Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Inawezekana una hoja nzuri yenye mashiko. Punguza jazba kidogo, kisha kwa utulivu andika hoja yako ama zako kuhusiana na unavyoelewa ama unavyoamini juu ya tukio hili baya Sana.

Kwa mfano:
1.Kuna wanaodhani serikali imehusika, kwasababu ya Mh.Lisu kuipa changamoto kubwa.

2.Wapo wanaodhani, kuna baadhi ya watu wasiofurahishwa na utendaji wa serikali, mathalani tumbuatumbua inayoendelea. Hivyo, wameamua kumfitinisha Mh.Rais kwa wananchi kwa namna yoyote ikiwamo kama hii pamoja na nyingine.

3.Wapo wanaodhani, huenda ni inside job. Yaani baadhi ya wanachama wa CHADEMA wametishwa na umaarufu pamoja na Courage ya Mh. Lisu na kwamba anatishia nafasi zao hivyo kuazimia kumuondoa.

4.Mh.Lisu ni wakili mahiri, anajihusisha na kesi nyingi. Huenda katika utendaji kazi wake wakatokea watu walioumizwa hivyo kuazimia kulipiza kisasi. Na kwakuwa tayari watu hao wanajua the prime suspect itakuwa serikali, huenda ikawa rahisi wao kutekeleza azma yao.

Hayo ni kwa uchache, na kutokana na mkanganyiko huo, ndiyo sababu y'all busara kutuelekeza kusubiri taarifa ya vyombo vya ulinzi na usalama. Baada ya taarifa kutoka ndipo tutakuwa kwenye nafasi nzuri kukosoa na hata kuchukua hatua zaidi pale tutakapokuwa hatujaridhika.

Kuhukumu upande mmoja kunasaidia kupoteza mhalifu wa kweli pale inapokuwa anayetuhumiwa si mhusika wa tukio. Mbaya zaidi mhusika halisi atakapoptikana huenda akatetewa kwasababu tayari focus imekuwa kwa aliyetuhumiwa awali.

Kama Serikali/jeshi la polisi haliaminiki basi mwenye tuhuma zenye uthibitisho aziweke hadharani ili uma uone. Tusiongee kwa hisia tu ama kwa kuconnect dots. Hata wahalifu wengine wanaweza tumia nafasi ya hisia ama kuconect dots kama kichaka cha kutekeleza uhalifu wao wakijua wazi kuwa, kwa hisia na kuconect dots ni serikali itakayohusishwa.

Tuwe watulivu tukisubiri taarifa ya jeshi la polisi. Na pia kwa wenye uwezo wafanye uchunguzi binafsi ili taarifa wanazoleta ziwe na ushahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mwisho umemalizia vizuri eti tuwe watulivu tusubirie uchunguzi sio! Sasa nisaidie kunielewesha eti uchunguzi wa prof mwaikusa, sengondo mvungi, kubenea, kibanda , Benn saanane, miili ya ruvu, mabomu soweto, wakili wa kujitegemea aliepotea, Alfonce mawazo, kutekwa roma, aliemtishia Nape bastola hadharani, waliotaja na Lissu kuwa wanamfuatilia na mengineyo kama hayo tulisubili majibu ya polisi wakishachunguza, sote tunajua ya kwamba hakuna majibu yaliotoka polisi kwa uchunguzi wao hata ya uongo tu, tena leo we unasema tusubili uchunguzi wa polisi kweli? Au hadi ikutokee kwako au familia yako ndio utatumia akili yako uliopewa na mungu? Sawa bana dunia tunapita.
 
Naongezea Mh chacha wangwe alipokufa kwa ajari isiyoeleweka rais hakuwa magufuri, Mh Lisuu kwenda Kenya nikutafta faziri za madaktari wahuko kwa kuwa magufuri alitaka kupereka madoctor250

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndio ukweli na asiyetaka kuukubali basi ahame nchi...
Watu humu wanaituhumu na kuichkia serikali kwa mambo yao binafsi na sio kwa faida ya Taifa....msitake kufanya nchi hii kua ninyi ndio mnaiskilizia uchungu..wengine maisha yao hayahusiani na siasa dawa zikose waisha zoea wanatumia za kienyeji sasa hawa wahanga wa ajira ndio mnasumbua Taifa hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo unaetaka ahame nchi utahama nae ili uwe mkewe mi nianze kujipanga tuhame nchi ya laana hii tukaishi pasipojulikana?
 
Mbona mnatumia Nguvu kubwa kuitetea Serikali na suala hili la Lissu kuna nini nyuma maana mnatumia nguvu kubwa mpaka wajinga watastukia
 
FACT;
TUNDU LISSU alikwisha waambia Sirro na yule wa TISS tena hadharani kuwa kuna "vijamaa" vyao vinamfuatilia kila mahali Kwa gari alilowapa namba zake
Je walichukua hatua gani?
Aliripot kituo gan?
Na alifungua report book file?
Aliita media na kusema anamwabia sirro na RPC wa dar kuwa vijana wanaowatuma kumfutilia amewakaba maeneo ya osterbay (parish) sasa hapo police waanze kufuatilia nin na hakuna malalamiko officially!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni watu wachache sana watakao kuelewa unamaanisha nini? watanganyika wamekuwa mainvestigator na madetective kichwani mwao na ktk ubongo space ya majibu kuko full wakati space ya facts na maswali kuko empty

kwamba maandamano yanahitaji kibaki cha polisi ?
Katiba ya wapi hiyo ?
 
Wanatumia kodi yangu kujitafuta!!!wakati huku hatuna
maji huu ndio ujinga kiwango cha run way ya chato airport
 
Aliripot kituo gan?
Na alifungua report book file?
Aliita media na kusema anamwabia sirro na RPC wa dar kuwa vijana wanaowatuma kumfutilia amewakaba maeneo ya osterbay (parish) sasa hapo police waanze kufuatilia nin na hakuna malalamiko officially!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna namna official ya kuripoti uhalifu?
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Tangu lini umekuwa msemaji wa serikali we mburula? Ulivyo mjinga hata hujui kama kuna polisi alifikishwa kortini baada ya shinikizo kubwa kuhusiana na kifo cha Mwangosi lakini Kamuhanda alipandishwa cheo. Na ulivyo mbugila mbugila hata hujui kwamba kuna "chizi alikamatwa " kwa Gwajima eti alienda kufanya toba kwa aliyofanya kwa akina Ulimboka!

Iko hivi, approach za kijinga ambazo unawazunga nazo mbugila mbugila hazina nafasi kipindi hiki. zimepitwa na muda! Na akili yako imeishapitwa na muda, pumzika acha wenye akili za kisasa wafanye kazi!
 
Dah!! Kweli wakati huo hakuwa yeye, ila sasa ndie..

Mh!! Hivi hiki chama kiliwahi kuwa chema!!!!!!?
 
Serikali itoe nini nayo ndio mhusika mkuu ? Bashite alitumia policcm kama ma house boy wake na bunduki za walipoa kodi kama zake na serikali ilimpongeza vilevile,kwa hili la Lisu ndo itafanya nini serikali yako hiyo ? Msidhani komedi zenu zina faa kila mahali,kuna wakati zina kwama.komedi mwisho amboni.kwenda zenu huko na serikali yenu ya kiuaji.kila mtu mbaya kila mtu alipwe kisasi,kila mtu adui,hiyo ni serikali ni genge la wapigaji? Serikali itakua hiyo inayomaliza wapinzani !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni watu wachache sana watakao kuelewa unamaanisha nini? watanganyika wamekuwa mainvestigator na madetective kichwani mwao na ktk ubongo space ya majibu kuko full wakati space ya facts na maswali kuko empty
na bado hapa mbona trailer tu,tuende hivihivi maana hali hii inawasaidia wengine kuamka usingizini mpaka tuwe na uelewa kama wakenya maana kusema ukweli katika nchi za afrika mashariki wabongo tumelala sana,na nyie ambao bado mmelala endeleeni kulala maana KENGE hasikii mpaka DAMU zitoke masikioni.
 
Back
Top Bottom