Tuingize tu bure Jumatano baada ya Kushiba Uzuzu wetu kwa Kutupiga, ila Wajukuu wa Kwame Nkurumah wakituadhibu utatumbua na Magodoro yako

Tuingize tu bure Jumatano baada ya Kushiba Uzuzu wetu kwa Kutupiga, ila Wajukuu wa Kwame Nkurumah wakituadhibu utatumbua na Magodoro yako

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani Mashati yetu yenye Vifungo unayauza kwa Tsh 40,000/ halafu Wewe unachukua Tsh 38,500/ na Sisi Mazuzu wa Mafurikoni na Vyura wetu unatupa Tsh 1,500/ tu.

Nadhani bado hujatujua Sisi Mazuzu.
 
Back
Top Bottom