Tufanye nini Kufikia Level za Kupata Medali kama Yanga?

Mm naona ya Ligikuu tuyaweke pembeni.

Unadhani ipi sababu hata tusiweze kusonga mbele zaidi ya hatua ya robo fainali kila mara tunapo shiriki michuano ya CAF..?

YANGA wametushinda nini ambacho sisi hatuna?

Nini kifanyike?
Yanga wamefanya kipi ambacho Simba hawajafanya?

Wekeza kwenye timu yako kama fedha unayo.
 
Ajabu michuano hii meanzia robo final na kutolewa any way mmkufa kibachera
 
Simba haijaanza kuishia robo Sasa hivi hapo kwenye robo
Vs Mazembe
Vs Orlando
Vs kaizer
Vs Wydad
Na Al Ahly
Mtoa mada ana hoja hata kama ni experience inatosha
 
Simba haijaanza kuishia robo Sasa hivi hapo kwenye robo
Vs Mazembe
Vs Orlando
Vs kaizer
Vs Wydad
Na Al Ahly
Mtoa mada ana hoja hata kama ni experience inatosha
Simba anaishia robo fainali. Michuano hiyo hiyo Yanga anatamka hadharani kuwa lengo lao ni kufika hatua ya makundi. Do you note something there?
 
NARUDIA TENA DUNIANI HAKUNA TIMU INAYOJIELEWA INAYOSHANGILIA MEDALI sio MADRID WALA AL AHLY klabu zinazojielewa zote malengo yao ni kombe.
Mashabiki wa simba wanaposhangilia Wenger kuwa uwanjani hizo ni akili au uji wa maboga? Simba mashabiki wengi ni low class,maskini,bodaboda na wapiga debe. Mnawatumia kujiaminisha kuwa nyie ni mionggoni mwa club bora afrika,hahaha.....wakubwa wanawatumia kupata mafanikio nyie mnabaki na sifa eti tumekufa kiume,Mara sisi ndio bora afrika Mashariki na kati,blahblah nyingi na miaka ya karibuni hamna hata kombe LA ligi kuu.
 
Kweli Manara aliona mbali Sana.
Simba ni ya kulaumiwa kwamba haina mafanikio yoyote...!

Ni sawa tu na Malawi Big Bullet.
Manara ni genius
 
Swali wew unazo?
Kitambo sana back 1990's. Halafu let's talk about Champions League, there is where giants meet, ukiondoa hii special tournament ya AFL. Hayo mambo ya shirikisho waachie Namungo na Singida FG. Kwa hiyo kusema medali za shirikisho, tena mshindi wa pili sio bingwa, inahitaji ujasiri kusimama kujivunia eti ni 'Level' ! Serious?
Yaani shirikisho ndio liwe reference wakati kuna mashindano makubwa juu yake?
 
Hamna timu mle Mwakarobo FC.
 
Aya mashindano hayana mambo yenu ya kipiuzi ya makosa ya kibinadamu.
Yaani kila mkicheza ligi lazima yatokee makosa ya kibinadamu, hamuwezi kupiga hatua kimataifa.
Makosa ya kibinadamu ndio nini mkuu?
Restore setting zako brother
 
Wanajifanya ku-distort History waonekane wao tu ndo wamevaa medali hii nchi. Mipumbavu sana mijitu ya Uto.

Na kabla Uto hawajafika fainali ya CAFCC HAKUNA miongoni mwao aliyekuwa anasema Simba haikuvaa medali mwaka 1993. Ila walipoingia fainali tu wakaanza kubweka bweka pimbi wale.
 
Medali ya nini?luzaz?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Medali bila ubingwa ni shanga tu....tena luzaz [emoji23][emoji23][emoji23]
 

Mzee medali ya 1993 kua serious basi, wewe uliiona una furaha na hiyo medal ya 93?
 
Hilo kombe utalipata kwakutolowe robo?, Au hujui sifa za timu zinazovaa medali?. Una utahira ukiyofichika kwenye kauli ya Rage!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…