Tufundishane Ujasiriamali

Nashukuru kwa kunipongeza kwa kunitaka nitoe mada zangu kwenye thread hii. Niko tayali kuandaa makala lakini nawashauri kwa wale wlioko Dar wanitafute nitoe mafunzo.
 
Makala zangu ziko kwenye jukwaa la elimu zimeandikwa Mbinu za biashara kwa wale ambao hawajazisoma nawashauri wazisome haitakuwa vyema kupost makala zile zile.
CHARLES NAZI
 
Makala zangu ziko kwenye jukwaa la elimu zimeandikwa Mbinu za biashara kwa wale ambao hawajazisoma nawashauri wazisome haitakuwa vyema kupost makala zile zile.
CHARLES NAZI
Pamoja mkubwa, pamoja tunaweza.
 

Masaki,

I dont think if I can agree with the comments in red any better! Veinginevyo ufanye kutoa ufafanuzi.
 
Hongera sana, hiki ndio kitu ambacho mie kinanishinda yaani kuiendeleza biashara iendelee siku zote (izalishe na iweze kutoa mtaji yenyewe ikisaidiwa kidogo na mshahara), kwakweli mmenitia moyo sana na hii thread.
 
Mkuu babalao weka link hapa twende moja kwa moja huko!
Ubarikiwe!
Ni kweli mie nimeenda jukwaa la elimu nimetafuta siioni, tusaidie ili tuisome kwanza tujue nini tunahitaji zaidi, mie bado nipo mikoani kwa muda.
 
You are right. You can read a book Rich Daddy Poor Daddy. Kinapatikana Novel Idea. Ni kizuri sana kwa kujifunza ujasiriamali.

kitabu hiki nilikisoma 2005 na kama wanavyo sema "the rest is history"
it was a paradigm shift... Leo hii nipo FREE na ninaweza kufanya mengi
kwasababu ya insights za kile kitabu.

I highly recommend the book Freedom VS Security by Robert kiyosaki
 
jamani wana jf tuchangamkie hii ofa adimu kutoka kwa babalao tubadilike tusimkatishe tamaa wote tunahitaji hili soma maarifa ni nguvu wote tu wajasiriamali ila atuna helimu ya kutosha jamani mm ni namba moja kati ya kumi tujiorodhesha basi tupeane mawasiliano yetu kwa wale dar walilioko tayari wani pm nami tutatafutana then tupange let be serious pls
 
Makala zangu ziko kwenye jukwaa la elimu zimeandikwa Mbinu za biashara kwa wale ambao hawajazisoma nawashauri wazisome haitakuwa vyema kupost makala zile zile.
CHARLES NAZI

Mods naomba mtupatie link ama nielimisheni how can i search the topic
 
Mimi pia nina uzoefu kiasi katika swala hili, tuanze na positives, ni lazima kabisa kila mmoja wetu awe na namna ya kujipatia kipato nje ya mshahara kwa wale walioajiriwa. Hili lisiwe na mjadala, system ya nchi yetu imejengwa kuwafanya wapokea msharaha waishi kwa umasikini na wafe kwa madeni kwa kuwa hata social security tunayoiongelea ni takataka tupu. sasa tatizo ni nini? watu tuko very busy 'earning' a living instead of making money. Mwajiri wako anakulipa kwa masaa 8 tu maximum, wewe unang'ang'anga tangu kumi na mbili asubuhi mpaka mbili usiku ofisini busy subsidizing your employer. Shida yetu kubwa na lack of confidence na focus. Woga kama ndege, hebu jiulize huyo mama anayepata 1.5m kwa mwezi kwa biashara zake anang'ang'ania nini kazi ya mwezi ya sh. 280,000? je hiyo pandisha shuka ya ofisini angetumia muda huo si angepata zaidi? pili hiyo laki ya kima cha chini anayopata akitoa garama ya mafuta hata ya starlet anabaki na ngapi? muda anaopoteza kwenye foleni ameupigia gharama? chakula cha mchana ofisini? simu za kupiga nyumbani kufuatilia kazi kwa kuwa hayupo yeye mwenyewe pale? mimi ni mhamasishaji wa biashara kwa watanzania, namshauri huyo mama aache kazi mara moja maana kwa jinsi ya mshahara huo kama ni net inamaana gross yake ni about 378,000 na pension kwa mwezi haifiki elfu sabini. Jamani maamuzi mengine hayahitaji shule ni hekima tu, watanzania tuache woga mama fanya maamuzi sasa hiyo elfu sabini yenyewe kuipata ni mbinde, na kama umekufa ndio ulie watoto wako watapiga mguu mpaka wakome.
 
Asante mkuu;

Kinapatikana wapi?


***Just a Disclaimer I Do Not Recommend Any Use
or Misuse of This Site, Do At Your Own Risk***


Kama unajua kutumia Bittorrent Search Engines
kama isohunt unaweza ku-download audio version yake.
Lazima uwe na high speed internet connection.

http://isohunt.com/torrent_details/28323994/security+vs+freedom?tab=summary


Ukisha download hicho ki torrent file chagua
file unalotaka kudownload au kama unataka
kudownload yote 10GB poa tuu ila ujue tuu
itakuchukua masaa kadhaa kama una wastani
ya speed ya 1.5Mps.
 
Shida yetu kubwa na lack of confidence na focus.

I can't agree with you more...

Mimi marafuki zangu siku zote wanaongopa wakisikia nimeamua kufanya hivi au vile.

Huwa nawaambia life is risky anyway?

Wewe angalia kila siku tuna risk maisha yetu barabarani lakini bado tuna jivinjari tuu sasa kwanini usi-risk kuanzisha biashara yako?
 
Mkuu charles nazi,thanks kwa nakala zako,big up
 
Wapendwa najibu kilio chenu,
Napenda kuwakaribisha kwenye semina ya ujasiriamali, ambayo itafanyika Siku ya jumamosi tarehe 27/2/2010 saa 4.00 asubuhi katika ofisi za Princess Agness Foundation eneo la Sinza kwa Remi Dar es salaam. Mwezeshaji atakuwa ni Charles Nazi Mtunzi wa kitabu cha mbinu za biashara. Hakutakuwa na kiingilio semina itatolewa bure. Kama unapenda kununua vitabu vya ujasiriamali unashauriwa kuja na pesa kwani tutauza vitabu vya vya ujasiriamali. Kwa wale ambao watahudhuria semina hiyo nawaomba wathibitishe kwa kunitumia ujumbe kwenye simu namba 0755394701

CHARLES NAZI

Mshauri wa biashara na mtunzi wa kitabu cha Mbinu za biashara
 

............mmmmm, For certainly You are not an mfamaji!!🙂🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…