Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Huwa najiuliza mantiki ya kuvipa vyama vya siasa ruzuku kila mwezi. Zaidi ya makelele, migogoro, kelele, na usanii vinazalisha nini ikilinganishwa na wakulima na wafugani kwanza, na pili wafanyakazi?
Kwanini hii ruzuku ya kila mwezi kwanza, isiende kwa wakulima na itakayobaki iende kwa wafanyakazi kama vile walimu, madaktari, wazoa taka, madereva na wengine?
Kwanini hii ruzuku ya kila mwezi kwanza, isiende kwa wakulima na itakayobaki iende kwa wafanyakazi kama vile walimu, madaktari, wazoa taka, madereva na wengine?