naggy
Member
- Apr 27, 2011
- 97
- 156
Ni Wakati muafaka sasa tufanye foreign investment kwenye usimamizi wa demokrasia na utoaji na utendaji haki nchini, kama tunavyofanya kwenye madini, mapori, na bandari, gas, na kwingineko, kwa kuwa sisi hatuko vizuri kwenye eneo lolote lile. Tunapovutia wawekezaji kwenye nyanja za kiuchumi, tusisahau pia kwenye nyanja za kisiasa, haki, utawala wa sheria, usimamizi wa sheria na uwajibikaji.
Hii itatusaidia kupata viongozi bora ambao watatengeneza mifumo bora na wenye kuwajibika. Itatusaidia pia kuwafanya wannanchi wajitambue kwa kuwa wao kwa umoja wao ndiyo wanaoweza kuwawajibisha viongozi wasiofaa!
Hii itatusaidia kupata viongozi bora ambao watatengeneza mifumo bora na wenye kuwajibika. Itatusaidia pia kuwafanya wannanchi wajitambue kwa kuwa wao kwa umoja wao ndiyo wanaoweza kuwawajibisha viongozi wasiofaa!