Tuiombee Kenya: Kenya ranked 30th hungriest nation out of 116 countries

wewe akili yako sio nzuri. tuko 2022 na wewe unaleta vitu vya 2019 ili iweje sasa View attachment 2097996


Hujui kimombo??!

A Part of It runs; " ---- over 35% of them ( you Kenyans) suffer from food insecurity and MULNUTRITIONS EACH YEAR--"

I have put it in Capital letters for you to see clearly.

Obviously, even in this 2022 you are going to have the same fate.

35% of your population suffers from malnutrition annually, you have been suffering from it since your childhood to adulthood, how can you be okay in your senses ???!!🀣
 
wewe akili yako sio nzuri. tuko 2022 na wewe unaleta vitu vya 2019 ili iweje sasa View attachment 2097996
Punguza upoyoyo ninyi, Tanzania is a food Exporter to other African countries, we consume 90% of our food, the rest we sell to lazy nations like Kenya 8%[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
MK254 uko salama? Nitakutumia vifuko vya sandarusi vya Michele, ngano, unga wa mahindi, mtama, uwele, mihogo na ngano. Pia nitakuletea ng'ombe, mbuzi na kondoo zawadi ya siku yako ya kuzaliwa.

Je navisafirishaje ili vikufikie kwa urahisi?

Hehehe!! Naona kama mumekurupuka, Kingereza najua ni changamoto Tanzania kuanzia kwa wanafunzi wa chekechea mpaka vyuo vikuu, hii ripoti hamkukaa muisome vizuri kabla kufungua uzi, kwa mujibu wa hii ripoti, Tanzania iko katika hali mbovu zaidi ya Kenya, sasa nikipokea hivyo unavyohangaika kuvituma itakua kama kumuonea maskini, jishibishe kwanza kabla haujawaza kutuma....pitia ripoti yote hapa usome alama ya Tanzania kisha ulinganishe na Kenya Global Hunger Index Scores by 2021 GHI Rank
 
Hizi ndo tunazoita takwimu uchwara.

Kwa ground tunajua ni nani ana njaa.
 
Mnapigwa na ripoti yenu wenywe, yani nimecheka kizembe..
Unaleta kitu jamvini kumbe hata hujui mle ndani mna nini
 
Mungu awasaidie. sitasahau jinsi ndugu zetu walivyohangaika na malori ya kupeleka mahindi kwao mwaka jana na mwaka juzi. wengi walipata hasara kwasababu tu kenya wamesema mahindi yetu yana sumu, na kwasababu ya bifu za kibiashara. kuna waziri mmoja alisimama akasema kenya itatafuta sehemu nyingine ya kununua mahindi sio lazima tanzania.
 
Uchwara na wakati mwenzako kazifungulia uzi mkaanza kushabikia sasa tulipowafungua mamcho nyie wazembe wa kusoma ripoti ndio mnajitia eti ni takwimu uchwara
Mkuu mimi nitakuwa mtu wa mwisho kabisa kuamini kwamba Tanzania tuna njaa kali kuishinda Kenya..huwa sipingani sana na takwimu,ila kuna nyingine ni za kimchongo..

UAE walileta fuso la mahindi hadi ikulu la Kenya kisa wananchi wengi njaa imewakamata..upuuzi kama huu TZ umeshauona?..

Habari za maelfu ya raia wanakabiliwa na njaa kwenye habari za Kenya ni kitu tulichozoea ila sio hapa TZ.
 
Habari unaziskia wakati wa kiangazi pekeake, wiki hii umeskia habari gani..

Alafu hzo takwimu ni za wale watu ambao wanakufa njaa katika nchi husika, ukiangalia hku kwetu kaskazini mwa kenya idadi yao ni ndogo mno..
Ukumbuke hata marekani kuna watu wanalala njaa acha hyo kasumba yako ya kijinga...

24% ya watz wanakufa njaa, dar tayari wapo watu kibao njaa inawamaliza kila siku alafu unakuja kutetea ujinga hapa
 
Yaani hii kukurupuka yote una nitag kifala fala na haujasoma report πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Yaani mko miongoni mwa nchi zenye serious levels of hunger., propaganda ya CCM iko wapi? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

 
Dar watu wanakufa na njaa??..

You can't be serious.

Tz kiangazi huwa hakitokei??..hizo habari mbona tusizikie kama tunavyosikia za Kenya?
 
Ni kwasababu hamkutoa ushirikiano kwa ma surveyors, watu waliokuwa wanakufa kwa njaa nyie mlipotosha mkasema ni korona

Ila uhalisia unaonekana, kenya ni nchi yenye njaa mno huwezi kuifananisha na tz ambayo ni baba wa EA inalisha vinchi vingi

Hawa jamaa hawajui kushirikisha ubongo wao vizuri, yaani nchi inayoongoza kwa food security kusini mwa jangwa la Sahara halafu unailinganisha na kenya nchi ya 30/119 kwa njaa duniani.

πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
 
Kwani kiingereza kinaingia shambani kulima?
 
Hawa jamaa hawajui kushirikisha ubongo wao vizuri, yaani nchi inayoongoza kwa food security kusini mwa jangwa la Sahara halafu unailinganisha na kenya nchi ya 30/119 kwa njaa duniani.

πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
Hatuwezi andika kwa mate na wino upo, yaani mko na potential ila kwa uzembe mnabakia tu nyuma, laana ya kiaina., utapia mlo mnaongoza, ufukara wa kiaina, yaani multidimentional poverty mnatajwa, idadi ya watu fukara wa kutupwa nyie mnaongoza ukanda huu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ nani aliwaroga, ama beberu hawapendi nyie, report iliyo chapishwa ni ya dunia yote, wewe kalilie kwa choo πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Mko hovyo na mko na ardhi, yaani ni ezembe, ujinga na upumbavu kuchanganywa kwa pamoja, unapata Tanzania kama jibu.., πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚


Kenya
 
Kwani kiingereza kinaingia shambani kulima?

Kingereza kinasadia kuondokana na masaibu ya aibu aliyokumbana nayo mleta mada, kakurupuka bila kusoma ripoti yote, ameishia kuukimbia uzi wake, na kuacha MATAGA waendelee kujianika walivyo hovyo, uzuri wao huwa hawana aibu, wakilipwa buku saba wataendelea kuandika chochote.
 

Sasa povu la nini bro??

Walinganishe
Kati ya

huyu hapa
πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡




Na

huyu hapa nani ameshiba!!?
πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

 
In becoming.., yaani kuna potential lakini kwa uzembe wenu bado mko hapa πŸ‘‡ πŸ‘‡ kiuhalisia..,bro vumilia tu, ukweli unauma πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚


Sasa nimeanza kuamini uzembe pia ni laana, sio tu ujinga, yaani mzungu amewaonyesha vile mnaeza kulisha Africa yoote na bado mmezubaa tu, mko na potential kama pia uganda πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Sasa comoro hata million moja hawafiki hyo njaa wanaitolea wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…