Tuige hii desturi ya wachaga

Tatizo la watanzania wengi ni kwamba wako incomptent na ndiyo maana kila mmoja analilia kuajiliwa serikalini ili asiwe anafanya kazi bali awe analipwa kwa kupiga domo tu na kuto onekana kazini. Yaani utakuta mtu kaajiliwa serikalini, asubuhi anakwenda kazini kusign kuwa yupo kazini, baada ya saa moja anarudi nyumbani kwenda kuuza vitumbua na mwisho wa mwezi analipwa mshahara as mfanya kazi wa serikali. Nimeshuhudia pale wizara ya mambo ya ndani, utakuta umepewa ahadi na fulani umfuate kesho muda wa kazi, yaani asubuhi. Utakwenda pale an hour before na utakaa mpaka jioni jamaa hatokei, ukirudi mitaani unamkuta yuko restaurant na wahindi pamoja na wasomali wakimhonga kuwapa passport. Ila to hell with wachagga, I will never copy them....I am competent and they (wachagga) need to copy me ili wajifunze mawii matatu.
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.
Acha usengerema wewe nyie ndo wale watoto wa kiswahili mnabaki kusema wachaga wachawi.wezi. uku tunazidi kuwaamisha mjini na uko mnako amia baada miaka tunakuja kiwanunua pia kama amtafanya kazi
Kaua mchawi au mwizi na wewe ili ufanikiwe acha mboyoyo za k.....a
 
Hii field sio division of Labour ni division of tribe wewe,mbona kazi nyimgine hufanywa na watu wa makabila mbalimbali,zaidi ya hiko kimgine mlichokuwa nacho ni kubebana tu.hamna lolote.
 
Hii field sio division of Labour ni division of tribe wewe,mbona kazi nyimgine hufanywa na watu wa makabila mbalimbali,zaidi ya hiko kimgine mlichokuwa nacho ni kubebana tu.hamna lolote.
sema usemavyo lakini huyo unayemdharau analisha familia yake, anatoa msaada kwa wazazi wake na chanzo kikubwa cha habari kwa wapenda vijiwe kama wewe
 
sema usemavyo lakini huyo unayemdharau analisha familia yake, anatoa msaada kwa wazazi wake na chanzo kikubwa cha habari kwa wapenda vijiwe kama wewe
Hata kobe anafamilia na anailisha, ije kuwa shoe shiner mangi.
 
Mimi ni Mkuria,Baba yangu alishaniambia ukienda mahali popote hapa Tz ukimkosa mchaga ni siishi hilo eneo halifai.
Wee jamaa genius, niliwahi kuishi Makete miaka hiyo hawakuwepo sijui siku hizi. Kwa hiyo una maana nilikosea kuishi kule?
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.
Mkuu ni maarifa na kujituma tu,hamna muujiza hapo,kama mchaga,"ubepari & maslahi ya SHILINGI ni KIPAUMBELE CHA KWANZA",Pale tu jua linapokucha...ndio ukweli hapo
 

Acha akili za kijinga ndugu, huo uchawi huko kwenu sumbawanga, bagamoyo, ukerewe, mbozi, Dodoma, au musoma haupo?
We kalia kupiga domo na kuoa wanawake 4 na kuzaa lundo la watoto halafu usichape kazi uone kama utatajirika.
Utabaki kulia lia na kusema wachaga wachawi sijui wezi wenzako wanapiga kazi mwanzo mwisho na kusonga mbele.
Kwa taarifa yako hakuna mchawi tajiri, sasa jipime mwenyewe nani mchawi kati yako na mchaga..
 
kweli ukiona sehemu mchaga hana mzuka nayo au biashara jifikirie Mara mbili ujipange upya sasa wew kakae sehemu kuna watu wa kigoma, pwani, lingo, mtwara, tanga uone
 
Mtawananga Wachaga mseme wezi na wachawi lakini ukweli ni wachapa kazi. Kwanza hakuna mchawi tajiri. Na kama Wachaga wezi mbona vyombo vya dola havijawakamata? Kama kweli ni wezi lakini hawakamatiki basi waongezee sifa ingine kwamba wana akili sana kiasi kwamba hata wanaweza kukwepa vyombo vya dola. Lazima mkubali. Huku duniani kuna makabila/mataifa ambao ni wachapa kazi kuliko wenzao. Waisraeli hata muwasemeje wako juu tu kibiashara, na kiakili kulinganisha na wazungu wengine. Wewe utasema Wahaya sio wasomi (japo wana dharau ubaguzi na maringo)? Kuna ukweli ambao lazima uukubali. Wakikuyu wamewazidi Wakenya wenzao kwa uchacharikaji kibiashara na kielimu. Na Wachaga hivyo hivyo kwa upande wa Tanzania
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.
n jambo la ajab san kupinga hoja kwa chuki binafs

n sawa na kusema diamond freemason wakt umemfollow insta
 
[emoji41][emoji41]Big up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…