Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Huyu naye akae kimya wewe ndio msemaji wa serikali 'Guilty consciousness Next.......
 
Mzee unajidhalilisha

Ni bora kukaa kimya
Hata ukimuuliza mtoto wa darasa la kwanza atakuambia muhusika ni nani
kama unawafahamu wausika ni vyema ukawalipoti police make police wanaitaji msaada kutoka kwa watu kama nyinyi.
Kukaa kimya sio suruisho
 
Tuiachie ifanye kazi yake ipi? Maana inakaziii? Watu watoe wanachokijua ili tuufikie ukweli,swala la amani,ulinzi na usalama si la serikali pekee bali ni letu sote.
 
Yes kuihusisha serikali bila evidence ni tatizo ila Lazima tutoe facts zetu pia kutokana na mlolongo wa mambo mengi ya ajabuajabu dhidi ya raia kwenye uongozi huu. Mfano tutashindwaje kuunganisha hili la murder attempt jana na uvamiz wa clouds, IMMA ADVOCATES, Roma mkatolic, Ben saa8, mbunge Nape ,hapo ndipo vidole vinaielekea serikali maana ndio inayotakiwa kutulinda lakini haichukulii hatua ya kukamata na kuwafikisha kwa pilato wahalifu kwa sababu wazijuazo wao
Lakini pia serikali ilisema kuwa, 'kwenye hili la madini, ni vita. Yule atakayekwenda tofauti na sisi ni msaliti, adhabu anayostahili inajulikana, askari wanajua'.

Huyu Malecela atuambie maana ya hiyo kauli.
 
W. J. Malecela hajawahi kuwa na Akili tangu Father akiwa PM, usitegemee utakuja ona huyu mtu akiwa na hata chembe ya neno lenye akili nyakati hz!
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Hiki ndicho kinachoitwa "ABSOLUTE RUBBISH". Hakuna hoja uliyoandika zaidi ya upuuzi sawa na wenzio waliokuja na dhana mbalimbali za kufikirika za ni nini kinaweza kuwa chanzo au ni nani wanaohusika na kusudio/jaribio lililoshindwa la kumu assasinate mh Tundu Lissu.Nadhani ni kwa makusudi umeamua kujipumbaza kwa kutoyataja matukio yaliyojiri katika kipindi cha utawala wa awamu iliyopo madarakani ukiamini kila mtu ana ufinyu wa uelewa au anaishi maisha ya kizandiki na "kujibebisha" kwa walio na nafasi kama ufanyavyo wewe.Kuwa eliminate watu walio na fikra tofauti na zako hakujengi hofu bali hutengeneza chuki katika taifa ambayo siku matokeo yake yatakapo lipuka utawish usingetumia wakati wako vibaya kuandika upuuzi huu kwa kujaribu kuuchallenge uwezo wa kufikiri wa watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Bw malecela mh Lisu ana nyadhifa 3 ubunge uwakili na rais wa TLS mwenye hizi nafasi alizonazo ni IPI inafanana MTU kubeba Bunduki SMG akamuue Lisu si Magufuli ila siasa na wanaoitumikia na ndiyo wanaomiliki hizi smg acha watu wajadili ila Tanzania ilipo kwa sasa si pazuri na si kisiwa cha amani tena.
 
My man...hapa unatwanga maji kwenye kinu tu.

Hutoweza kabisa ku reason na hawa watu.

Wao tayari wanaamini wanachoamini. Wameshalewa chuki na siasa.

Wameshahitimisha na wanamjua aliyetaka kumuua Lisu.

They are stuck on stupid. And that absolutely renders it impossible to reason with them.
nimekusoma mkuu ni kwel kabisa
 
Msaga sumu : njoo kwenye Uzi huu utuelezee studio ya kisasa na mitambo yake
 
Huyu jamaa nilishamdharau toka mda mrefu sana, hanaga akili ata kidogo.
Anamlamba bashite miguu,mwili mkubwa akili ya sisimizi.
Lissu sio level yako, haya nikuulize mbona bashite hajatoa pole kwa lissu kwa mfano??
 
Polisi wamesema wanataka taarifa toka kwa wananchi
 
Serikali kupitia jeshi la polisi imetuomba tuseme tunachokijua, sasa wewe mahaba yako yanafahamika yalipo.

Sie tunaunga dots, wao watachuja humu JF TOFAUTI na huko kwenu humu we dare to talk openly. Nyie mnatukuza fikra za viongozi wenu.

Nyie mnao ugomvi wa wazi na Tundu, jeshi la polisi, Usalama na mkuu. Kama tungekuwa na mamlaka wakuu wa vyombo hivyo wanatakiwa kuwa wa kwanza kuisaidia polisi. TAL alishawaambia na hamkuchukua hatua.

Mwisho, kama ada msituzuie kusemea Nafsi zetu nyie wa sasa hivi mna roho mbaya kwa kauli na matendo yenu na mnaowaiga hizi ndio tabia zao sasa inakuwaje tusiwataje nyie kwanza.

EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
 
Sasa Ndugu Angu Lemutuz Ni Kweli Tusibiri Uchunguzi,ni Uchunguzi Upi Unaosema Ww,huyo Unayomtetea Ndyo Huyo Anayehubiri Chuki Na Utengano,ndyo Huyo Huyo Anayewaona Wapinzani Ni Maadui,tutaamini Vp Km Hajahusika?Kauli Zake Zina Utata Kwa Usalama Wa Nchi
 
Back
Top Bottom