Emok Jr
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 1,094
- 800
Wakuu natumai mko wazima wa afya!
Leo nimeleta mada hii ili tuweze kujua historia ya hii jamii ya maninja.
Maninja ni moja ya jamii zilizokuwa hatari sana miaka hiyo...
Sasa wakuu aka GREAT THINKERS naombeni mnifahamishe historia ya hawa maninja
1.Hawa ninja asili yao ni wapi?
2.Maujuzi yao ya mapigano walitoa wapi?
3.Maninja wapo mpaka karne hii?
4.kama hawapo walipotelea wapi?
5. Mahasimu wao wakubwa walikuwa ni nani?
Wakuu anayejua karibu uwanja ni wako utugawie madini hapa!
Cc The blod plantair Malcom Lumumba Infantry Soldier Mshana jr Gudume invisible
Jf members wote karibuni mnipe history ya ninjas
Mods naomba huu Uzi ujitegemee.
Leo nimeleta mada hii ili tuweze kujua historia ya hii jamii ya maninja.
Maninja ni moja ya jamii zilizokuwa hatari sana miaka hiyo...
Sasa wakuu aka GREAT THINKERS naombeni mnifahamishe historia ya hawa maninja
1.Hawa ninja asili yao ni wapi?
2.Maujuzi yao ya mapigano walitoa wapi?
3.Maninja wapo mpaka karne hii?
4.kama hawapo walipotelea wapi?
5. Mahasimu wao wakubwa walikuwa ni nani?
Wakuu anayejua karibu uwanja ni wako utugawie madini hapa!
Cc The blod plantair Malcom Lumumba Infantry Soldier Mshana jr Gudume invisible
Jf members wote karibuni mnipe history ya ninjas
Mods naomba huu Uzi ujitegemee.