama mmeridhika na robo fainali mimi bado.
Naamini fainal success iwe kushiriki fainali. Hapo ndio unaweza kusema tumepambana.
Mzee medali ya 1993 kua serious basi, wewe uliiona una furaha na hiyo medal ya 93?Huwa najiuliza sana sipati jibu. Hivi yanga wanapodai ana medali ina maana Simba 1993 hawakuvaa? Simba ni finalist 1993 na walivaa medali so issue ya medals sio kitu maana wote wamevaa. Issue hapa tutoke kwenye medals tuchukue kombe ila kuanzia mashabiki, viongozi kina Privaldinho wote wanashupaza shingo medali medali vitu vya ajabu kabisa
Hilo kombe utalipata kwakutolowe robo?, Au hujui sifa za timu zinazovaa medali?. Una utahira ukiyofichika kwenye kauli ya Rage!!Ukiona timu yako inapambania medali badala ya kombe jua hio sio timu ni kikundi cha CHAKACHA au SINGELI.
NB:TIMU KUBWA ZINAZOJIELEWA KAMA SIMBA, AL AHLY, MAMELODI NA WYDAD hauwezi ukaona mashabiki au viongozi wake wakijisifia medali tena za kombe la LOOSERS.