kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,398
Kwani ni nyimbo gani za daimondi zimefungiwa na claudisi ili tuunganishe na hizi zilizofungiwa na huyu naibu waziri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lini waliwahi kukaa wakafanya kitu cha maana kuwainua wasanii wao kama wizara? Au wizara ni ya kufungia nyimbo na wasanii tu? Huyo dada kachemsha na pia sio kazi yake kufungia nyimbo ndo mana kuna basata.
Nashangaa wallahi.Anatumika, anatafuta umaarufu.
Sijui ilikuwaje huyo dada akapewa hicho cheo?
Free checkAnatumika, anatafuta umaarufu.
Sijui ilikuwaje huyo dada akapewa hicho cheo?
Kabisaa. Ttzo anataka ajulikane kwa kubwabwaja daily kwenye media mradi tu aonekane nae waziri mchapa kazi. Hawa mawaziri inabd wawe wanapewa semina za uongoz mara tu wanapoteuliwa. Huyo dada hana uzoefu wowote wa UongoziNi lini waliwahi kukaa wakafanya kitu cha maana kuwainua wasanii wao kama wizara? Au wizara ni ya kufungia nyimbo na wasanii tu? Huyo dada kachemsha na pia sio kazi yake kufungia nyimbo ndo mana kuna basata.
Ukisema ukweli they call u hatereti anasema ....halafu anayokea mwanamke mmoja hajui umetafuta vipi Pesa kisha anakuja kufngia nyimbo "" na blaaaaah blaaah kibao ...kumbe hoja yake nikwakuwa zilifngiwa na mwanamke ...ila zingefungiwa na mwanaume angekausha....yule Jamaa bhana hana washauri aiseeee
nasikia clouds hawapigi nyimbo za diamond...ni kweli?Clouds kwenye hili la mzikinwa diamond kufungiwa mnawaonea tu.