Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Mwenye malengo mengi naomba anipunguzie na mimi, maana sina hata 1 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mambo nili plan nifanye mwaka huu;kufanya saving naenda vizuri sana maana hii kitu kwa Wabongo wengi ni mtihani lakini vilevile Kuna plot nilikuwa naitafutia pesa tangu 2023 lakini this Q1 tayari nimeshanunua cash na sasa nimeingia kwenye mipango ya Q2 ya kujenga,nipo level ya kupaua!Wakuu, Heri ya Pasaka
Ni juzi juzi tu tumeanza mwaka 2024. Mwaka unakimbia kwa speed ya 6G
Mara nyingi huwa tunafanya review za mipango yetu mwisho wa mwaka, kuangalia nini tumefanikisha na nini tumeshindwa kufanikisha.
This time nimeona bora niwe nafanya review kwa quarter.
Kati ya malengo niliyoweka ni pamoja na haya ;
1. Financial goals (Saving every month >=600k)
2. Self Improvement (Reading books, 1 every week)
3. Health care improvement (eating health & body exercise at least 4 days per week)
RESULTS
1. Financial goals: Nina savings za 2M hadi mda huu naandika hii thread
2. Sijamaliza kitabu cha kwanza nlichoanza kusoma🙁
3. Kwenye health nimefanikisha kula balanced diet vizuri, Ila mazoezi sina consistency, on average ni 2 days per week
HEADING TO Q2
1. Financial goals: Saving threshold naweka 1M per month
2. Self Improvement : Kwa april ntasoma vitabu vitatu. May na june vitabu sita
3. Health care : naacha vile-vile 4 days body exercise
Karibuni kushare progress yako katika Q1 kama kuna mistake ambazo umefanya au vitu vizuri umefanya tusifunze kwa pamoja.
Mwenyezi Mungu akijalia uzima na afya, nitarudi End of Q2 Kushare progress
Depal Mshana Jr cocastic Mgalikoko Mad Max RRONDO The Knowledge Seeker Beberu Ncha Kali Joseverest
🤣🤣🤣 unatuchoraaaaMwenye malengo mengi naomba anipunguzie na mimi, maana sina hata 1 😂
Usitlkute ni CEO wa entity f'lani😂🤣🤣🤣 unatuchoraaaa
Kizuri sanaMen are from mars women are from venus
Mtu mwenye malengo makubwa huyu, hatumii hata gari anapanda daladala ili afanye savingUsitlkute ni CEO wa entity f'lani😂
Kwakweli, ni kizuri...Kizuri sana
Hapana mkuu, am serious kabisaa🤣🤣🤣 unatuchoraaaa
Ahahahahahah.Usitlkute ni CEO wa entity f'lani😂
Ndo wengi wetu lakini tunaishi hivi ilimradi kunakucha, ila ukijiwekea malengo afu yakatimia kuna raha flani unapata, inapunguza stress automatic unajikuta kwenye maisha yenye furahaHapana mkuu, am serious kabisaa
Ni sahihi usemacho..sasa na save nini wakat nachopata ni direct proportional to my expenditure? Hand to mouthNdo wengi wetu lakini tunaishi hivi ilimradi kunakucha, ila ukijiwekea malengo afu yakatimia kuna raha flani unapata, inapunguza stress automatic unajikuta kwenye maisha yenye furaha
Siku zote hela haitoshi....Ni sahihi usemacho..sasa na save nini wakat nachopata ni direct proportional to my expenditure? Hand to mouth
Lets say ume savee weeeeee mpaka kias flan, ghafla shida inakukuta na huna source nyingine, what r u going to do???Siku zote hela haitoshi....
Hapo sasa ndo linakuja wazo la kufanya kitu cha kupata kipato cha ziada.
Unasomaga vitabu? If yes....soma hicho kitabu cha love yourself pay yourself first.Lets say ume savee weeeeee mpaka kias flan, ghafla shida inakukuta na huna source nyingine, what r u going to do???
Roho ngumu tu ndo unatoboaLets say ume savee weeeeee mpaka kias flan, ghafla shida inakukuta na huna source nyingine, what r u going to do???
I used to save money way back but am no longer convinced kwenye hili suala.Unasomaga vitabu? If yes....soma hicho kitabu cha love yourself pay yourself first.
Hicho kitu kama vile huwa kipo natural 🤣🤣🤣 ukiwa hauna hela matatizo hayaji, anza tu kusave ni kama vile hela inaattract yani, yanakuja yamepangana...
Hapo unatumia tu ila inategemea umesave kwa ajili gani???
Kweli kabisa matatizo ukiyaendekeza ndo yanazidi.....ndo unasikiaga ukiweka tu hela kidogo mara unasikia ba mdogo huko kameza shoka huwa nacheka hii manenoRoho ngumu tu ndo unatoboa
Saving inatakiwa iwe na malengo ndio, unasave kwa ajili ya nini?? Sio kuweka tu hela kama zinasubiri kutotoaI used to save money way back but am no longer convinced kwenye hili suala.
Saving nazofanya siku hiz ni short term kwa ajilnya malengo ya hapa na pale.
Mfano najua miezi mi 3 ijayo natakiwa kulipa ada, hapo ni save save ili ukifika muda nikalipe, but for ling term purpose nilisha badili mtazamo kabisa.
Now days mimi ni muumini wa kutengeneza pesa zaid kuliko kutunza.
Am convinced and believe kwamba saving should be something automatic. Siwez kujihangaisha ku save pesa ambazo nitazitumia muda wowote ule ambapo siwez jua ni lini.
Kama unafanya biashara and if ur biznes keeps on generating money that exceeds your expenses bas hapo unakua umefikia uhuru wa kwel wa kipato.
Hiki ndio nakifanya kwq nguvu kwasasa
hahaha SecurityAhahahahahah.
Ofcz kwel mimi ni CEO hata Jane Msowoya analijua hilo ,ila sasa kichekesho. Kwan ukiwa machinga una kabiashara kako, wewe su ndio CEO au kuna mwingine??
are you serious ? maana naona yanataka kunitia ukichaaMwenye malengo mengi naomba anipunguzie na mimi, maana sina hata 1 😂