Hahah hatakagi mkuu,wkt huo huo anasemaga Mh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anajikataa uzee.
Yuko mtu mmoja tu anayeweza kuamua na jambo likatekelezeka...na ninajua wakati ukifika ataamua na kutoa maelekezo na Tanzania haitaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu....Muda huo utafika soon or little later ila ni lazima utafika tu.
Mimi ni shabiki wake Diamond lakini kwenye hili kateleza sana tena yeye ndio alitakiwa kuwa wa kwanza kwenda BASATA kufatilia jambo lake kama wenzie....kumjibu vile waziri kwakweli tena kwa kejeli na majigambo vile sio jambo jema....Big brother ushabiki uwekwe pembeni Diamond alitakiwa kuwa professional na wakili wake angepitia sababu za yeye kufungiwa na ingewezekana wangefanya press conference.
Huu ndio uchuro yaani kwa kuwa ni waziri yeye katereza tu lakini diamond yeye ameonesha utovu wa nidhamu .. hahaaaa hii mentality haitakutoa mkuuHii series haitaisha bure, lazima kuna Mtu atahaaribikiwa..,
Pamoja na ukweli kuwa Naibu ameteleza katika kutimiza Wajibu wake, ila Diamond ameonesha Utovu wa Nidhamu kwenye kadhia hii jambo ambalo si jema kwa afya ya Muziki wake!!!
Mlezi wa WCB ni Makonda ujueMimi ni shabiki wake Diamond lakini kwenye hili kateleza sana tena yeye ndio alitakiwa kuwa wa kwanza kwenda BASATA kufatilia jambo lake kama wenzie....kumjibu vile waziri kwakweli tena kwa kejeli na majigambo vile sio jambo jema....
Umeshakaona mkuu?du! sasa kale "kadude" kake kakikatwa tena si katakuwa "kanukta"!!!!!!
Ndio nilikaona kipindi kile ile video iliyovujishwa na msichana waliyekuwa naye kwenye mapenzi, kwani wewe hukukiona? Si ilisambaa hadi leo hii neno kibamia linaelekea kupotea sasa ni Kilemutuz!!!! Na yeye mwenyewe akakiri kwamba msichana alimfanyia vibaya!!!!Umeshakaona mkuu?
Wewe Baba yako akikuonya kwa Matusi na ww utamrudishia Matusi kwakuwa ndo njia aliyoitumia kukuonya?Huu ndio uchuro yaani kwa kuwa ni waziri yeye katereza tu lakini diamond yeye ameonesha utovu wa nidhamu .. hahaaaa hii mentality haitakutoa mkuu
.I mean WaTanzania tumeaibika sana kwenye music industry Duniani na kwa muda mrefu sana leo finally Mungu amesikia kilio chetu tuna Msanii anayetuweka kwenye ramani ya Dunia ni majuzi amechaguliwa kutengeneza Wimbo na Show ya ufunguzi katika Mashindano ya Kombe la Dunia leo wewe upo busy kupigana naye kwenye Social Media hivi sisi Wabongo what has gone wrong na our thinking? ..halafu naomba kuuliza Naibu Waziri hivi kweli ndiye anayetakiwa kufungia miziki au Basata?
Hahah aisee sawa mkuuNdio nilikaona kipindi kile ile video iliyovujishwa na msichana waliyekuwa naye kwenye mapenzi, kwani wewe hukukiona? Si ilisambaa hadi leo hii neno kibamia linaelekea kupotea sasa ni Kilemutuz!!!! Na yeye mwenyewe akakiri kwamba msichana alimfanyia vibaya!!!!
Hapa ndipo tunashindwa kutenganisha ushabiki na uhalisia ..umeandika maneno machache lakini ni mazito na yenye mantiki.. Eti kosa la waziri linaitwa kuteleza lakini la Diamond wanaita utovu wa nidhamu!!Huu ndio uchuro yaani kwa kuwa ni waziri yeye katereza tu lakini diamond yeye ameonesha utovu wa nidhamu .. hahaaaa hii mentality haitakutoa mkuu
Hahaaa kwahio waliokuzidi umri au cheo wana haki ya kukufanyia chochote watakacho..Wewe Baba yako akikuonya kwa Matusi na ww utamrudishia Matusi kwakuwa ndo njia aliyoitumia kukuonya?
Kama hiyo ndo Mentality inayotoa basi hongereni sana Vijana!!!