Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Wewe shoga hatutaki blah blah zako za kijinga. Nenda kwa Bashite mkabidiilishane mawazo but usilete huu upuuzi hapa.
 
Le'mutus,
Ile tabia yako ya kutumika kama brush ya viatu hujaiacha? Hizi ulizoziweka humu sio facts zinazoweza kumwongoza yeyote kufikia suluhisho.
Najua unachokiyafuta kwenye mitandao ya kijamii. Ni sympathy ya wasomaji na members ili angalau ujifariji na hii sintofahamu mlioisababisha.
Kiukweli hatia hii haitakuepukeni kwa jinsi ambavyo mmeifanya. Kumbe unajua kwa kina aina ya silaha, gari kutukubandikwa plate namba na umbali wa mita 40 mliokaa na kuanza kurindimisha risasi? Hebu funguka zaidi basi na ikibidi ujipeleke kwa wanauchunguza japo najua hutaguswa na hatia yoyote wewe na huyo mwanampendwa!
 
Pale unaposubiri SERIKALI ijichunguze,ijihukumu......hakuna asiyesubiri taarifa ya serikali,ila kwa mwenendo wa matukio hivi karibuni ni lazima watu wawe na hisia HASI juu ya serikali. Tusubir wauaji wajitokeze kanisani kama yule wa..........
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz

Mkuu kwani jibu si liliisha tolewa ni watu wasiojulikana au kuna lingine tena?
 
Natofautiana na wewe mkuu Le Mutuz.
Heri wewe uwaombe serikali waseme yule jamaa aliyemtolea bastola Nape.
Tuanzie hapo.
 
naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!
“Mimi ninaamini kuwa nguvu zile zile za uovu zilizokuwepo tangu awamu zilizotangulia ndizo zinazoendeleza unyama kama huu. Ninamwomba Mungu ampe (Lissu) uponyaji wa haraka”.By Askofu Shoo. Nafikiri umeelewa wewe mtu mzima ovyoo
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Kwanza nawapa pongezi Chadema na Mh Mbowe kwa uamuzi wa harakana makini wa kumpeleKA MH lissu Nairobi kwa matibabu zaidi . Hali ya Lissu ilikuwa inahitaji matibabu ya dharura sana na utaalamu wa hali ya juu kutokana na majeraha ya risasi . Hospitali ya Dodoma walichofanya ni kustabilize hali ya Mh lissu na matibabu zaidi kufuata . Ndio maana alipofika Nairobi ilibidi apelekwe tena chumba cha upasuaji kwa matibabu zaidi kitu ambacho sio cha kawaida . Katika hali ya Lissu muda ni kitu muhimu sana [POLITRAUMA] , kwani ukichelewa tu hapo ndio unakaribisha complication mbali,
Pili hospitali zetu kila siku utasikia vitu muhimu kama CT scan , MRI scan na Ultrasound machine havifanyi kazi au vimeharibika, kwa hiyo Hospitali maarufu huwa ni muhimu sana kwa matibabu ya lissu na wengineo kutokana na upatikanaji wa vifaa vya kisasa
 
Kwani ni mwema mbele ya jamii? mtu hana huruma na watu wake sijui huwa anazungumzia wanyonge gani
Na hamtafanikiwa kutuaminisha hivi.. Rais wetu tunazidi kumpenda siku hadi siku. Viva Magufuli.
 
Jisemee peke ako usitujumlishe wote bhana ,hata ukimuunga mguu ni wewe bhana
Wewe tuko wengi, muache atuwakilishe. Wananchi wanyonge tunamuunga mkono Rais wetu, mlituonea sana enzi zile. Sasa hamna tena makando kando mnalialia na Magufuli. Magufuli oyeeeeeeeeeeeee..
 
Kwanza nampa pole sana Mh Lisu kwa yaliyomkuta, tuendelee kumwombea.

Ewe Mwalimu, ewe Mhandisi, ewe dereva, ewe Daktari, ewe Mhasibu, ewe Mfanyabiashara, ewe mmiliki wa kampuni ,ewe mfanyakazi au mjasiliamali katika sekta fulani, unaweza kukubali kuingiliwa kwenye kazi zako?

Kila idara ina miiko yake (Terms and Conditions), kwanini watu huwa wanalazimisha Jeshi la Polisi liyafanyie kazi mawazo /umbea wa kila mtu mtaani hasa hawa wanasiasa wanaotafuta kick kupitia matukio muhimu?

Kwenye kazi zako utakubali uendeshwe na mtu ambaye siyo kazi yake na haimuhusu? Kwann wewe unalazimisha Polisi wawakamate watu haraka haraka kutokana na mihemko ya watu mtaani?

Kila kazi ina ethics zake. Wale nao wamesoma, wamefundishwa nidhamu ya kazi, kila kazi ina taratibu zake.

Tuache uzwazwa!

Tusubiri matokeo ya Polisi
 
Back
Top Bottom