Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

wakiwakamata wahusika wanadhani wataingiliwa na nani? Tatizo wao wanatuletea sarakasi za "wasiojulikana"
 
Huwezi kudisclose everything. Unaharibu taswira ya upelelezi
 
- hahahahahaha VIVA MAGUFULI! hahahahaha VIVA TANZANIA .....Kanyaga twende! mtaisoma tu namba mpaka mwisho!

le Mutuz
Hahaaaaah kubwa jinga lililolegea marinda...ili mtu agundue uharamia uliofanywa na bashite bhasi we kubwa jinga ndo huwa unaongoza kikosi cha kutetea uharamia....haaaaaah team no marinda mnaweweseka baada ya kushindwa kuua mamaaaae....mtalaaniwa hadi mnaingia kaburini
 

- Kumbe huna marinda mbona hujauliwa hahahahahahahahaha pole sana!

le Mutuz
 
le mutuz hivi yale anayoongea mange ni kweli ama ni fitna tu anakuchafua?
 
Amezidiwa kweli mpaka ameblock commént katika post zake,Mange anahoja za msingi na pia sijaona mahali popote ndugu lemutuz akikanusha swala hili.

- Siwezi kukanusha ujinga anatumwa kuninyamazisha maana kuna kitu hakikosawa na hili shambulio, ndio maana nimeamua kuwapa doze za kimya kimya bila comment nasubiri warudi Nairobi nifanye kweli maana so far ni rasha rasha tu subiri pichaa kamili coming soon hahaha U know

le Mutuz
 
Madness is when authorities are weak in security
 
- hahahahahaha VIVA MAGUFULI! hahahahaha VIVA TANZANIA .....Kanyaga twende! mtaisoma tu namba mpaka mwisho!

le Mutuz
VIVA kwa watu wachache ambao neema inawaangukia kwa kuwa karibu na uongozi. Wananchi wa kawaida wanahaha mtaani. Hakuna anayeisoma namba zaidi ya hao ambao waliwaamini na kuwapa nchi, wanajuta sasahivi kwa kuiweka CCM madarakani.
 
Dira ishapotea. Image iliyojengwa na uongozi uliopita imeshapotea kwa uzembe na uzuz wa watu wachache ambao wanalazimisha wanaonekane kama viongozi wazuri kumbe pumba tupu.

Ukishaona serikali au watu wa karibu na serikali wanatafuta watu kama huyu alienzisha hii thread kufanya damage control na kuwasafisha kwa blunder waliyofanya jua wamefikia mwisho katika uwezo wao wa kufikiri.

Muelekeo wa serikali umepotea, ubabe haufai na mnawapa picha nzuri watanzania wenye akili kujua ni jinsi gani Mlivyokosa weledi na sifa za kiuongozi
 
Jamaa huna akili kabisa wewe vitu unavyovifanya na heshima aliyonayo mzee wako haviendani leo umekua mkia kwa rc, hauna creativity yoyote ingawa una jina kubwa, kazi kuandaa mambo ambayo yatakugharimu katika sekta yako ya habari,
Kama umeamua kuwekeza kwenye sekta hii, nakushauri achana kabisa na mambo ya siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…