Uchaguzi 2020 Tufanye Uchaguzi wa Wabunge na Madiwani, Rais Magufuli hana Mpinzani

Uchaguzi 2020 Tufanye Uchaguzi wa Wabunge na Madiwani, Rais Magufuli hana Mpinzani

Alex Fredrick

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
697
Reaction score
1,358
Haya ni maoni na mtazamo wangu kama vile wengine wanavyotoa maoni yao kupitia sehemu mbalimbali

Uchaguzi mwakani naona ufanyike kwa Wabunge na Madiwani lakini kwenye Urais tusipoteze muda maana hakuna wa kuweza kushindana na Rais Magufuli

Hizo pesa zingine zielekezwe kwenye miradi ya Wananchi,Sioni viashiria vyovyote kwamba kuna Upinzani utakaoweza kupata kura za Urais tofauti na Rais Magufuli

Vyama vya Upinzani vimeshapoteza Dira na mwelekeo kwa maana sasa havina sera wala mkakati wowote utakao washawishi wananchi kuwapigia kura

Ndani ya miaka minne ya Urais wa Dr John Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo hatukuyaona miongo kama mitatu

Wananachi wanaitaji Maendeleo tu na sio Demokrasia madhali tuna Kiongozi mwenye maono Dr John Magufuli basi tuendelee kumpa ushirikiano siku zote

Alex Fredrick

Dodoma
 
Upeo wako ni Mkubwa sana tena Sana. Upinzani nchi hii ndio sasa umefika sehemu sahihi kama tuonavyo . Nasema wamefikia sehemu sahihi maana wamegundua wanaeshindana nae ni mtu/kikundi ya watu gani. Kuna mbinu watakuja nayo nadhani mazingaombwe waliyofanyiwa hayatajirudia. mwisho wa siku tuombe Mungu waendelee kuwa wastaarabu ili wasije kiCCM/Kimabavu, maana wakija kiCCM/Kimabavu basi nchi yetu itakuwa imechanika vipande vipande. Ndugu yangu tuwaombe wapinzani waendelee kuwa wapole lakini nadhani kwa style ya KiCCM- CCM uvumilivu utawashinda Mwakani. Wanapsychologia wanasema Kuna muda Panya akikimbizwa na Paka muda mrefu basi inafikia muda panya usema liwalo na liwe na uanza kujitetea.Tusifikie huko basi so busara zitumike tuendelee kupendana, kuheshimiana na kuwa wamoja kama taifa moja.Remember!!! 'Good timber doesn't grow with ease, the strong the winds the stronger the trees'. Wapinzani wamepitishwa kwanye tanuru la moto wameiva kwa sasa.
 
Mbona una kiherere wewe mtu, kwani 2020 bado Maguguli atakuwa Rais? Si tumeambiwa ttusishirikiane na Wenyeviti watakaopita bila kupingwa na tunasubiri maelekezo toka kwa Zitto Kabwe and Co? 😂😂😂

Wallah nataka kulia unataka kusema imetoka hiyo mpaka 2025? 😵😵😵
 
Kwenye uwanja wa usawa na haki huyo unayempigia upatu ni mwepesi kama karatasi.Imagine Pamoja na kununua midege na kujenga midaraja bado ni muoga kwa sababu anajua zile kura 3.5 ziada za lowassa na za wasio na ajira hadi sasa zitammaliza.Anyway endelea kumwambia kuwa hana mpinzani tumsuprise!
 
Wazo zuri vipi hatutowaudhi wahisani wakatunyima misaada kuzuia haki za vyama vingine kushiriki
 
Haya ni maoni na mtazamo wangu kama vile wengine wanavyotoa maoni yao kupitia sehemu mbalimbali

Uchaguzi mwakani naona ufanyike kwa Wabunge na Madiwani lakini kwenye Urais tusipoteze muda maana hakuna wa kuweza kushindana na Rais Magufuli

Hizo pesa zingine zielekezwe kwenye miradi ya Wananchi,Sioni viashiria vyovyote kwamba kuna Upinzani utakaoweza kupata kura za Urais tofauti na Rais Magufuli

Vyama vya Upinzani vimeshapoteza Dira na mwelekeo kwa maana sasa havina sera wala mkakati wowote utakao washawishi wananchi kuwapigia kura

Ndani ya miaka minne ya Urais wa Dr John Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo hatukuyaona miongo kama mitatu

Wananachi wanaitaji Maendeleo tu na sio Demokrasia madhali tuna Kiongozi mwenye maono Dr John Magufuli basi tuendelee kumpa ushirikiano siku zote

Alex Fredrick

Dodoma
anao humo humo ccm
 
Mawazo yaliyo enda chooni
Haya ni maoni na mtazamo wangu kama vile wengine wanavyotoa maoni yao kupitia sehemu mbalimbali

Uchaguzi mwakani naona ufanyike kwa Wabunge na Madiwani lakini kwenye Urais tusipoteze muda maana hakuna wa kuweza kushindana na Rais Magufuli

Hizo pesa zingine zielekezwe kwenye miradi ya Wananchi,Sioni viashiria vyovyote kwamba kuna Upinzani utakaoweza kupata kura za Urais tofauti na Rais Magufuli

Vyama vya Upinzani vimeshapoteza Dira na mwelekeo kwa maana sasa havina sera wala mkakati wowote utakao washawishi wananchi kuwapigia kura

Ndani ya miaka minne ya Urais wa Dr John Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo hatukuyaona miongo kama mitatu

Wananachi wanaitaji Maendeleo tu na sio Demokrasia madhali tuna Kiongozi mwenye maono Dr John Magufuli basi tuendelee kumpa ushirikiano siku zote

Alex Fredrick

Dodoma
 
Hiyo itajulikana tu kama kuna uchaguzi wa Huru na Haki ........ otherwise, siyo Rais peke yake asiye na mpizani. Hata CCM hawana mpinzani .... tumeona yanayoendelea serikali za mitaa. In fact, hakuna haja ya kufanya uchaguzi wowote mwakani ...!
 
Wanafanya uchaguzi Marekani, Ujerumani, Wingereza na Scannavian countries ambako watu wanaishi kama malaika kuna viwanda sembuse wewe mtanzania mwenye vyerehani 2 na madaraja mkaita flyovers!!!

Maoni yako kwanini hukumwambia mkeo tu!!! Tunataka maoni yenye mantiki, hoja na yanayobeba mawazo na mitazamo ya wengine.
 
Haya ni maoni na mtazamo wangu kama vile wengine wanavyotoa maoni yao kupitia sehemu mbalimbali

Uchaguzi mwakani naona ufanyike kwa Wabunge na Madiwani lakini kwenye Urais tusipoteze muda maana hakuna wa kuweza kushindana na Rais Magufuli

Hizo pesa zingine zielekezwe kwenye miradi ya Wananchi,Sioni viashiria vyovyote kwamba kuna Upinzani utakaoweza kupata kura za Urais tofauti na Rais Magufuli

Vyama vya Upinzani vimeshapoteza Dira na mwelekeo kwa maana sasa havina sera wala mkakati wowote utakao washawishi wananchi kuwapigia kura

Ndani ya miaka minne ya Urais wa Dr John Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo hatukuyaona miongo kama mitatu

Wananachi wanaitaji Maendeleo tu na sio Demokrasia madhali tuna Kiongozi mwenye maono Dr John Magufuli basi tuendelee kumpa ushirikiano siku zote

Alex Fredrick

Dodoma
sijaona cha maana alichofanya zaidi ya u prefect tu wa kutishatisha watu.

kama yeye mwamba, aruhusu wapinzani.

kuna watu wana uwezo wa kufanya yote aliyoyafanya huyu "mungu" wako and more. tena bila kupiga watu risasi wala kupeleka maendeleo kiupendeleo vijijini kwao.
tena bila ya kuhitaji kuwa na msululu wa mabodigadi wala kuandama na ma V8 kwenye ziara kama mfalme.
tena bila kuongea shombo kwenye speeches.
hawa wapo wengi wa kutosha ndiyo maana huyo "mungu" wako anatumia nguvu nyingi sana kuwa suppress wasionekane.

kama yeye ni mwanaume kweli awaache aone!
 
Mnazungumzia Upinzani upi huo?huu wa kutafuna Ruzuku za vyama?Huu wa kuendelea kuwa wenyeviti wa kudumu?

Tusipoteze muda na huu ubabaishaji maana tumechelewa sana
 
Haya ni maoni na mtazamo wangu kama vile wengine wanavyotoa maoni yao kupitia sehemu mbalimbali

Uchaguzi mwakani naona ufanyike kwa Wabunge na Madiwani lakini kwenye Urais tusipoteze muda maana hakuna wa kuweza kushindana na Rais Magufuli

Hizo pesa zingine zielekezwe kwenye miradi ya Wananchi,Sioni viashiria vyovyote kwamba kuna Upinzani utakaoweza kupata kura za Urais tofauti na Rais Magufuli

Vyama vya Upinzani vimeshapoteza Dira na mwelekeo kwa maana sasa havina sera wala mkakati wowote utakao washawishi wananchi kuwapigia kura

Ndani ya miaka minne ya Urais wa Dr John Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo hatukuyaona miongo kama mitatu

Wananachi wanaitaji Maendeleo tu na sio Demokrasia madhali tuna Kiongozi mwenye maono Dr John Magufuli basi tuendelee kumpa ushirikiano siku zote

Alex Fredrick

Dodoma

Sio kwamba hana mpinzani bali hawezi ushindani, na kwakuwa wapambe wake mmeshajua jamaa yenu hana siasa za ushawishi na haziwezi, mnaweka mazingira ya kuhakikisha hashindani. Kama ana kubalika basi anakubalika na baadhi ya watanzania na wali sio kwamba watanzania wote wanamkubali. Hivyo aingie ashindane, vinginevyo anajisi box la kura kama kawaida yake.
 
Haya ni maoni na mtazamo wangu kama vile wengine wanavyotoa maoni yao kupitia sehemu mbalimbali

Uchaguzi mwakani naona ufanyike kwa Wabunge na Madiwani lakini kwenye Urais tusipoteze muda maana hakuna wa kuweza kushindana na Rais Magufuli

Hizo pesa zingine zielekezwe kwenye miradi ya Wananchi,Sioni viashiria vyovyote kwamba kuna Upinzani utakaoweza kupata kura za Urais tofauti na Rais Magufuli

Vyama vya Upinzani vimeshapoteza Dira na mwelekeo kwa maana sasa havina sera wala mkakati wowote utakao washawishi wananchi kuwapigia kura

Ndani ya miaka minne ya Urais wa Dr John Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo hatukuyaona miongo kama mitatu

Wananachi wanaitaji Maendeleo tu na sio Demokrasia madhali tuna Kiongozi mwenye maono Dr John Magufuli basi tuendelee kumpa ushirikiano siku zote

Alex Fredrick

Dodoma
Namba ya simu please, na mtaa gani unaishi hapo Dodoma wakujali kwa 'uzarendo' wako.
Umeonyesha moyo mgumu kama alaye ugali ndani ya choo cha stendi.
 
Kufanya makosa si kosa,kosa ni kurudia kosa.

CCM wenyewe wanajua walipokosea
 
Haya ni maoni na mtazamo wangu kama vile wengine wanavyotoa maoni yao kupitia sehemu mbalimbali

Uchaguzi mwakani naona ufanyike kwa Wabunge na Madiwani lakini kwenye Urais tusipoteze muda maana hakuna wa kuweza kushindana na Rais Magufuli

Hizo pesa zingine zielekezwe kwenye miradi ya Wananchi,Sioni viashiria vyovyote kwamba kuna Upinzani utakaoweza kupata kura za Urais tofauti na Rais Magufuli

Vyama vya Upinzani vimeshapoteza Dira na mwelekeo kwa maana sasa havina sera wala mkakati wowote utakao washawishi wananchi kuwapigia kura

Ndani ya miaka minne ya Urais wa Dr John Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo hatukuyaona miongo kama mitatu

Wananachi wanaitaji Maendeleo tu na sio Demokrasia madhali tuna Kiongozi mwenye maono Dr John Magufuli basi tuendelee kumpa ushirikiano siku zote

Alex Fredrick

Dodoma
Kwa hesabu kama hizo nchi kama Marekani, Uingereza, Ujerumani etc zisingefanya kabisa uchaguzi kwa kuwa zimeshaendelea! Uchaguzi ni takwa la kikatiba ndugu mwana ccm!

Saa 24 huyo 'Malaika' wenu anawaza namna ya kuhujumu upinzani licha ya propanda mfu kama zako! Kama anajiamini mwambie aweke mazingira sawa ya kisiasa ikiwemo kuruhusu mikutano ya vyama vya upinzani! Yeye Jiwe anajua hali halisi, wewe uliyeko Kongwa huko huwezi elewa kitu!
 
Back
Top Bottom