Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Huyu jamaa nilishamdharau toka mda mrefu sana, hanaga akili ata kidogo.
Anamlamba bashite miguu,mwili mkubwa akili ya sisimizi.
Lissu sio level yako, haya nikuulize mbona bashite hajatoa pole kwa lissu kwa mfano??
Umejibu hoja ipi hapo?personal attacks za nn?

posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
mkuu, hold your breadth.
linganisha chungwa kwa chungwa.

Ben Saanane (katoweka)...... critic wa mkulu
Nape Nnauye (hati hati)..... critic wa mkulu
Bashe (hati hati).....critic wa mkulu
Lissu (bed ridden)....critic wa mkulu

hayo matukio mengine uliyoyataja yalinganishe na wakulu waliokuwepo wakati huo halafu twambie similarities. similarity pekee iliyopo ni kuwa mtesi mkuu ni serekali ya CCM.

kwa hili la Lissu mnalo mjomba!
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Mkuu hukumsikia Lissu alipoomba Ulinzi na kisha Kumuonya Kapilimba na Sirro Hao watu anaowatuma amewakaba pale St. Peters wakiwa na Toyota Premio au hukusikia matukio na inawezekana hata kwenye Blog yako hukuweka hilo Tukio... Hao wakuu waliufyata kwa aibu na ulinzi hawakumpa japo ni wajibu wao... je na wewe unatumia akili ipi?
 
Dr.Sengondo Mvungi aliawa kinyama sana Rais hakuwa Magufuli
Unafananisha vipi mauaji ya Dr. Sonkondo na tukio la Lissu. Senkondo ingawaje alikuwa ni kiongozi wa upinzani lakini siasa zake wala hazikuwa za kuiudhi serikaali. In short, siasa zake zilikuwa sawa na wanasiasa wenzake wa NCCR kama akina MBatia. Hadi Dr. Senkondo anapigwa risasi hakuwa na sintofahamu yoyote na serikali ya kuhisi kwamba labda serikaali waliamua kumpoteza. What about Tundu Lissu?!
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Very true, wanataka kupandikiza chuki ili Rais aonekane mbaya mbele ya jamii, wakati si kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama hakuwa magu tuambie sasa ni Nani? Wewe usipende kucheza na akili za watu kama bashite anavyocheza na zako. Umesoma lakini akili yako huitumii ila unatumia ya bwanako Bashite

Bure kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Haya maneno.. WATU WASIOJULIKANA... ndo linatia hofu
 
Hiki ndicho kinachoitwa "ABSOLUTE RUBBISH". Hakuna hoja uliyoandika zaidi ya upuuzi sawa na wenzio waliokuja na dhana mbalimbali za kufikirika za ni nini kinaweza kuwa chanzo au ni nani wanaohusika na kusudio/jaribio lililoshindwa la kumu assasinate mh Tundu Lissu.Nadhani ni kwa makusudi umeamua kujipumbaza kwa kutoyataja matukio yaliyojiri katika kipindi cha utawala wa awamu iliyopo madarakani ukiamini kila mtu ana ufinyu wa uelewa au anaishi maisha ya kizandiki na "kujibebisha" kwa walio na nafasi kama ufanyavyo wewe.Kuwa eliminate watu walio na fikra tofauti na zako hakujengi hofu bali hutengeneza chuki katika taifa ambayo siku matokeo yake yatakapo lipuka utawish usingetumia wakati wako vibaya kuandika upuuzi huu kwa kujaribu kuuchallenge uwezo wa kufikiri wa watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana una hoja nzuri yenye mashiko. Punguza jazba kidogo, kisha kwa utulivu andika hoja yako ama zako kuhusiana na unavyoelewa ama unavyoamini juu ya tukio hili baya Sana.

Kwa mfano:
1.Kuna wanaodhani serikali imehusika, kwasababu ya Mh.Lisu kuipa changamoto kubwa.

2.Wapo wanaodhani, kuna baadhi ya watu wasiofurahishwa na utendaji wa serikali, mathalani tumbuatumbua inayoendelea. Hivyo, wameamua kumfitinisha Mh.Rais kwa wananchi kwa namna yoyote ikiwamo kama hii pamoja na nyingine.

3.Wapo wanaodhani, huenda ni inside job. Yaani baadhi ya wanachama wa CHADEMA wametishwa na umaarufu pamoja na Courage ya Mh. Lisu na kwamba anatishia nafasi zao hivyo kuazimia kumuondoa.

4.Mh.Lisu ni wakili mahiri, anajihusisha na kesi nyingi. Huenda katika utendaji kazi wake wakatokea watu walioumizwa hivyo kuazimia kulipiza kisasi. Na kwakuwa tayari watu hao wanajua the prime suspect itakuwa serikali, huenda ikawa rahisi wao kutekeleza azma yao.

Hayo ni kwa uchache, na kutokana na mkanganyiko huo, ndiyo sababu y'all busara kutuelekeza kusubiri taarifa ya vyombo vya ulinzi na usalama. Baada ya taarifa kutoka ndipo tutakuwa kwenye nafasi nzuri kukosoa na hata kuchukua hatua zaidi pale tutakapokuwa hatujaridhika.

Kuhukumu upande mmoja kunasaidia kupoteza mhalifu wa kweli pale inapokuwa anayetuhumiwa si mhusika wa tukio. Mbaya zaidi mhusika halisi atakapoptikana huenda akatetewa kwasababu tayari focus imekuwa kwa aliyetuhumiwa awali.

Kama Serikali/jeshi la polisi haliaminiki basi mwenye tuhuma zenye uthibitisho aziweke hadharani ili uma uone. Tusiongee kwa hisia tu ama kwa kuconnect dots. Hata wahalifu wengine wanaweza tumia nafasi ya hisia ama kuconect dots kama kichaka cha kutekeleza uhalifu wao wakijua wazi kuwa, kwa hisia na kuconect dots ni serikali itakayohusishwa.

Tuwe watulivu tukisubiri taarifa ya jeshi la polisi. Na pia kwa wenye uwezo wafanye uchunguzi binafsi ili taarifa wanazoleta ziwe na ushahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Maelezo yote uliyotoa yana lengo la kumlinda nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti "Iachieni serikali" ni serikali ipi unamaanisha, au ni ile ya kidikteta inayoongoza nchi kwa mkono wa chuma?
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Wewe endelea kusubiri, wakikwambia naomba uniambie na mm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uo mzimu wa watu wasiojulikana unazidi kumaliza watu tangu kipindi doctor ulimboka kang'olewa meno ni hao wasiojulikana kutekwa roma mauaji kibiti daah! Kwa hali inavyo endelea nchi haipo salama wasiojulikana mwisho wajisajili kabisa kama makundi ya alshabaab
 
Inawezekana una hoja nzuri yenye mashiko. Punguza jazba kidogo, kisha kwa utulivu andika hoja yako ama zako kuhusiana na unavyoelewa ama unavyoamini juu ya tukio hili baya Sana.

Kwa mfano:
1.Kuna wanaodhani serikali imehusika, kwasababu ya Mh.Lisu kuipa changamoto kubwa.

2.Wapo wanaodhani, kuna baadhi ya watu wasiofurahishwa na utendaji wa serikali, mathalani tumbuatumbua inayoendelea. Hivyo, wameamua kumfitinisha Mh.Rais kwa wananchi kwa namna yoyote ikiwamo kama hii pamoja na nyingine.

3.Wapo wanaodhani, huenda ni inside job. Yaani baadhi ya wanachama wa CHADEMA wametishwa na umaarufu pamoja na Courage ya Mh. Lisu na kwamba anatishia nafasi zao hivyo kuazimia kumuondoa.

4.Mh.Lisu ni wakili mahiri, anajihusisha na kesi nyingi. Huenda katika utendaji kazi wake wakatokea watu walioumizwa hivyo kuazimia kulipiza kisasi. Na kwakuwa tayari watu hao wanajua the prime suspect itakuwa serikali, huenda ikawa rahisi wao kutekeleza azma yao.

Hayo ni kwa uchache, na kutokana na mkanganyiko huo, ndiyo sababu y'all busara kutuelekeza kusubiri taarifa ya vyombo vya ulinzi na usalama. Baada ya taarifa kutoka ndipo tutakuwa kwenye nafasi nzuri kukosoa na hata kuchukua hatua zaidi pale tutakapokuwa hatujaridhika.

Kuhukumu upande mmoja kunasaidia kupoteza mhalifu wa kweli pale inapokuwa anayetuhumiwa si mhusika wa tukio. Mbaya zaidi mhusika halisi atakapoptikana huenda akatetewa kwasababu tayari focus imekuwa kwa aliyetuhumiwa awali.

Kama Serikali/jeshi la polisi haliaminiki basi mwenye tuhuma zenye uthibitisho aziweke hadharani ili uma uone. Tusiongee kwa hisia tu ama kwa kuconnect dots. Hata wahalifu wengine wanaweza tumia nafasi ya hisia ama kuconect dots kama kichaka cha kutekeleza uhalifu wao wakijua wazi kuwa, kwa hisia na kuconect dots ni serikali itakayohusishwa.

Tuwe watulivu tukisubiri taarifa ya jeshi la polisi. Na pia kwa wenye uwezo wafanye uchunguzi binafsi ili taarifa wanazoleta ziwe na ushahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakupongeza kwa andiko lako la busara, lakini aliyekupa busara kakunyima akili. Kuna mtu alimtolea Nape Nnauye bastola hadharani na anafahamika na hakuna hatua aliyochukuliwa. Lissu alishalalamika kuhusu kufuatiliwa na akataja mpaka namba ya gari inayomfuatilia lakini hakuna hatua zozote zilichukuliwa hata kukamata tu hilo gari. Sasa busara bila akili ni uwendawazimu. Hizi busara zako pelekea makondoo huko kijijini kwenu ndio wanahitaji ili waendelee kulima miaka nenda rudi kwa jembe la mkono.
 
Back
Top Bottom