Mimi binafsi mtu akinipigia simu kwa mara ya kwanza baina ya saa tatu na nne usiku nitamuelewesha kistaarabu kuwa mimi sipokei simu zaidi ya saa tatu usiku kwa hiyo siku nyengine asinipigie wakati huo
Akinipigia kwa mara ya kwanza zaidi ya saa nne usiku nitamuuliza kama kuna dharura (neno la kwanza nitakalosema kwenye simu) kama hakuna dharura nitamwambia (sio kistaarabu sana) kuwa asifanye tena hivyo kwa kuwa sitapokea
Akipiga zaidi ya tano usiku nikipokea na kumuuliza kama akijibu si dharura, namrarua sawa sawa