Tuhudhurieni ibada wakuu

Tuhudhurieni ibada wakuu

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
445
Reaction score
1,094
Huyu ni pastor wa kike kule Nairobi Kenya akiendelea na huduma za uinjilisti.

FB_IMG_1688583263056_070047.jpg
 
hizi ni siku za mwisho, shetani ameleta counter fake za injili nyingi sana. mojawapo ni za hao wasiopenda kujisitiri, wauza mafuta na maji, wanaopenda kuabudiwa na kusifiwa wao badala ya Mungu, wanaopotosha Neno la Mungu kama Ceaser mume wa grace products na anayejiita nabii mkuu, na wengine wengi. hao wote sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. siongei hivi kwa kuwahukumu ila nawaombea kwa Mungu, sisi sote kama wanadamu wadhaifu tuifuate njia ya kweli.

cha kumshukuru Mungu ni kwamba, pamoja na makandokando yoote haya, bado lipo tumaini, bado wapo wale wamwabuduo Mungu katika Roho na kweli, bado ipo njia kwa wanaotaka kumwabudu Mungu kwa usahihi, watamwona Mungu. ni uamuzi tu, ufuate manabii wa uongo, au usifuate, ila tuishi tukijua ya kuwa, muda umeisha, mwenye kanisa anakuja.

Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo. 13 Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho. 14Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake. 15Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.
 
hizi ni siku za mwisho, shetani ameleta counter fake za injili nyingi sana. mojawapo ni za hao wasiopenda kujisitiri, wauza mafuta na maji, wanaopenda kuabudiwa na kusifiwa wao badala ya Mungu, wanaopotosha Neno la Mungu kama Ceaser mume wa grace products na anayejiita nabii mkuu, na wengine wengi. hao wote sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. siongei hivi kwa kuwahukumu ila nawaombea kwa Mungu, sisi sote kama wanadamu wadhaifu tuifuate njia ya kweli.
Mathayo 7: 1-2
 
Mathayo 7: 1-2
kuhusu kuwahukumu wengine, haimaanishi usiwarekebishe watu, ni pale unapowakosoa wengine wakati wewe nawe upo gizani kama wao. ndio maana hata Yesu aliwasema kwa ukali mafarisayo kwamba ni wanafiki, ni sawa na watu wa siku hizi, wengi hawataki kuambiwa ukweli kwa kinga ya usihukumu usije kuhukumiwa wewe. nakuonya, huu mstari haukuhalalishi wewe kukataa kupokea mafundisho na maonyo, geuka, mrudie Mungu wako anakupenda hivyo hivyo ulivyo.
 
ninachompendea Mungu, yeye anawapenda wote kila mtu hivi hivi alivyo, pamoja na kwamba msimamo wake ni utakatifu na anataka watu waishi kwenye utakafitu wa roho, nafsi na mwili. wazinzi, wawe kanisani au wasiwe kanisani, hao ni kondoo wamepotea, Mungu anatana warudi. maadamu unapumua, unaweza kuongea, jua ni neema ya Mungu regardless of wherever you are, uwe mkristo, muislam, mpagani, mchawi, mganga wa kienyeji, muuaji, jua hiyo ni opportunity Mungu amekupa pengine ungebadilika ungali hai, kwasababu baada ya kifo ni hukumu hakuna kutubu tena.

kwahiyo, ukiwa kanisa lolote, msikiti au popote, walau u mzima, tumia nafasi hiyo, kuna siku unaweza usiipate tena.
 
Amejazia nyama nyama kama faiza. Imagine ukifika peponi unapata mizigo kama hiyo 70 halafu unapewa nguvu za kupiga 100. Yaani sio kama hapa unapiga mmoja chali.
Mwenyezi Mungu tujalie tufike peponi.
 
kuhusu kuwahukumu wengine, haimaanishi usiwarekebishe watu, ni pale unapowakosoa wengine wakati wewe nawe upo gizani kama wao. ndio maana hata Yesu aliwasema kwa ukali mafarisayo kwamba ni wanafiki, ni sawa na watu wa siku hizi, wengi hawataki kuambiwa ukweli kwa kinga ya usihukumu usije kuhukumiwa wewe. nakuonya, huu mstari haukuhalalishi wewe kukataa kupokea mafundisho na maonyo, geuka, mrudie Mungu wako anakupenda hivyo hivyo ulivyo.
Nisahihi kukataa mafundisho, lakini si sawa kumwambia mtu ataenda kwenye ziwa la moto. Kuhukumu sio kazi yako. Kwa maana sisi sote ni wakosefu. Kama ziwa la moto lipo, unadhani wewe utalikosa?! Nitajie mtu mmoja unayemfahamu atakayelikosa ziwa lile. Tuombeane kheri ndugu. Mbingu ni ngumu.
 
La hasha!Lakini,kujisitiri ni jambo la kheri.Yafaa nini kuwalisha waja kahawa kwa mishikaki wakati ni marastafari?
Ni kitu gani hakisitiriwa hapo ndugu. Labda hiyo mikono. Lakini mbona nguo aliyovaa imemsitiri kuanzia juu hadi miguuni?!
 
Nisahihi kukataa mafundisho, lakini si sawa kumwambia mtu ataenda kwenye ziwa la moto. Kuhukumu sio kazi yako. Kwa maana sisi sote ni wakosefu. Kama ziwa la moto lipo, unadhani wewe utalikosa?! Nitajie mtu mmoja unayemfahamu atakayelikosa ziwa lile. Tuombeane kheri ndugu. Mbingu ni ngumu.
  • “Afadhali karipio la wazi kuliko upendo uliositirika. Jeraha la rafiki ni amini. . .” ( Mit. 27:5–6 ).Met. 27:5–6 ).
  • “Jiangalieni! Ndugu yako akikosa, mwonye, na akitubu, msamehe” (Luka 17:3).Luka 17:3 ).
  • “. . . mtu akinaswa katika kosa lolote, ninyi mlio wa Roho mrejesheni katika roho ya upole. Jilinde nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe” (Gal. 6:1).Gal. 6:1 ).
  • “Mwonyane kila siku, maadamu iitwapo leo, ili mmoja wenu asifanywe mgumu kwa udanganyifu wa dhambi” (Ebr. 3:13).Ebr. 3:13 ).
  • “Tunawasihi, akina ndugu na dada, waonyeni watu wakorofi . . . muwe na subira kwa watu wote” ( 1 The. 5:14 ).1 Thes. 5:14 ).
 
Back
Top Bottom