Tuikumbuke 9.11.2001: Tarehe kama ya leo iliyobadilisha historia ya Dunia

Tuikumbuke 9.11.2001: Tarehe kama ya leo iliyobadilisha historia ya Dunia

Wengi wetu miaka 21 nyuma tarehe kama ya leo tunaikumbuka siku hiyo tukiwa na umri tofauti na majukumu tofauti. Wengi wengine walikuwa baddo hawajazaliwa au walikuwa wadogo sana kiasi hawajaelewa kilichotokea lakini leo hii hakiwaodoshei kutojuielewa siku hiyo.

Binfasi naikumbuka siku hiyo na nnakumbuka nilivyoganda kwenye kioo cha TV kutazama na kusikiliza kila details mara tu baada ya kupata habari:


View: https://youtu.be/i4CAwjfY-dU?si=P9rYvGne_6OroqjW

Ni siku ambayo iliibadilisha historia ya dunia na siku ambayo ilimgusa kila mtu katika maisha yake.

Binafafsi siku hiyo ilinibadilishia sana maisha yangu, nnadiriki kusema ni siku iliyoniondowa ujanani na kuniingiza utu uzimani kifikra na kimaisha. Matokeo na matukio mengi baada ya siku hiyo yalibadilisha sana mtazamo wangu wa dunia, mwelekeo, malengo na hata maisha yangu ya kila siku yalibadilika ghafla siku hiyo. Nashukuru AlhamduliLlah, mabadiliko hayo yalikuwa na matukio mengi ya kuhuzunusha na kusikitisha lakini kwa muda mrefu yalikuwa chanya "positive" kwa maisha niliyoishi kila siku baada ya tukio hilo.

Kama una picha, video, clip au chochote cha kuandika karibu sana kwenye kuikumbuka siku hii, muhimu kwa kila mwanadam.

Nakumbuka nilitembelea hili jengo kwa utalii tarehe 30/08/2001 na dada yangu kufika CA nasikia magaidi yamelipua na kuna mtu tulifahamiana sana sana alifariki kwenye kadhia ile....

Asiyejua machungu ya ugaidi atazame tukio lile...haki magaidi ni wakuchomwa moto.
 
Leo ni kumbukumbu ya ni 911, fumbo la ghorofa pacha la world trade center ambalo halipo tena.

Mgawanyo wa madaraka na majukumu

TISS kufuatilia usalama wa nchi/taifa, viashiria, mipango, wahusika, wafadhili, na hata utekelezaji wa jambo lolote baya linalohusika na taifa katika ujumla wake bila kuwasahau viongozi.

JWTZ, Jeshi la wananchi wenye nchi - Jukumu kubwa ni kulinda mipaka ya nchi/Taifa isiingiliwe na maadui, pia kwenda vitani inapohitajika nk.

Jeshi la Polisi Tanzania - Kulinda usalama wa raia na mali zake pamoja na majukumu mengine yote yanayohusika na usalama wa wananchi na mali zao.

Majeshi mengine yote ni wasaidizi tu toka hayo hapo juu.

Tumekuwa na kipindi kama cha mpito tangu sakata la bandari lilipoanza zaidi ya miezi mitatu sasa. Mambo yamekuwa mengi mno kulihusu mema na mabaya.

Ni ngumu kuwalaumu TISS kwakuwa hawa huwa hawaendi front, na kwa mtazamo wa kawaida unaweza kudhani hawajafanya kitu, lakini pengine kwenye hili sakata wanapaswa kushukuriwa pakubwa sana!

Linapokuja suala la mipaka ya nchi, kwa maana ya anga, nchi kavu na majini, mhusika mkuu ni JWTZ kwa msaada wa TISS. Suala la bandari ni mojawapo ya maingilio ya nchi kutoka mipaka ya majini.

Utendaji wa JWTZ ni tofauti sana na Jeshi la polisi. JWTZ sio watu wa matamko wala press conferences kwakuwa hawadili na wananchi moja kwa moja na ndio maana unaposikia Jeshi linataka kutoa tamko ama linataka kuongea na waandishi wa habari, tashwishwi huwa kubwa.

Matamko ya kutaka wananchi wasivae nguo zinazofanana na za kwao, matamko ya kutaka kuingia mitaani kusaka nguo/sare zinazofanana na za kwao, matukio yanayosambazwa mitandaoni wanajeshi wakiwaadhibu wananchi wanaokutwa na nguo zinazofanana fanana na zao, naomba niseme sio level za Jeshi letu ni kukiuka katiba na kuingilia majukumu ya wengine!

Kama tunaweza kuipongeza TISS kwenye sakata hili la bandari, basi sasa macho na masikio ya wananchi yana tashwishwi ya kusikia neno toka kwa mhusika mkuu wa mipaka na malango ya taifa. Matamko ya sare sio case sensitive kama ishu ya mipaka.

Kama KITI kimeamua kukaa kimya. Inaweza kuwa ni hasara kubwa yenye faida kwa wengine kama nalo likisema. Funika kombe mwanaharamu apite.

Bnadari zetu zinahusiana nini na 9/11?

Au unaongelea bandari ya New York?
 
After the catastrophic event, was when US Government declared "War on terrorism"
 
Siku muhimu kwa watu wa marekani na maadai zake walioshambulia.
 
baada ya hilo tukio sheikh aliekitufundisha madrasa alituambia Osama anaupigania uislamu
 
Nilikuwa kila siku natazama CNN .. kabla ya Hilo tukio cnn walikuwa hawana mchezo wa kuleta habari Kwa maandishi chini ya screen...yalianza baada ya tukio Hilo...now kila TV imeiga kasoro wahindi wao walianza mapema..
 

The Forever Prisoner​


1694907169337.jpeg
 
Kukumbuka milipuko kwa mzungu bila kujali kwenu pia palilipuliwa.

Kasumba na ulimbukeni wa ukoloni mamboleo.
 
Wengi wetu miaka 21 nyuma tarehe kama ya leo tunaikumbuka siku hiyo tukiwa na umri tofauti na majukumu tofauti. Wengi wengine walikuwa baddo hawajazaliwa au walikuwa wadogo sana kiasi hawajaelewa kilichotokea lakini leo hii hakiwaodoshei kutojuielewa siku hiyo.

Binfasi naikumbuka siku hiyo na nnakumbuka nilivyoganda kwenye kioo cha TV kutazama na kusikiliza kila details mara tu baada ya kupata habari:



Ni siku ambayo iliibadilisha historia ya dunia na siku ambayo ilimgusa kila mtu katika maisha yake.

Binafafsi siku hiyo ilinibadilishia sana maisha yangu, nnadiriki kusema ni siku iliyoniondowa ujanani na kuniingiza utu uzimani kifikra na kimaisha. Matokeo na matukio mengi baada ya siku hiyo yalibadilisha sana mtazamo wangu wa dunia, mwelekeo, malengo na hata maisha yangu ya kila siku yalibadilika ghafla siku hiyo.

Nashukuru AlhamduliLlah, mabadiliko hayo yalikuwa na matukio mengi ya kuhuzunusha na kusikitisha lakini kwa muda mrefu yalikuwa chanya "positive" kwa maisha niliyoishi kila siku baada ya tukio hilo.

Kama una picha, video, clip au chochote cha kuandika karibu sana kwenye kuikumbuka siku hii, muhimu kwa kila mwanadam.

Kwamba hiyo tarehe uliyoandika ndio inayoitwa September 11?
 
Wengi wetu miaka 21 nyuma tarehe kama ya leo tunaikumbuka siku hiyo tukiwa na umri tofauti na majukumu tofauti. Wengi wengine walikuwa baddo hawajazaliwa au walikuwa wadogo sana kiasi hawajaelewa kilichotokea lakini leo hii hakiwaodoshei kutojuielewa siku hiyo.

Binfasi naikumbuka siku hiyo na nnakumbuka nilivyoganda kwenye kioo cha TV kutazama na kusikiliza kila details mara tu baada ya kupata habari:



Ni siku ambayo iliibadilisha historia ya dunia na siku ambayo ilimgusa kila mtu katika maisha yake.

Binafafsi siku hiyo ilinibadilishia sana maisha yangu, nnadiriki kusema ni siku iliyoniondowa ujanani na kuniingiza utu uzimani kifikra na kimaisha. Matokeo na matukio mengi baada ya siku hiyo yalibadilisha sana mtazamo wangu wa dunia, mwelekeo, malengo na hata maisha yangu ya kila siku yalibadilika ghafla siku hiyo.

Nashukuru AlhamduliLlah, mabadiliko hayo yalikuwa na matukio mengi ya kuhuzunusha na kusikitisha lakini kwa muda mrefu yalikuwa chanya "positive" kwa maisha niliyoishi kila siku baada ya tukio hilo.

Kama una picha, video, clip au chochote cha kuandika karibu sana kwenye kuikumbuka siku hii, muhimu kwa kila mwanadam.

SEPTEMBER 11
 
Back
Top Bottom