wewe akili yako sio nzuri. tuko 2022 na wewe unaleta vitu vya 2019 ili iweje sasaThat's because of the malnutrition you suffered during your childhood, you don't have senses.
View attachment 2097985
wewe akili yako sio nzuri. tuko 2022 na wewe unaleta vitu vya 2019 ili iweje sasa View attachment 2097996
Punguza upoyoyo ninyi, Tanzania is a food Exporter to other African countries, we consume 90% of our food, the rest we sell to lazy nations like Kenya 8%[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe akili yako sio nzuri. tuko 2022 na wewe unaleta vitu vya 2019 ili iweje sasa View attachment 2097996
MK254 uko salama? Nitakutumia vifuko vya sandarusi vya Michele, ngano, unga wa mahindi, mtama, uwele, mihogo na ngano. Pia nitakuletea ng'ombe, mbuzi na kondoo zawadi ya siku yako ya kuzaliwa.
Je navisafirishaje ili vikufikie kwa urahisi?
Hizi ndo tunazoita takwimu uchwara.wapi yule jamaa maneno mengi kama kasuku na hesabu zake za kimagumashi.. Mokaze kuja fanya hii hesabu... uskose kuja na zana zako zote pia Kama Worldometer, Speedometer, Barometer e.t.c.
tuambie ni yupi anayehitaji maombi hapa [emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2097765
View attachment 2097766
23% vs 24.7%
Global Hunger Index Scores by 2024 GHI Rank
Note: As always, rankings and index scores from this table cannot be accurately compared to rankings and index scores from previous reports.www.globalhungerindex.org
Mnapigwa na ripoti yenu wenywe, yani nimecheka kizembe..Punguza upoyoyo ninyi, Tanzania is a food Exporter to other African countries, we consume 90% of our food, the rest we sell to lazy nations like Kenya 8%[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania Shines in Food Exports
TANZANIA is Africa's third strongest exporter of food commodities to the rest of the world. The United Nations Conference on Trade and Development (UNCTAD) ranks the country third after Guinea and Mauritania in a ratio of basic food balance to total merchandise exports index published recently.allafrica.com
Uchwara na wakati mwenzako kazifungulia uzi mkaanza kushabikia sasa tulipowafungua mamcho nyie wazembe wa kusoma ripoti ndio mnajitia eti ni takwimu uchwaraHizi ndo tunazoita takwimu uchwara.
Kwa ground tunajua ni nani ana njaa.
Mkuu mimi nitakuwa mtu wa mwisho kabisa kuamini kwamba Tanzania tuna njaa kali kuishinda Kenya..huwa sipingani sana na takwimu,ila kuna nyingine ni za kimchongo..Uchwara na wakati mwenzako kazifungulia uzi mkaanza kushabikia sasa tulipowafungua mamcho nyie wazembe wa kusoma ripoti ndio mnajitia eti ni takwimu uchwara
Habari unaziskia wakati wa kiangazi pekeake, wiki hii umeskia habari gani..Mkuu mimi nitakuwa mtu wa mwisho kabisa kuamini kwamba Tanzania tuna njaa kali kuishinda Kenya..huwa sipingani sana na takwimu,ila kuna nyingine ni za kimchongo..
UAE walileta fuso la mahindi hadi ikulu la Kenya kisa wananchi wengi njaa imewakamata..upuuzi kama huu TZ umeshauona?..
Habari za maelfu ya raia wanakabiliwa na njaa kwenye habari za Kenya ni kitu tulichozoea ila sio hapa TZ.
Yaani hii kukurupuka yote una nitag kifala fala na haujasoma report π π π π π π π π π
Dar watu wanakufa na njaa??..Habari unaziskia wakati wa kiangazi pekeake, wiki hii umeskia habari gani..
Alafu hzo takwimu ni za wale watu ambao wanakufa njaa katika nchi husika, ukiangalia hku kwetu kaskazini mwa kenya idadi yao ni ndogo mno..
Ukumbuke hata marekani kuna watu wanalala njaa acha hyo kasumba yako ya kijinga...
24% ya watz wanakufa njaa, dar tayari wapo watu kibao njaa inawamaliza kila siku alafu unakuja kutetea ujinga hapa
Ni kwasababu hamkutoa ushirikiano kwa ma surveyors, watu waliokuwa wanakufa kwa njaa nyie mlipotosha mkasema ni korona
Ila uhalisia unaonekana, kenya ni nchi yenye njaa mno huwezi kuifananisha na tz ambayo ni baba wa EA inalisha vinchi vingi
Kwani kiingereza kinaingia shambani kulima?Hehehe!! Naona kama mumekurupuka, Kingereza najua ni changamoto Tanzania kuanzia kwa wanafunzi wa chekechea mpaka vyuo vikuu, hii ripoti hamkukaa muisome vizuri kabla kufungua uzi, kwa mujibu wa hii ripoti, Tanzania iko katika hali mbovu zaidi ya Kenya, sasa nikipokea hivyo unavyohangaika kuvituma itakua kama kumuonea maskini, jishibishe kwanza kabla haujawaza kutuma....pitia ripoti yote hapa usome alama ya Tanzania kisha ulinganishe na Kenya Global Hunger Index Scores by 2021 GHI Rank
Hatuwezi andika kwa mate na wino upo, yaani mko na potential ila kwa uzembe mnabakia tu nyuma, laana ya kiaina., utapia mlo mnaongoza, ufukara wa kiaina, yaani multidimentional poverty mnatajwa, idadi ya watu fukara wa kutupwa nyie mnaongoza ukanda huu π π π nani aliwaroga, ama beberu hawapendi nyie, report iliyo chapishwa ni ya dunia yote, wewe kalilie kwa choo π π π π π π π πHawa jamaa hawajui kushirikisha ubongo wao vizuri, yaani nchi inayoongoza kwa food security kusini mwa jangwa la Sahara halafu unailinganisha na kenya nchi ya 30/119 kwa njaa duniani.
π π π
Ebu achana na hiyo ya 2019 njoo kwenye hii ya miezi minne iliyopitawewe akili yako sio nzuri. tuko 2022 na wewe unaleta vitu vya 2019 ili iweje sasa View attachment 2097996
Kwani kiingereza kinaingia shambani kulima?
Hatuwezi andika kwa mate na wino upo, yaani mko na potential ila kwa uzembe mnabakia tu nyuma, laana ya kiaina., utapia mlo mnaongoza, ufukara wa kiaina, yaani multidimentional poverty mnatajwa, idadi ya watu fukara wa kutupwa nyie mnaongoza ukanda huu π π π nani aliwaroga, ama beberu hawapendi nyie, report iliyo chapishwa ni ya dunia yote, wewe kalilie kwa choo π π π π π π π π
Mko hovyo na mko na ardhi, yaani ni ezembe, ujinga na upumbavu kuchanganywa kwa pamoja, unapata Tanzania kama jibu.., π π π π π
View attachment 2098222
Kenya
View attachment 2098223
In becoming.., yaani kuna potential lakini kwa uzembe wenu bado mko hapa π π kiuhalisia..,bro vumilia tu, ukweli unauma π π π π π πSasa povu la nini bro??
Walinganishe
Kati ya
huyu hapa
π π π
Tanzania ahead of other African nations in becoming food secure
African countries are becoming food-secure by lowering food prices, improving market access and showing strong commitments to food security strategies and policies, according to a report.www.thecitizen.co.tz
Na
huyu hapa nani ameshiba!!?
π π π
View attachment 2098293