Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi


My man...hapa unatwanga maji kwenye kinu tu.

Hutoweza kabisa ku reason na hawa watu.

Wao tayari wanaamini wanachoamini. Wameshalewa chuki na siasa.

Wameshahitimisha na wanamjua aliyetaka kumuua Lisu.

They are stuck on stupid. And that absolutely renders it impossible to reason with them.
 

- Well Mamen the Americans taught me to demand the reasonable truth beyond the doubt, ndio maana hatutawapa free pass si unaona walivyo panic na hii doze, tutaendelea kuwapa doze tu hata kama wanajifanya hawaelewi na kumbuka hawa wana njia zao za kukubali ukweli huwa wanatukana sana ujue wanakubali the truth

le Mutuz
 
Umesahau alievamia studo ya TV kipindi hichi raisi alikua nani? ,aliesema roma atapatikana kabla ya siku fulani raisi alikua nani? na alietishia kumpiga risasi waziri fulani raisi alikua nani? alieisema serikali ndege imekamatwa raisi alikua nani? na aliesema gari cqv inamfatilia raisi alikua nani?
 

- Sasa na wewe mbona umesahau waliomteka Kibanda Absalomu au huwajui leo?

le Mutuz
 

Mpaka sasa kwa 100% CCM na Serikali ya CCM ndiyo wa husika.Clouds alivamia nani??Aliyemtishia Nape silaha nani??

Safari hii mtueleze mnapata faida gani mkiua wapinzani wenu.

Aliyeuwa Mwangosi ni askari wa FFU,mawazo ameuawa na UVCCM kingine.

CCM= Chama Cha Mauaji
 

- Ungeufikisha Polisi huu ushahidi wako mzito sana na wa uhakika sana.

le Mutuz
 
Better to be stupid than mental slave like both of you.
 
Endelea kuiba mapazia kwa ajili ya kushonesha mashuka. JF siyo size yako tena, ulishaji degrade. Size yako ni watoto wa form six wa kila mwaka na hao nao wakivuka hiyo level tu wanakua wamesha kuacha

- Genius umejibu na huku unaponda duh!

le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…