Tuijue Katiba: Rais akifia madarakani, basi makamu wake aliyegombea naye akapigiwa kura anarithi. Je, vipi kama makamu hakupigiwa kura?

Mkuu ni hivi;-

Ndipo wataitwa wazee wa kimedani wafanye kikao Cha siri ,ndipo watamtafuta FDR yaani Franklin Delano Roosevelt wa Tanzania kama ilivyotokea kule america,ndipo ataapishwa kuwa ndie na michakato ya kuahirisha chaguzi za serikali za mitaa utafanyika Hadi katiba mpya ipatikane kwanza ndio tutaingia kwenye uchaguzi mkuu!!

Hayo yote ni kwa mujibu wa maandishi ya Tumia akili humu jamvini!!

Kwa mujibu wake ni kwamba FDR alipaswa kuingia mwaka jana lakini operation iliahirishwa ili kumpa nafasi ya kutekeleza maagizo lakini maagizo hayakufuatwa ilibidi "original plan in and out " excuted kama tetesi zinavyovuma!!

Sasa tujiulize FDR atakua nani!!?

Mpina!!?Bashungwa!!?Dr. Biteko!!?au josephat Askofu au Dr mwinyi!!?au Majaliwa kasim majaliwa !!?

Nawaza tu mwenzenu!!
 
Mleteni Biteko
 
Kiongozi katiba sio Siri weka kifungu na sisi tusome
 
@brita
hahaha kama utani tu bosi ila katiba haitaji kura inataja cheo tu. Halafu mbona mnakuja na hizi hadithi?? Tusiwe kama mjinga Zitto Kabwe aliyekuwa anakesha anashangilia kifo cha Dkt Magufuli, yaani siku akifa Zitto nadhani mzoga wake utamwagiwa mawese jinga sana
 
Nasemaje.....
Siku zote tetesi huanza kwa minong'ono
Hizi nyuzi zimekuwa nyingi. Kuna Nini kinatengenezwa huko juu? Wajuvi watuambie
Fore Shadowing Propaganda???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…