Uchaguzi 2020 Tufanye Uchaguzi wa Wabunge na Madiwani, Rais Magufuli hana Mpinzani

Uchaguzi 2020 Tufanye Uchaguzi wa Wabunge na Madiwani, Rais Magufuli hana Mpinzani

Haya ni maoni na mtazamo wangu kama vile wengine wanavyotoa maoni yao kupitia sehemu mbalimbali

Uchaguzi mwakani naona ufanyike kwa Wabunge na Madiwani lakini kwenye Urais tusipoteze muda maana hakuna wa kuweza kushindana na Rais Magufuli

Hizo pesa zingine zielekezwe kwenye miradi ya Wananchi,Sioni viashiria vyovyote kwamba kuna Upinzani utakaoweza kupata kura za Urais tofauti na Rais Magufuli

Vyama vya Upinzani vimeshapoteza Dira na mwelekeo kwa maana sasa havina sera wala mkakati wowote utakao washawishi wananchi kuwapigia kura

Ndani ya miaka minne ya Urais wa Dr John Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo hatukuyaona miongo kama mitatu

Wananachi wanaitaji Maendeleo tu na sio Demokrasia madhali tuna Kiongozi mwenye maono Dr John Magufuli basi tuendelee kumpa ushirikiano siku zote

Alex Fredrick

Dodoma
Naomba usinihusishe kwenye mambo ya uchafuzi, sikuniandikisha na sitajiandikisha tena ng'o.
 
Haya ni maoni na mtazamo wangu kama vile wengine wanavyotoa maoni yao kupitia sehemu mbalimbali

Uchaguzi mwakani naona ufanyike kwa Wabunge na Madiwani lakini kwenye Urais tusipoteze muda maana hakuna wa kuweza kushindana na Rais Magufuli

Hizo pesa zingine zielekezwe kwenye miradi ya Wananchi,Sioni viashiria vyovyote kwamba kuna Upinzani utakaoweza kupata kura za Urais tofauti na Rais Magufuli

Vyama vya Upinzani vimeshapoteza Dira na mwelekeo kwa maana sasa havina sera wala mkakati wowote utakao washawishi wananchi kuwapigia kura

Ndani ya miaka minne ya Urais wa Dr John Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo hatukuyaona miongo kama mitatu

Wananachi wanaitaji Maendeleo tu na sio Demokrasia madhali tuna Kiongozi mwenye maono Dr John Magufuli basi tuendelee kumpa ushirikiano siku zote

Alex Fredrick

Dodoma
Haya mawazo potofu yanatoka kwenye watu wachache wanaoandika kuwakilisha kikundi kidogo cha watawala. Magufuli hajawahi kushinda chochote ambacho kimesimamiwa sawasawa. Aidha amehujumu mshindani wakati wa kugombea ubunge au amepewa kura za kuibwa na Jaji Lubuva.

Kiujumla Magufuli ni mwepesi kama karatasi na mwoga kama mjusi wa nyumbani.
 
Haya mawazo potofu yanatoka kwenye watu wachache wanaoandika kuwakilisha kikundi kidogo cha watawala. Magufuli hajawahi kushinda chochote ambacho kimesimamiwa sawasawa. Aidha amehujumu mshindani wakati wa kugombea ubunge au amepewa kura za kuibwa na Jaji Lubuva.

Kiujumla Magufuli ni mwepesi kama karatasi na mwoga kama mjusi wa nyumbani.
Ukizunguka mkoani kote ndo utajua Rais Magufuli anafanya nini,Lakini muda wote upo Dar huwezi kuelewa
 
Nchi itaoza kabisa. Bunge litatunga sheria ya kumfanya rais aabudiwe.

Linaweza kuja na amri kumi za jiwe. Kuwalazimisha wajinga wamuimbie mapambio na sifa.
 
sijaona cha maana alichofanya zaidi ya u prefect tu wa kutishatisha watu.

kama yeye mwamba, aruhusu wapinzani.

kuna watu wana uwezo wa kufanya yote aliyoyafanya huyu "mungu" wako and more. tena bila kupiga watu risasi wala kupeleka maendeleo kiupendeleo vijijini kwao.
tena bila ya kuhitaji kuwa na msululu wa mabodigadi wala kuandama na ma V8 kwenye ziara kama mfalme.
tena bila kuongea shombo kwenye speeches.
hawa wapo wengi wa kutosha ndiyo maana huyo "mungu" wako anatumia nguvu nyingi sana kuwa suppress wasionekane.

kama yeye ni mwanaume kweli awaache aone!
wewe ni mgeni dunia hii ya Tanzania rudi jupita
 
Nyie lia lia humu tunawajua humu,Nchi inasonga na Watanzania wanaelewa hili
 
Wazo zuri vipi hatutowaudhi wahisani wakatunyima misaada kuzuia haki za vyama vingine kushiriki
Mkuu mulaga naomba kuuliza,hivi 'wahisani wetu' wanapata manufaa gani haki za vyama vya kisiasa zinapozingatiwa nchi au je,vyama vya siasa vikikandamizwa wao wanapata hasara gani?
 
Mkuu mulaga naomba kuuliza,hivi 'wahisani wetu' wanapata manufaa gani haki za vyama vya kisiasa zinapozingatiwa nchi au je,vyama vya siasa vikikandamizwa wao wanapata hasara gani?
Lengo ni kuepusha gharama za kuhudumia wakimbizi ukosefu wa haki unaleta vita,watawala Wa Africa ndo chanzo cha wakimbizi Africa sababu ya uroho na ukosefu wa malezi bora utotoni
 
Bora kuacha chaguzi za wabunge na madiwani na kufanya uchaguzi wa Rais utakao simamiwa na tume huru.
 
Hiyo katiba unayotumia ya ccm au ya wazazi wako?
Maoni yangu tu.
 
Haya ni maoni na mtazamo wangu kama vile wengine wanavyotoa maoni yao kupitia sehemu mbalimbali

Uchaguzi mwakani naona ufanyike kwa Wabunge na Madiwani lakini kwenye Urais tusipoteze muda maana hakuna wa kuweza kushindana na Rais Magufuli

Hizo pesa zingine zielekezwe kwenye miradi ya Wananchi,Sioni viashiria vyovyote kwamba kuna Upinzani utakaoweza kupata kura za Urais tofauti na Rais Magufuli

Vyama vya Upinzani vimeshapoteza Dira na mwelekeo kwa maana sasa havina sera wala mkakati wowote utakao washawishi wananchi kuwapigia kura

Ndani ya miaka minne ya Urais wa Dr John Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo hatukuyaona miongo kama mitatu

Wananachi wanaitaji Maendeleo tu na sio Demokrasia madhali tuna Kiongozi mwenye maono Dr John Magufuli basi tuendelee kumpa ushirikiano siku zote

Alex Fredrick

Dodoma
Naunga mkono hoja

P
 
Na vipi kuhusu wao kusemekana kuhusika na machafuko ya baadhi ya nchi za Afrika?
Lengo ni kuepusha gharama za kuhudumia wakimbizi ukosefu wa haki unaleta vita,watawala Wa Africa ndo chanzo cha wakimbizi Africa sababu ya uroho na ukosefu wa malezi bora utotoni
 
Haya ni maoni na mtazamo wangu kama vile wengine wanavyotoa maoni yao kupitia sehemu mbalimbali

Uchaguzi mwakani naona ufanyike kwa Wabunge na Madiwani lakini kwenye Urais tusipoteze muda maana hakuna wa kuweza kushindana na Rais Magufuli

Hizo pesa zingine zielekezwe kwenye miradi ya Wananchi,Sioni viashiria vyovyote kwamba kuna Upinzani utakaoweza kupata kura za Urais tofauti na Rais Magufuli

Vyama vya Upinzani vimeshapoteza Dira na mwelekeo kwa maana sasa havina sera wala mkakati wowote utakao washawishi wananchi kuwapigia kura

Ndani ya miaka minne ya Urais wa Dr John Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo hatukuyaona miongo kama mitatu

Wananachi wanaitaji Maendeleo tu na sio Demokrasia madhali tuna Kiongozi mwenye maono Dr John Magufuli basi tuendelee kumpa ushirikiano siku zote

Alex Fredrick

Dodoma
Siku zote wapinzani walipokuwa wanalalamika ukosefu was demokrasia matokeo take ndiyo haya sasa
 
Na vipi kuhusu wao kusemekana kuhusika na machafuko ya baadhi ya nchi za Afrika?
Vyote lzm kuwe na mgawanyiko ambao umesababishwa na mtawala asiyetenda haki hivo upata upenyo wa kuwatumia upande unaodai haki kulipua moto.Taifa lolote lisilo na umoja lisiloongea lugha moja haitaji miaka kusambaratishwa na adui.Kiongozi smart uwaunganisha watu wake kwa kuwatendea haki,kutowabagua wengine ili adui asiwatumie wale wengine kumsambaratisha
 
Kabla hamjaja na upuuzi wenu huu fanyeni kwanza Tathmini ni Watz wangapi (%) walijitokeza kupiga kura tar 24/11/2019.
 
Kama ni mwanamme kweli aruhusu uchaguzi huru na haki aone kazi kama hajaazima kura kama alivyofanya kwa lowassa.
 
Back
Top Bottom