Tufunge Ukurasa: Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano

Joy pale pana mbuzi mtamuu balaa...

Tatizo pale wadada njaa sana,kila baada ya dk 20 kinakuja kimemo chenye namba za simu

Hapo kwenye mbuzi nakuunga mkono.

Usiniambie watapaharibu sasa hivi kama Sai Sai ilikua sehemu nzuri ila kila muhudumu na bei yake
 

Mzigua wapo wanaokimbia kwa ajili ya kupungua mfano mtu kama Joslinndeki

ila kinachosemwa ni ukweli wapo wanaokimbia kwa ajili ya kudanga wapo my dear, Kili Marathon kuna wadada nawajua crew ya kina Ben Kinyaiya huwa wanakodi coaster wanaenda ila hao wadada hawakimbii wanaishia tu kustarehe na vitu vingine.
 
Joslin na wengi tu wanakimbia.
Ben Ben unasemea ile coaster yao ya Gavanaz? Wale wanakujaga kula bata tu wala hawakimbii.

Hayo mambo mengine ya umalaya yapo tu mama kwenye jinsia tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi fun run karibia zote huwa nashiriki. Wale viongozi wa Goba ni washkaji ile ile ndo maana sikosi na wamenisaidia sana kwa kweli kwenye suala la mbio.

Fun run ya kwanza 2020 uwepo basi mama nikuone ila kama wewe unakuja sana GRR lazima tushaonana ni vile mi sijui watu wengi
Kabisa Dear ndiyo Marathon pekee ambayo huwa nashiriki mara moja moja ingawa watu wengi ambao wapo Goba Road Runners nawafahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye mbuzi nakuunga mkono.

Usiniambie watapaharibu sasa hivi kama Sai Sai ilikua sehemu nzuri ila kila muhudumu na bei yake

Mbuzi ni kiarano Goba nzima na viunga vyake
 
Kesho Jmosi lazima nishinde UDSM half marathon. Nimejiandikisha 21 km na natarajia kuwa top ten nipate 300,000 kama zawadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…