Tuijue Katiba: Rais akifia madarakani, basi makamu wake aliyegombea naye akapigiwa kura anarithi. Je, vipi kama makamu hakupigiwa kura?

Tuijue Katiba: Rais akifia madarakani, basi makamu wake aliyegombea naye akapigiwa kura anarithi. Je, vipi kama makamu hakupigiwa kura?

Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Mkuu ni hivi;-

Ndipo wataitwa wazee wa kimedani wafanye kikao Cha siri ,ndipo watamtafuta FDR yaani Franklin Delano Roosevelt wa Tanzania kama ilivyotokea kule america,ndipo ataapishwa kuwa ndie na michakato ya kuahirisha chaguzi za serikali za mitaa utafanyika Hadi katiba mpya ipatikane kwanza ndio tutaingia kwenye uchaguzi mkuu!!

Hayo yote ni kwa mujibu wa maandishi ya Tumia akili humu jamvini!!

Kwa mujibu wake ni kwamba FDR alipaswa kuingia mwaka jana lakini operation iliahirishwa ili kumpa nafasi ya kutekeleza maagizo lakini maagizo hayakufuatwa ilibidi "original plan in and out " excuted kama tetesi zinavyovuma!!

Sasa tujiulize FDR atakua nani!!?

Mpina!!?Bashungwa!!?Dr. Biteko!!?au josephat Askofu au Dr mwinyi!!?au Majaliwa kasim majaliwa !!?

Nawaza tu mwenzenu!!
 
Mkuu ni hivi;-

Ndipo wataitwa wazee wa kimedani wafanye kikao Cha siri ,ndipo watamtafuta FDR yaani Franklin Delano Roosevelt wa Tanzania kama ilivyotokea kule america,ndipo ataapishwa kuwa ndie na michakato ya kuahirisha chaguzi za serikali za mitaa utafanyika Hadi katiba mpya ipatikane kwanza ndio tutaingia kwenye uchaguzi mkuu!!

Hayo yote ni kwa mujibu wa maandishi ya Tumia akili humu jamvini!!

Kwa mujibu wake ni kwamba FDR alipaswa kuingia mwaka jana lakini operation iliahirishwa ili kumpa nafasi ya kutekeleza maagizo lakini maagizo hayakufuatwa ilibidi "original plan in and out " excuted kama tetesi zinavyovuma!!

Sasa tujiulize FDR atakua nani!!?

Mpina!!?Bashungwa!!?Dr. Biteko!!?au josephat Askofu au Dr mwinyi!!?au Majaliwa kasim majaliwa !!?

Nawaza tu mwenzenu!!
Mleteni Biteko
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Kiongozi katiba sio Siri weka kifungu na sisi tusome
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
@brita
Tatizo la nchi ya Tanzania ni mifumo iliyokosewa tangu mwanzo.

Kinachotokea sasa na kitazidi kutokea ni watu kutafuta wa kumlaumu na kumbebesha lawama mtu mmoja. One person cannot be a sole cause for our problems.

Tatizo la hii nchi ni kila mwananchi kutokuona umuhimu wa kuungana kupigania haki zake.

Tumebakiza kupiga ramli tu na kuombea viongozi vifo. Pathetic
hahaha kama utani tu bosi ila katiba haitaji kura inataja cheo tu. Halafu mbona mnakuja na hizi hadithi?? Tusiwe kama mjinga Zitto Kabwe aliyekuwa anakesha anashangilia kifo cha Dkt Magufuli, yaani siku akifa Zitto nadhani mzoga wake utamwagiwa mawese jinga sana
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Nasemaje.....
Siku zote tetesi huanza kwa minong'ono
Hizi nyuzi zimekuwa nyingi. Kuna Nini kinatengenezwa huko juu? Wajuvi watuambie
Fore Shadowing Propaganda???
 
Back
Top Bottom