Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Le Mutuz kaongea point sana, ila kama watu wanalazimisha kufikiri ya kwao basi waendelee, tuna "Freedom of Speech" ambayo wengi tunaidhihaki, ila kweli tuiachie dola iwatafute watuhumiwa, otherwise mnajenga chuki tu kati ya mashabiki wa vyama..
 
naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!
Hata kama unamahaba na mtu fulani ni vizuri ubakiwe na akili za kwako ambazo zitakusaidia kupambanua mambo.

Unapoleta orodha ndefu ya watu waliotekwa na wengine wameuawa huku ukijua kuwa wakati matukio yote yanatendeka serekali iliyokuwepo madarakani ni serekali ya CCM.

Unatoafundisho gani kuhusu serekali ya CCM,unaka watu waelewe kuwa serekali ya CCM inaongozwa na watu wauaji na watekaji wanaoua kwa kupokezana kijiti cha utekaji na mauaji?.
 
Natamani kukutafuna,watu tunauguliwa wewe unaleta upuuzi hapa
 
We kweli ni mwananchi au kibaraka wa watawala?.....

Unawezaje zuia swala la ukeketaji wakati wewe ndiye ngariba na diwani kwenye kijiji ...?

Nosense...
 
18119a8018119ecd4befed8f412b52d4.jpg


Kwa wanaojua magari, huku mjini magari haya yanaonekana zaidi na akina nani, nani wanatumia zaidi magari haya.
Jibu rahisi tu; magari ya aina hiyo yanatumiwa na "watu wa system"
 
@W.J. Malecela,

..mnaoamini serikali mnaweza kusubiri majibu toka huko.

..wanaoamini vyombo, au taasisi nyingine, nao watapata/wameshapata majibu toka kwa wanaowaamini.


cc Nyani Ngabu
 
My man...hapa unatwanga maji kwenye kinu tu.

Hutoweza kabisa ku reason na hawa watu.

Wao tayari wanaamini wanachoamini. Wameshalewa chuki na siasa.

Wameshahitimisha na wanamjua aliyetaka kumuua Lisu.

They are stuck on stupid. And that absolutely renders it impossible to reason with them.

Naona Pwagu na pwaguzi mmekutana. Waliompiga risasi Lissu wako wazi. Na hao mnaosema wafuatilie wanajua mchezo wote. Waaminini nyie hakuna anayewakataza.
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Wote uliowataja baada ya serikali kuachiwa kazi ya kuwasaka walipatikana wahalifu? Hukumu zao mahakamani zimewahi kutolewa tuweke records zetu sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
18119a8018119ecd4befed8f412b52d4.jpg


Kwa wanaojua magari, huku mjini magari haya yanaonekana zaidi na akina nani, nani wanatumia zaidi magari haya.
Tumia akili.inamaana tukio lilikuwa linarekodiwa?

posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
 
Katika mazingira ambayo kwa Asilimia 99 serikaliiii? ndio inahisiwa kuhusika na tukio hilo moja kwa moja, unategemea serikali inaweza kuchunguza nini?
 
- Nimesema hivi Mwangosi aliuawa nikiwa nimerudi Bongo, na haikuwa MWaka 2002 so relax tafuta hoja ya msingi na infact Rais hakuwa Magufuli

le Mutuz

Kwa taarifa yako bora hata hao walikuwa wanaweza kujenga hoja kuliko yeye.
 
So raisi alikua mbowe kipindi hayo yote yanataokea? Na je walishawai polisi walitoa A to Z ya hayo yote
 
Tokea mwaka 1998 hakuwa rais huyo Maguful Ila serikali ni ya Ccm mpk Leo Akili tu yakuvukia barabara inatambua . Wananchi Hatuna imani na serikali siyo ya Maguful hata Hizo zilizopita. Usituondoe Kwenye mstari bora uendelee kupiga picha na totoz, siasa achana nazo.
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Mkuu Hivi uchunguzi wa yule alomtolea bastola Nape umefikia wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes kuihusisha serikali bila evidence ni tatizo ila Lazima tutoe facts zetu pia kutokana na mlolongo wa mambo mengi ya ajabuajabu dhidi ya raia kwenye uongozi huu. Mfano tutashindwaje kuunganisha hili la murder attempt jana na uvamiz wa clouds, IMMA ADVOCATES, Roma mkatolic, Ben saa8, mbunge Nape ,hapo ndipo vidole vinaielekea serikali maana ndio inayotakiwa kutulinda lakini haichukulii hatua ya kukamata na kuwafikisha kwa pilato wahalifu kwa sababu wazijuazo wao
 
Back
Top Bottom