Aden Rage alipowaita mbumbumbu kweli hakukosea mijitu gani isioelewa mada inayozungumzwa mwandishi alimwulize Senzo nini cimment yake kuhusu Manara kuishambulia Yanga mara kwa mara Senzo akajibu kwa kumfananisha Manara na vuvuzela nyie wamatopeni mnageuza eti akuwaambia wanayanga kuwa ni mavuvuzela acha kupotosha