leo Nyambari nimeyapenda madesa yako. Tujadili mstakabali wa kulikomboa Taifa linaloangamia kwa wasomi kukosa maarifa zaidi kukaa na kutunishiana misuli kwa mitaa juu ya vyuo tulivyosoma utadhani ndilo suluhisho la kuikomboa nchi yetu ambayo wanafaidi wachache ni ukosefu wa Taaluma. Maendeleo ya nchi hii hajaletwa na waliosoma Udsm, Sua, mzumbe, Muhas, teku, Herbert kairuki, Ifm, tia, Iaa nk bali na wote ambao hawakusoma na waliosoma katika vyuo vyetu. Hayo mambo ya nilisoma Ilboru nikawa T.O hatuhitaji. Tunataka umechango gani hasi kwa maendeleo ya Taifa. Mbona WAHASIBU Wengi ndo wezi kuhujumu pesa za Halmashauri zetu ambazo ni kodi za wananchi ambao ni walalahoi (CHEAPJOHNS) je tuvilaumu vyuo walivyopitia wahasibu hao kama IAA, TIA, IFM nk? Yepi mawazo yako juu ya hili? Nawasilisha