Tuijadili sheria za CAF, Wydad akishinda mechi zote, Simba akidraw moja

Tuijadili sheria za CAF, Wydad akishinda mechi zote, Simba akidraw moja

Kama ikitokea Simba akatoa draw na Asec na akamfunga Jwaneng hata 1-0 tu, Wydad itabidi amfunge Jwaneng goli 5-0 ili alingane magoli na Simba....Wydad hii inaweza?
Hata akiifunga Jwaneng 10-0 kanuni zinaibeba Simba kama wakilingana point. Maombi ya Wydad ni kwamba ASEC aifunge Simba, asiipe sare au ushindi
 
Kwahiyo Wydad hata aipige timu nyingine magoli mengi na tukalingana points hakuna madhara

Sent using Jamii Forums mobile app
Wydad hata ashinde goli kumi kumi kwa kila mechi zilizobaki haitamsaidia kitu kama Simba atafikisha Points 9 kwenye kundi
CAF wanaangalia "Head on" kwanza mkilingana points

Ambapo kwa ilivyo Simba 2 Wydad 1
 
Robo si stori tena kwa 5imba maana mara nne mmesimama hapo..!! Na kuna mshindano mlianzia robo na mkaishia hapo hapo robo
Simba kashaizoea robo, akiishia robo anajiona amefeli, huku kuna timu inasali usiku na mchana ndoto zake ni kufika robo....... Kweli hatufanani
 
Kwahiyo Wydad hata aipige timu nyingine magoli mengi na tukalingana points hakuna madhara

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah,
Kigezo Cha kwanza ni H2H ambacho kipo in favor of Simba.

So Simba inabid alazimishe draw pale Kwa Asec Kisha Jwaneng aje achezee kichapo Kwa Mkapa.
 
Back
Top Bottom