Tugawane umaskini

Tugawane umaskini

Nguchiro

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2009
Posts
364
Reaction score
31
WanaJF wenzangu kuna ule msemo wa "Kizuri kula na nduguyo"kuna site nilipewa kwa wale wenzangu na mie tunaweza kutafuta namna ya kujiendeleza kielimu, kupata funds kwa ajili ya project na NGOs nk si vibaya tukaitumia as you all know kila mtu ana bahati yake WWW.ADVANCE-AFRICA.COM,wish u luck
 
Kujiendeleza kvp?ebu 2fafanulie,c wengne wavuvi,uki2andkia v2 nusu nusu ha2lewi.
 
Kama unatafuta sponsor ili ukasome Masters nk
 
Back
Top Bottom