Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Wewe Le Mburulaz, na Kama serikali ndo inahusika tumwachie nani?
 
Waliitaka kumua Tundu ni maadui zake kisiasa. Hili ni suaka la siasa sio ujambazi.
Amekuwa akifatwa na watu fulani wa state amelitamka hili. Uchunguzi si kwa polisi hawa walio lewa ulevi wa kiccm.
Sio kwa hawa hata dua wanapiga watu
Sio hawa ukivaa fulana ya get well Lissu wanakukamata
Sio kwa hawa kuchangia damu tu kama ishara ya upendo kwa mtu wao ni nongwa....sijui unaongea vyombo gani ? Hivi vya umma vimepoteza uhalali huo....labda waje Scortland yard...
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Kwa hiyo our current no 1 si anaongoza serikali inayoundwa na chama kile kile (CCM) ambacho hizo facts zako matukio hayo yalitokea?or yashafagiliwa chini ya zuria kwa hiyo mpangaji mpya ni msafi ?maadamu uchafu upo chini ya zuria !elewa kuna familia ambazo zilipoteza wapendwa wao,bread winners wao,na ni haki yao kujua nini kiliwakuta wapendwa wao na hadi leo serikali ya ccm haijatoa taarifa yeyote ,but we don't care because me and u we are part of the selected ones ambao tunafurahia pie ya taifa,waliouliwa sio ndugu au rafiki zetu,isipokuwa our number one kwa sasa ni msafi maisha yaendelee,kumbuka history itakuja kutuhukumu.
 
Kwa hiyo our current no 1 si anaongoza serikali inayoundwa na chama kile kile (CCM) ambacho hizo facts zako matukio hayo yalitokea?or yashafagiliwa chini ya zuria kwa hiyo mpangaji mpya ni msafi ?maadamu uchafu upo chini ya zuria !elewa kuna familia ambazo zilipoteza wapendwa wao,bread winners wao,na ni haki yao kujua nini kiliwakuta wapendwa wao na hadi leo serikali ya ccm haijatoa taarifa yeyote ,but we don't care because me and u we are part of the selected ones ambao tunafurahia pie ya taifa,waliouliwa sio ndugu au rafiki zetu,isipokuwa our number one kwa sasa ni msafi maisha yaendelee,kumbuka history itakuja kutuhukumu.

- Sijakuelewa kuwa namba one wa sasa anahusika na kifo cha Chacha Wangwe au Dr. Mwekyembe kuwekewa sumu au kuuliwa kwa Mtikila au what?

le Mutuz
 
- kijiua baada ya kubakwa na Wanaume 10 kwa sababu ya kupenda wake za watu unasema ni ushujaa? Please

le Mutuz
Hayo yote uliyotaja, ulimboka, kibanda, wangwe mpaka leo si serekali wala polisi waliotupa majibu ya nn kilitokea halafu tuendelee kuamini serekali na polisi?? Upuuzi mtupu
 
- Sijakuelewa kuwa namba one wa sasa anahusika na kifo cha Chacha Wangwe au Dr. Mwekyembe kuwekewa sumu au kuuliwa kwa Mtikila au what?

le Mutuz
hapa ndipo lilipo tatizo.hiki kikombe cha maovu yote kinaishia kwenye mlango wa serikali,na nani ni msimamizi wa serikali ni rais wetu na chama gani kinachounda serikali ni ccm,huwezi kutenganisha haya mambo na ,,vile vile mafanikio yaliyofikiwa ni serikali inayoundwa na ccm,hiyo mifano yote upo right ni serikali iliyoundwa na ccm ingekuwa imeshatupa majibu yote hayo,elewa katiba inamuelekeza our number 1kuwa ndio mlinzi mkuu wa watanzania wote na hata ambao wako ndani ya mipaka yetu.ni haki yetu tupate majibu na hasa wenye ndugu ambao wameathiriwa moja kwa moja kwa matukio hayo mkuu.
 
sorry na kuhusu Mtikila kwangu ile ni car accident sio kuuliwa may be u know better please tuelezee kuwa haikuwa ajali bali aliuliwa.
 
Hayo yote uliyotaja, ulimboka, kibanda, wangwe mpaka leo si serekali wala polisi waliotupa majibu ya nn kilitokea halafu tuendelee kuamini serekali na polisi?? Upuuzi mtupu

- Sasa mbona hamjaandamana kujua matokeo ya nani alimuua Chacha Wangwe au?

le Mutuz
 
hapa ndipo lilipo tatizo.hiki kikombe cha maovu yote kinaishia kwenye mlango wa serikali,na nani ni msimamizi wa serikali ni rais wetu na chama gani kinachounda serikali ni ccm,huwezi kutenganisha haya mambo na ,,vile vile mafanikio yaliyofikiwa ni serikali inayoundwa na ccm,hiyo mifano yote upo right ni serikali iliyoundwa na ccm ingekuwa imeshatupa majibu yote hayo,elewa katiba inamuelekeza our number 1kuwa ndio mlinzi mkuu wa watanzania wote na hata ambao wako ndani ya mipaka yetu.ni haki yetu tupate majibu na hasa wenye ndugu ambao wameathiriwa moja kwa moja kwa matukio hayo mkuu.

- Sasa kama una ushahidi wote huu kwa nini usiupeleke Polisi au the Haque maana inaeonekana unayajua vizuri na yote na wahusika, duh!

le Mutuz
 
- Sasa kama una ushahidi wote huu kwa nini usiupeleke Polisi au the Haque maana inaeonekana unayajua vizuri na yote na wahusika, duh!

le Mutuz
hahaa

tenderfoot, unripe, juvenile, babyish, immature

lipi linakufaa sana[emoji41]
 
Kwa mfano tuuh, labda serikali ikiwa inahusika itasema ni yenyewe inayohusika???

Ebu jiongeze, angalau akili yako iendane na mwili..! Mwili jumba akili kipisi kweli ndugu Lembembezi..??
Sio akili iendane na mwili akili iendane na umri wake basi
 
nasikia huyu mzee sio riziki. sasa sijui ni kweli au ni wabaya wake tu wanamchafua.

- hahahahaa mlevi hudhani wengine wote ni kama yeye so unatuambia jinsia yako ili iwe nini mkuu sana? hahahahaha kumbe ndio mambo yako hayo? duh! hahahaha

le Mutuz
 
Back
Top Bottom