Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi


- duh kwa nini huo ushauri usiutumie kwa maisha yako maana my life is working, nenda USA uliza Fox News wapo upaande gani wa siasa mbona wanafanya biashara? pole sana ila keep ushauri wako wa ujinga nonsense!

le Mutuz
 

- Serikali is doing just fine swali ni kama you are doing fine, inaelekea huwa unatumwa kuja hapa kufanya damage control sasa unadhani wote ni kama wewe pole sana nimeandika hisia zangu na nenda toka siku JF inaanzishwa huwaa naandika hisia zangu hapa,

le Mutuz
 

Only in Tanzania ambapo mtuhumiwa anapewa jukumu la kujichunguza na kutoa majibu!
 
VIVA kwa watu wachache ambao neema inawaangukia kwa kuwa karibu na uongozi. Wananchi wa kawaida wanahaha mtaani. Hakuna anayeisoma namba zaidi ya hao ambao waliwaamini na kuwapa nchi, wanajuta sasahivi kwa kuiweka CCM madarakani.

- wanaolalamika ni Viongozi wa zamani na famailia zao maana mirija imefungwa, wananchi wa mtaani hawajawahi kuwa maisha bora zaidi ya waliyonayo sasa msiwasingizie hawana tatizo na Rais.

le Mutuz
 
- Sema Chadema ndio wanahangaika sana mbona hujiulizi hilo?

le Mutuz
Leo hii najua hata mapenzi uliyokuwa nayo kwa chama cha baba yamepungua baada ya mwenyekiti kugusa familia yenu sema utafanyaje wakati umeshakunywa maji ya bendera ya kijani!
 
Leo hii najua hata mapenzi uliyokuwa nayo kwa chama cha baba yamepungua baada ya mwenyekiti kugusa familia yenu sema utafanyaje wakati umeshakunywa maji ya bendera ya kijani!

- hapana never! ninajua ukweli wa yote ndio maana sina wasi wasi kabisa maana nilikuwa wa kwanza kujua ukweli na kuifahamisha familia yangu ya kilichotokea so tafuta lingine labda!, naipenda CCM na I support the President 100%

le Mutuz
 
Humu kunanuka mavi tu sijui nimefuata nini

Wapi Mange
 
- hapana never! ninajua ukweli wa yote ndio maana sina wasi wasi kabisa maana nilikuwa wa kwanza kujua ukweli na kuifahamisha familia yangu ya kilichotokea so tafuta lingine labda!, naipenda CCM na I support the President 100%

le Mutuz
Kwa kuwa walao ninyi mmelelewa na chama na kwamba hamna dhambi isipokuwa ile ya asili ya kuzaliwa ndani ya ccm, basi mkipata fursa mwambieni Ngosha yeye ni baba na kwamba nyumba haiendeshwi hivyo! Wanaomshauri ni waganga njaa tu wanamwingiza shimoni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…