Tuijadili kauli ya Senzo

Tuijadili kauli ya Senzo

alichoongea ni ukweli by the way tujadili kipi sasa kauli yake? kocha wa Yanga? Watanzania kukaa kimya? au TFF kutosema kitu?
 
Aden Rage alipowaita mbumbumbu kweli hakukosea mijitu gani isioelewa mada inayozungumzwa mwandishi alimwulize Senzo nini cimment yake kuhusu Manara kuishambulia Yanga mara kwa mara Senzo akajibu kwa kumfananisha Manara na vuvuzela nyie wamatopeni mnageuza eti akuwaambia wanayanga kuwa ni mavuvuzela acha kupotosha
Kwa hiyo Eymael alivyowaita manyani , uneducated, mnabweka kama mbwa alimaanisha mashabiki wa yanga sio watanzania
 
Back
Top Bottom