Kitty Galore
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 345
- 100
jf is never boring lol
jf is never boring lol
duh............kavulana gani hako jamani?
mchana 'kanashindwa kuzungumza'
halafu usiku ndo 'kanaanza utundu?????
Wasilianeni kwa pm. Habari za kupeana namba zinaleta uzushi uzushi tu.
Wasilianeni kwa pm. Habari za kupeana namba zinaleta uzushi uzushi tu.
si bora kangekuwa kavulana kangeeleweka
alikuwa anakusalimia tu jamani!..kwa hiyo kama hukataka akupigie simu umempa namba ya nini?acha hizo bana.au kosa hakutuma ile vocha(natania).mia[/QUOTE]
hehheeh mia
hayupo humu JF, hii ni kero nimeona ngoja nije kuitolea JF angalau moyo wangu utulie, nimekwazika sana
heheeh tangu ujiunge JF leo ndo umeongea pointi ya maana lol
Waafrika mpaka leo hatujui what phone number worth, to me the last I can give is my phone number.
hayupo humu JF, hii ni kero nimeona ngoja nije kuitolea JF angalau moyo wangu utulie, nimekwazika sana
Hapo palipokolezwa.Hukupaswa kumpa namba wakati hata mchana hana la kukwambia.kwa akili zake chafu alifikiri unampa ili akupigie wakati ana la kukwambia(usiku) kwa kuwa anajua kuwa unajua mchana hana la kukwambia.Wewe tumefahamiana katika mazingira ya kistaarabu, tumezoeana kama binadamu wengine bila kuvuka mipaka, najua umeoa ila mimi hujui status yangu kama nimeolewa au niko single, kutokana na kwamba haikuhusu, sasa kinachokufanya unipigie simu saa 5 kasoro 7 usiku ni nini?wakati hata huo mchana huna la maana la kuniambia? Najuta kukupa namba yangu, kama matumizi yako ya simu ndo haya. Wanaume wengine mnakera sana
heheeh dah! kuna baadhi ya mapwenti yako itabidi nikuPM, tusichakachue sredi lolhahahahaha! Mi namwaga mapoints daily. Lol.
Wewe tumefahamiana katika mazingira ya kistaarabu, tumezoeana kama binadamu wengine bila kuvuka mipaka, najua umeoa ila mimi hujui status yangu kama nimeolewa au niko single, kutokana na kwamba haikuhusu, sasa kinachokufanya unipigie simu saa 5 kasoro 7 usiku ni nini? wakati hata huo mchana huna la maana la kuniambia? Najuta kukupa namba yangu, kama matumizi yako ya simu ndo haya. Wanaume wengine mnakera sana