Pep
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,338
- 5,488
Embu fanya comeback bwana mdogo mhandisi, mbavu hazijavunjika kitamboACHA UBOYA.
Nimewashinda akili kwa sababu najua kutafuta hela na namna ya kuzitumia, sio kuzichimbia ardhini mpaka ma greda yanakuja kuwa aibisha..
Nimewashinda elimu sababu mie ni Engineer.. Huko mikoani hakuna ma Engineer, engineer karibu wote tuko Dar, mikoani tunakuja kufanya kazi then tunarud dar....
Uko hapo????
Kifupi ni kuwa nimewazidi karibu kila kitu, ingawa sio wote....
ACHENI USHAMBA
NUNUENI magari mazuri mazuri bana.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Sent using Jamii Forums mobile app