Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,577
- 18,774
Hii imekaa vizuri... Nakubaliana kabisa na "who care?" kuwa mjasirimali lazima asiwe mwoga na awe nauwezo wa kufikiri. Ni lazima uweze ku-connect the dots hakuna ubabaishaji.
"An enterpreneur is a person who WORK ON a business NOT in it". (Michael Gerber)
Mfano kama wewe biashara yao ya kuuza chumvi gengeni itasimama endapo utashindwa kuisimamia (mf ukiwa mgonjwa) basi hiyo siyo biashara ya mjasirimali bali ni JOB.
Biashara ya mjasirimali ina endeshwa kwa mfumo (system) ambao hautegemei mtu fulani bali mfumo wenye kufuata kanuni.
Mimi binafsi biashara zangu zamtandao (intenert business) zina cashflow hata kama mimi nikiwa nimelala usiku. Nimetengeneza mfumo ambao hautegemei msimamizi wala sehemu ninayo ishi, hata kama nikifa leo hii cashflow itaendelea.
Jamiiforum ni mfano mzuri wa mfumo was kijasirimali ambao unaingiza pesa kwa kutumia matangazo (contextual advertising) ambapo ukibonyeza tuu hilo tangazo pesa inaingia JF hata kama admin yupo mars.
Biashara ya mjasirimali lazima iwe scalable ie lazima uweze kuipanua. Fikiria biashara yako kama vie prototype ya nyingi kama hiyo. kwa mfano kama nimefanya research na nimeona kwamba "weightloss" ni niche nzuri na yenye faida basi nitatafuta sub niches nyingi za kuambatanisha main product, mfano losing weight for middle age executives, weight loss for fat husbands, weight loss for women who just had a baby n.k
Biashara ya mjasirimali inamtengenezea maisha (kiswahili kitamu LOL) huyo anaye miliki siyo kumuibia muda wake kwa kuutumia kuiendesha.
Just my 2 cents
"An enterpreneur is a person who WORK ON a business NOT in it". (Michael Gerber)
Mfano kama wewe biashara yao ya kuuza chumvi gengeni itasimama endapo utashindwa kuisimamia (mf ukiwa mgonjwa) basi hiyo siyo biashara ya mjasirimali bali ni JOB.
Biashara ya mjasirimali ina endeshwa kwa mfumo (system) ambao hautegemei mtu fulani bali mfumo wenye kufuata kanuni.
Mimi binafsi biashara zangu zamtandao (intenert business) zina cashflow hata kama mimi nikiwa nimelala usiku. Nimetengeneza mfumo ambao hautegemei msimamizi wala sehemu ninayo ishi, hata kama nikifa leo hii cashflow itaendelea.
Jamiiforum ni mfano mzuri wa mfumo was kijasirimali ambao unaingiza pesa kwa kutumia matangazo (contextual advertising) ambapo ukibonyeza tuu hilo tangazo pesa inaingia JF hata kama admin yupo mars.
Biashara ya mjasirimali lazima iwe scalable ie lazima uweze kuipanua. Fikiria biashara yako kama vie prototype ya nyingi kama hiyo. kwa mfano kama nimefanya research na nimeona kwamba "weightloss" ni niche nzuri na yenye faida basi nitatafuta sub niches nyingi za kuambatanisha main product, mfano losing weight for middle age executives, weight loss for fat husbands, weight loss for women who just had a baby n.k
Biashara ya mjasirimali inamtengenezea maisha (kiswahili kitamu LOL) huyo anaye miliki siyo kumuibia muda wake kwa kuutumia kuiendesha.
Just my 2 cents