Tufanye nini Kufikia Level za Kupata Medali kama Yanga?

Hebu jumkisha toka 1993 mpaka Sasa ni muda gani afu mje na ile hoja yenu ya yanga ana miaka 25 hajacheza makundi ndio mtajua nyie ni wapuuzi.
 
Mbona nyie mmeridhika na medali
 
Aya mashindano hayana mambo yenu ya kipiuzi ya makosa ya kibinadamu.
Yaani kila mkicheza ligi lazima yatokee makosa ya kibinadamu, hamuwezi kupiga hatua kimataifa.
Tena inashangaza unaona goli limeingia refa anasema kona. Au ile Lomalisa anapiga krosi nje ya mstari goli linafungwa weka kati. Au ile ya Geita faulo katikati ya uwanja refa anasema penati! Hatuwezi kufika mbali.
 
Pole sana mtani

Ifikie kipindi Simba wajifunze kwa wanaojua
 
We ni uto tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kama Ni rahisi kumfunga Al Ahly subiri na wewe utacheza nae!
 
Watu humu hawajui km mpira huwaunachezwa uwanjani sehemu ya wazi.

Mnaucheza mdomoni!
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…