Tuiombee sana CHADEMA

Wakati watu wakimsema mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema muda mrefu wewe na wenzako mkasema ndio demokrasia nyinyi wanachama ndio munaamua kiongozi aendelee au asiendelee Sasa imekuaje leo mnapiga kelele
Kimya cha rafiki kinaumiza kuliko kelele za adui
 
Tusubiri tuone
 
Wamewekeza pesa ndefu kuiua CHADEMA na TLS ya Mwabukusi maana wanajua kwa hakika hiyo ndio pona yao🤬🤬🤬
 
N
Mbowe ni Al Assad wa Chadema, hakuwa na haja ya kusema yote aliyosema jana kama angekuwa na nia ya kutokugombea.

Huyo ameshakuwa tatizo tayari.
Tena ni tatizo ZITO, KUU, NENE, OVU. . . . . .aaah!
 
Anasema ye tajiri kwa mali za urithi wa baba yake! Anasema cdm ni yake kwa kurishishwa na ba mkww. Ye Hana hata chake Kila kitu urithi
 
Je CHADEMA ni kweli haijielewi kabisa kwa sasa,je viongozi wamefika pahala ambapo hawajielewi ,wala kuthamini ukombozi ,hadi CHADEMA ihitaji maombi?yaani tuamini sasa kwamba ile CHADEMA ambayo hadi sasa watanzania walio wengi bado wanaiamini haipo kwa sasa? CHADEMA ile imara imetoweka kabisa? kama itakuwa hivyo kama tunavyoona basi CCM ihakikishe tunarudi haraka sana kwenye mfumo wa chama kimoja, itatusaidia sana kuliko kuishi na wapinzani ambao ni wasanii na waongo tena walikalia kazi za kufanya deals kwenye siasa.
 
Hivi kwanini tunashikwa na upofu wa kutoona mkono wa CCM kwenye kuiyumbisha CHADEMA?hasa baada ya Lissu kuamua kugombea nafasi kubwa?
 
Hayo yatakuwa matumizi mabaya ya maombi. Tuna mambo ya muhimu ya kuombea bwashee.
 
Hivi kwanini tunashikwa na upofu wa kutoona mkono wa CCM kwenye kuiyumbisha CHADEMA?hasa baada ya Lissu kuamua kugombea nafasi kubwa?
Usiamini kwenye upofu kiongozi unachotakiwa kujiuliza ni kwa nn Tanzania ina wapinzani wa hovyo,Hv unadhani haya yanatokea kwa Tanzania tu,vyama tawala hiyo ndio kazi yao ww ulitaka wawaache bila kuweka propaganda zao.Kikubwa hapa ni kitu kimoja tu nacho ni UIMARA wa viongozi wa vyama pinzani basi,ukiona chama kinajinasibu kina zaidi ya miaka 25 kwenye upinzani na kinaishia kulumbana kisa kugombea uongozi ndani ya Chama kwa njia za kidemokrasia,basi ujue hicho chama hata kikipewa dola hakijajiandaa,lazima mjue kama chama mnataka nini. Unaimba Demokrasia halafu hiyo Demokrasia ikihamia ndani ya Chama chako unaloose control,unachanganyikiwa na hutaki.Kubali viongozi wetu wa vyama pinzani hawajajipanga kwa lolote.Ukiyumbishwa ukapuuza ujinga huo ujue umekomaa.
 
Turning and turning in the widening gyre The falcon cannot hear the falconer; Things fall apart; the centre cannot hold; Mere anarchy is loosed upon the world.
 
Mbowe ni Al Assad wa Chadema, hakuwa na haja ya kusema yote aliyosema jana kama angekuwa na nia ya kutokugombea.

Huyo ameshakuwa tatizo tayari.
Mzee Lipumba na Cheyo watusamehe sana kwa kuwazodoa kwamba wameng’ang’ania madaraka muda mrefu. It seems hii ni hulka ya mapandikizi yote..
 
Hao wamejipotezea heshima Kwa tamaa zao .

MTU Una miaka 60s umeshakuwa na kila kitu ambacho binadamu anastahili Kuwa nacho
Heshima ,pesa na umaarufu Ila unakosa maono na upeo mzuri wa kuzisoma nyakati.
 
Ukitumia akili ya kawaida huwez elewa huu mpango ila lisu anaenda kuwa mwenyekht
Never, ni uwongo huu.
Ndani ya Chadema wapi mamluki wengi Sana waliopandikizwa na Tiss.
Hata yule aliyekuwa msemaji wao ni undercover wa Tiss. Mbowe atashinda, Tundu Lisu kamwe hawezi kushinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…