Tuhuma za ugaidi wa Mbowe "una-doubt" umakini wa Vyombo vya Usalama vya awamu iliyopita

Tuhuma za ugaidi wa Mbowe "una-doubt" umakini wa Vyombo vya Usalama vya awamu iliyopita

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
E8VTVk_UYAI4LNA.jpg


Nikiitazama hii picha,
Nikitazama video nyingine za mtuhumiwa Mbowe akihutubia taifa na sehemu mbalimbali ambazo kulikuwa na viongozi wa kitaifa, kiserikali,kitaasisi, kidini na kisiasa napata tabu sana kufikiri walikuwa hatarini kiasi gani IKIWA Freeman Mbowe alikuwa ni Gaidi kweli.

Walinzi wake inasemekana ni watuhumiwa pia, ilikuwaje bado Freeman alikuwa this much close na viongozi wa kitaifa kama tayari walinzi wake walikuwa suspects na yeye akiwa ni boss wao.

Pichani Mbowe pamoja na Mh Rais, Mkuu wa Majeshi, Mkuu wa jeshi la polisi na viongozi wengine wa kiserikali. Naweza kusema Mtuhumiwa wa Ugaidi akiteta na Rais wa Nchi!. Usiniambie hapo Mabeyo na Sirro ndo walikuwa wanamlinda Mh Rais, bali nao ni viongozi tu.

System ilikuwa down sana kipindi hicho. Hata Mtuhumiwa huyu alikuwa akiingia sehemu nyeti Bungeni kila uchwao. Hii kesi all in all inajudge mapungufu makubwa ya mfumo wa ulinzi katika awamu iliyopita.


Kazi na iendelee!
 
View attachment 1889330

Nikiitazama hii picha,
Nikitazama video nyingine za mtuhumiwa Mbowe akihutubia taifa na sehemu mbalimbali ambazo kulikuwa na viongozi wa kitaifa, kiserikali,kitaasisi, kidini na kisiasa napata tabu sana kufikiri walikuwa hatarini kiasi gani IKIWA Freeman Mbowe alikuwa ni Gaidi kweli.

Walinzi wake inasemekana ni watuhumiwa pia, ilikuwaje bado Freeman alikuwa this much close na viongozi wa kitaifa kama tayari walinzi wake walikuwa suspects na yeye akiwa ni boss wao.

Pichani Mbowe pamoja na Mh Rais, Mkuu wa Majeshi, Mkuu wa jeshi la polisi na viongozi wengine wa kiserikali. Naweza kusema Mtuhumiwa wa Ugaidi akiteta na Rais wa Nchi!. Usiniambie hapo Mabeyo na Sirro ndo walikuwa wanamlinda Mh Rais, bali nao ni viongozi tu.

System ilikuwa down sana kipindi hicho. Hata Mtuhumiwa huyu alikuwa akiingia sehemu nyeti Bungeni kila uchwao. Hii kesi all in all inajudge mapungufu makubwa ya mfumo wa ulinzi katika awamu iliyopita.


Kazi na iendelee!
Ngoja waje, watakwambia Mbowe alikuwa Sukuma Gang, ndo maana alikuwa anapeta! Hawakosi hila hawa vijana wa Lumumba College! Sasa Zenj Gang imeamua kushughulika na Sukuma Gang akiwemo Sukuma Gang Mbowe!
 
View attachment 1889330

Nikiitazama hii picha,
Nikitazama video nyingine za mtuhumiwa Mbowe akihutubia taifa na sehemu mbalimbali ambazo kulikuwa na viongozi wa kitaifa, kiserikali,kitaasisi, kidini na kisiasa napata tabu sana kufikiri walikuwa hatarini kiasi gani IKIWA Freeman Mbowe alikuwa ni Gaidi kweli.

Walinzi wake inasemekana ni watuhumiwa pia, ilikuwaje bado Freeman alikuwa this much close na viongozi wa kitaifa kama tayari walinzi wake walikuwa suspects na yeye akiwa ni boss wao.

Pichani Mbowe pamoja na Mh Rais, Mkuu wa Majeshi, Mkuu wa jeshi la polisi na viongozi wengine wa kiserikali. Naweza kusema Mtuhumiwa wa Ugaidi akiteta na Rais wa Nchi!. Usiniambie hapo Mabeyo na Sirro ndo walikuwa wanamlinda Mh Rais, bali nao ni viongozi tu.

System ilikuwa down sana kipindi hicho. Hata Mtuhumiwa huyu alikuwa akiingia sehemu nyeti Bungeni kila uchwao. Hii kesi all in all inajudge mapungufu makubwa ya mfumo wa ulinzi katika awamu iliyopita.


Kazi na iendelee!
Gaidi tu ,hatimaye amejulikana
 
View attachment 1889330

Nikiitazama hii picha,
Nikitazama video nyingine za mtuhumiwa Mbowe akihutubia taifa na sehemu mbalimbali ambazo kulikuwa na viongozi wa kitaifa, kiserikali,kitaasisi, kidini na kisiasa napata tabu sana kufikiri walikuwa hatarini kiasi gani IKIWA Freeman Mbowe alikuwa ni Gaidi kweli.

Walinzi wake inasemekana ni watuhumiwa pia, ilikuwaje bado Freeman alikuwa this much close na viongozi wa kitaifa kama tayari walinzi wake walikuwa suspects na yeye akiwa ni boss wao.

Pichani Mbowe pamoja na Mh Rais, Mkuu wa Majeshi, Mkuu wa jeshi la polisi na viongozi wengine wa kiserikali. Naweza kusema Mtuhumiwa wa Ugaidi akiteta na Rais wa Nchi!. Usiniambie hapo Mabeyo na Sirro ndo walikuwa wanamlinda Mh Rais, bali nao ni viongozi tu.

System ilikuwa down sana kipindi hicho. Hata Mtuhumiwa huyu alikuwa akiingia sehemu nyeti Bungeni kila uchwao. Hii kesi all in all inajudge mapungufu makubwa ya mfumo wa ulinzi katika awamu iliyopita.


Kazi na iendelee!
Simon Sirro atakuwa na maisha ya aibu sana mara tu atakapostaafu. Atatamani kuwaomba msamaha viongozi wa Chadema lakini itakuwa too late.
 
Kuna vitu vingine unafikiria unajisemea tu waafrika tupo na akili gani. Kumwita Mbowe gaidi haiingilii akilini. Waafrika tujihurumie tu hakuna namna. Huyu Mseveni kasema ukweli.

.
 
View attachment 1889330

Nikiitazama hii picha,
Nikitazama video nyingine za mtuhumiwa Mbowe akihutubia taifa na sehemu mbalimbali ambazo kulikuwa na viongozi wa kitaifa, kiserikali,kitaasisi, kidini na kisiasa napata tabu sana kufikiri walikuwa hatarini kiasi gani IKIWA Freeman Mbowe alikuwa ni Gaidi kweli.

Walinzi wake inasemekana ni watuhumiwa pia, ilikuwaje bado Freeman alikuwa this much close na viongozi wa kitaifa kama tayari walinzi wake walikuwa suspects na yeye akiwa ni boss wao.

Pichani Mbowe pamoja na Mh Rais, Mkuu wa Majeshi, Mkuu wa jeshi la polisi na viongozi wengine wa kiserikali. Naweza kusema Mtuhumiwa wa Ugaidi akiteta na Rais wa Nchi!. Usiniambie hapo Mabeyo na Sirro ndo walikuwa wanamlinda Mh Rais, bali nao ni viongozi tu.

System ilikuwa down sana kipindi hicho. Hata Mtuhumiwa huyu alikuwa akiingia sehemu nyeti Bungeni kila uchwao. Hii kesi all in all inajudge mapungufu makubwa ya mfumo wa ulinzi katika awamu iliyopita.


Kazi na iendelee!
Gaidi katika ubora wake!!!!
 
Back
Top Bottom