Tuisaidie Taifa Start ili nchi isipate aibu!

Tuisaidie Taifa Start ili nchi isipate aibu!

issa ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
1,319
Reaction score
260
wadau tz tunameshapigwa hadi muda huu,hivi kwel huyu kocha anaefundisha timu yetu alipotoka kuja hapa alikuwa kocha au muuza nyanya?

Kwasababu timu ni ya kwetu kuna haja ya kwenda kumpokea kwa mabango ya kumkataa siku wanarudi,sijawahi kuona tunazidiwa kwa kiasi hiki japo tunecheza na timu nyingi sana huko nyuma.

Timu ipo ipo hata hawaeleweki wanafanya nini uwanjanni mpaka mtangazaji anatukana sana anasema Tanzanians full of running ..this is shame


Mimi siku zote nitalia na Jamal Malinzi. Kulikuwa na sababu gani ya kumfukuza Kim Poulsen?
Sasa katuletea kocha mbovu kupita maelezo.

Uchaguzi ujao TFF itamgharimu hili. Sijakuona uninspiring kocha kama huyu. Katoka Uholanzi ya wapi huyu?
 
Kwasababu timu ni ya kwetu kuna haja ya kwenda kumpokea kwa mabango ya kumkataa siku wanarudi,sijawahi kuona tunazidiwa kwa kiasi hiki japo tunecheza na timu nyingi sana huko nyuma.Timu ipo ipo hata hawaeleweki wanafanya nini uwanjanni mpaka mtangazaji anatukana sana anasema Tanzanians full of running ..this is shame
 
Ni bora ukayaangalia mavi kuliko mchezo wa Leo,hapa tayari tushafungwa 2-0 dakka ya 42 haiwezekani tukaendelea kulea huu ugoro ...Nohji must not come back to Tz
 
jamalmalinzi njoo hapa utupe cv ya huyu kocha wako,ulimfukuza paulsen kwa mbwembwe nyingi ,hii haobu ya soka itakuwa juu yako
 
Last edited by a moderator:
Kocha hana mipango, na TFF hawapo makin na wanachokifanya, wanakera mpka basi yan
 
Mimi siku zote nitalia na Jamal Malinzi. Kulikuwa na sababu gani ya kumfukuza Kim Poulsen?
Sasa katuletea kocha mbovu kupita maelezo. Uchaguzi ujao TFF itamgharimu hili.
Sijakuona uninspiring kocha kama huyu.
Katoka Uholanzi ya wapi huyu?
 
Anaboa kishenzi hyo malinzi, yan ana akili fupi katubadilishia hadi rangi ya jezi zetu, katuletea ambazo hazina hata rangi ya bendera yetu ya taifa, sijui wa wapi huyu
 
Tukaandamane uwanja wa taifa aishie hko hko hatumtak mpuuz huyu
 
Tatizo sio kocha tu...tatizo ni sisi kukubali.. Wanasiasa..matapeli... na watu wasiojua soka kuongoza mpira wetu..Nashukuru leo kila mtu anajionea majanga ya soka letu Tanzania Mimi nashauri kama kunauwezekano rais angeingilia kati afumue sekta ya michezo inayoongozwa na Ndugu Wakili matapeli...hiyo kocha ageuzie uko uko... Na raid akishindwa sisi tuwapopolie mawe mawe malinzi na Ndugu zake watupishe. What a shame mpira gani wa mwaka arobaini na saba vioaji tunavyo maskin kila basi hatuna mwongozo nchi hii sijui tumemkosea nini Mungu yaani hakuna tunachoweza duniani zaidi ya kuwa wajinga
 
Bora ingeenda Ndanda kuchele ningeshabikia kuliko hii timu!..
Sasa kwa sababu hawasikii hakuna namna nyingine wapigwe tuu.
 
Bongoland bichwa la chizi...inafungwa na kila timu ht za wavuvi......
 
sijui huyu mzungu ni mwanamichezo kweli maana hiyo timu aliyoipeleka ni aibu bora timu ingekua hiv
1.MUSTAPHA(bartez)
2.HASSAN KESSY/LUHENDE
3.JUMA ABDUL
4.MBONDE
5.MORIS AGREY/YONDAN
6.MKUDE
7.MSUVA
8.DOMAYO
9.MANDAWA/AJIBU
10.singano/busungu
11.NGASSA
Hyo timu uliyo ipeleka labda ikashiriki ccm cup
 
Kusema kweli hii ni aibu ya Karne,bora hata kocha Wa yanga anaweza kuwa na vyeti vya ukocha,sidhani kama huyu mpuuzi ni kocha kweli ...ila hatakiwi kurudi labda arudi kwa njia za panya asipite pale jnia
 
Hadi sasa timu yetu imeshachapwa mabao mawili na madagascar sioni striking force sioni kama boko anaweza kufunga sioni anachocheza oscar joshua....mbonde leo xenophobia umeiweza ...
 
Wachezaji wetu tatizo Jani. Wanavuta sana ile kitu. Pili, lugha haipandi. Ung'eng'e kwao ni mama mkwe. Kocha afanyaje? Afundishe kizaramo!
 
Tatizo sio kocha tujiulize malinzi's ni watu vwa mpira au niwapigaji... Jiulizeni kwa nini wakina tenga hawakuwataka kwani walijua hawa ni wapigaji na sio watu wa mpira. Kocha asilaumiwe huyo kawekwa makusudi kusudi wapige pesa... Anagawana nao mshahara hata FIFA hawamtambui
 
Back
Top Bottom