Maamuzi ya chama ndio dira.. Sio kelele za wapambeKwa nini wapambe wa Lissu hawataki akutane na Mbowe kwenye debe? Yaani Lissu kwa nini apite bila ushindani? Kuna mtu kamuengua Lissu? So yuko kwenye mpambano? Sasa mnalia nini?.
Huyu jamaaa kazingua parefu kinoma hivi Kwa miaka 20 anataka kutupa nini kipya ambacho Kwa muda wote huo hajakideliver?Hiyo ni kweli mkuu ila mbowe kuna namna ametuvunja moyo wanachadema.
Hivyo!😂😂😂🤣🤣🤣hii kali sana
Umbea na Majungu😂
Wakati wewe unaiombea chadema wachawa wanakula miposho wanajenga Hadi magorofaInapitishwa katika njia ngumu mno iliyojaa miba, mbigili na kila aina ya uchafu kisa wasiyempenda anagombea uenyekiti taifa!
Ni kwavile tu ni wazito wa kusoma alama za nyakati. Lakini huu ni wakati wa Lissu. Simple and clear.
Kadiri mamlaka zinavyozidi kuleta chokochoko nyuma ya pazia ndivyo wanavyozidi kumjenga na kumuongezea hamasa na support!
Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.
Mwamba asikubali kabisa kutumika kwa namna yoyote ile! Anawajua fika chama chawala ni nani.
Napata hisia za ndani kwamba yote anayofanya kwasasa ni mbinu ya kuwazubaisha maadui wazipate picha halisi na atakuja kujitoa mwishoni na kumuunga mkono makamu wake.
Na ndio maana katika MOJA ya hotuba zake alisema CHADEMA KITATOKA SALAMA KWENYE HUU UCHAGUZI KIKIWA WAMOJA IMARA NA WENYE NGUVU ZAIDI
Mungu BABA ibariki na kuilinda CHADEMA. Ni wakati wa Lissu💪🏿📌🔨
View attachment 3182144
Kumbe ndiyo anaanza kufanyiwa maandalizi ya ku-take off majukumu ya Mzee wakeJames yupo karibu sana na shughuli za mzee wake pia yupo karibu na wanaharakati
Kwenye wale wabunge wa COVID Mbowe, Mnyika, Kigaila na Wenje wanakua vizuri nini wamefanya.
Wote tuungane tuanzishe campaign ya MBOWE MUST GO ili tuinusuru chademaInapitishwa katika njia ngumu mno iliyojaa miba, mbigili na kila aina ya uchafu kisa wasiyempenda anagombea uenyekiti taifa!
Ni kwavile tu ni wazito wa kusoma alama za nyakati. Lakini huu ni wakati wa Lissu. Simple and clear.
Kadiri mamlaka zinavyozidi kuleta chokochoko nyuma ya pazia ndivyo wanavyozidi kumjenga na kumuongezea hamasa na support!
Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.
Mwamba asikubali kabisa kutumika kwa namna yoyote ile! Anawajua fika chama chawala ni nani.
Napata hisia za ndani kwamba yote anayofanya kwasasa ni mbinu ya kuwazubaisha maadui wazipate picha halisi na atakuja kujitoa mwishoni na kumuunga mkono makamu wake.
Na ndio maana katika MOJA ya hotuba zake alisema CHADEMA KITATOKA SALAMA KWENYE HUU UCHAGUZI KIKIWA WAMOJA IMARA NA WENYE NGUVU ZAIDI
Mungu BABA ibariki na kuilinda CHADEMA. Ni wakati wa Lissu💪🏿📌🔨
View attachment 3182144
Chini humo ndo chadema Ipo CCM inaionea huruma kuifukia
MBOWE MUST GONi haki yao..
Baada ya uchaguzi mpasuko utakuwepo. Kukinusuru chama na mpasuko mkubwa bora wote wawili waenguliwe.Ukitumia akili ya kawaida huwez elewa huu mpango ila lisu anaenda kuwa mwenyekht
Mjomba wakuombewa ni wewe si kwa kuhangaika uko na story jumba lenu linawaka badala kutafuta suluhisho la kuzima moto unahangaika na majirani uko na siasa za kizamaniInapitishwa katika njia ngumu mno iliyojaa miba, mbigili na kila aina ya uchafu kisa wasiyempenda anagombea uenyekiti taifa!
Ni kwavile tu ni wazito wa kusoma alama za nyakati. Lakini huu ni wakati wa Lissu. Simple and clear.
Kadiri mamlaka zinavyozidi kuleta chokochoko nyuma ya pazia ndivyo wanavyozidi kumjenga na kumuongezea hamasa na support!
Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.
Mwamba asikubali kabisa kutumika kwa namna yoyote ile! Anawajua fika chama chawala ni nani.
Napata hisia za ndani kwamba yote anayofanya kwasasa ni mbinu ya kuwazubaisha maadui wazipate picha halisi na atakuja kujitoa mwishoni na kumuunga mkono makamu wake.
Na ndio maana katika MOJA ya hotuba zake alisema CHADEMA KITATOKA SALAMA KWENYE HUU UCHAGUZI KIKIWA WAMOJA IMARA NA WENYE NGUVU ZAIDI
Mungu BABA ibariki na kuilinda CHADEMA. Ni wakati wa Lissu💪🏿📌🔨
View attachment 3182144
Chedema ndo Ipo ndani ya shimo CCM ndo anasikilizia mchanga ili aizike kabisa
Acheni watu waongee bwana, unataka awe Bubu? Kuna faida gani ya kutoongea haswa kwa Nchi ina mambo mengi ya hovyo hiviShida ni huyu banamdogo anaongea sana
Sasa rasmi ni chaga development management (chadema) karibu chauma mkuu.Huyu jamaaa kazingua parefu kinoma hivi Kwa miaka 20 anataka kutupa nini kipya ambacho Kwa muda wote huo hajakideliver?
Hiyo imependeza zaidi!