Tuishi hivi kujiepusha na changamoto za akili

Tuishi hivi kujiepusha na changamoto za akili

Slim5

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
28,203
Reaction score
37,906
  1. Usijishughulishe kumtafuta Asiekutafuta
  2. Punguza ama acha kabisa kuomba! Kufa Kijerumani.
  3. Zungumza kilicho muhimu tu ili kujiepusha na yanaoepukika!
  4. Atakethubutu kukuonyesha dharau, confront Him/Her immediately.
  5. Usile Chakula cha Mtu zaidi ya aLIvyokula cha Kwako!
  6. Punguza vile unawatembelea Watu kama na wao hawakutembelei!
  7. Wekeza Juu yako, Jipe Furaha!
  8. Jiweke mbali na mambo za Kimbea unless zinakuletea Hela.
  9. Chagua cha kusema, watu watakuValue kwa kile wanachoskia kutoka kwako!
  10. Dress the way you should be addressed. Vaa Hovyo tukuone wa hovyo!
  11. Heshimu muda wako.
  12. Don't stay in a relationship where you don't feel respected and valued. Sepa zako tu. They will respect your ABSENCE!
  13. Learn to spend money on yourself. That's how people will learn to spend on you. Jionyeshe kuwa wewe ni wa Expenses fulani.
  14. Be scarce sometimes. Usiwe Mtu wa kupatikana Majira yote, Ukiitwa Mchana upo, Jioni upo, Asubuhi upo, weekdays unapatikana ... weekend unapatikana... No!
  15. Usile vya watu kama huna mipango nao! Kuwa Mtoaji zaidi kuliko Mpokeaji! Inaongeza Heshima yako!
  16. Don't go where you are not invited. And when invited don't overstay your welcome.
  17. Treat people exactly the way you want to be treated. Usipoteze muda kutaka kuwabadilisha Watu!
  18. Labda kama Mtu unamdai Hela, kinyume cha hapo usipige simu zaidi ya 2 kama mtu hapokei! Na asipokurudia kausha!
  19. Chochote unachofanya, fanya kwa ubora wa Juu kabisa
  20. Wafanyie wema, wasiposhukuru usiombe shukrani! Watumie Salio, Internet bundle kisha usipige simu kuuliza kama wameona ama laaah! Hifadhi SMS, siku wakiomba tena tuma ile SMS!
 
IMG_20241231_164052_104.jpg
 
Shida ni kwamba kizazi cha sasa tumeingiwa na ubinafsi sana. Matokeo yake kila mtu anajifikiria yeye na kusahau kujitoa kwa wengine. Na akijotoa anajitoa kwa malengo ya kupokea maradufu ya alichotoa.

Ukitaka kulijua hili jaribu kuwa mkarimu na watu kwa kujitoa utaona usumbufu na ukaribu watakaofosi kwako. Kimsingi shida ilianza na aina ya familia tulizojenga miaka ya kuanzia 1980's. Watoto wa kizazi hicho ndio watu wazima wa sasa.

Tulizoea kuletewa kila kitu bila kushiriki kutafuta. Zamani watoto na wazazi walifanya mambo pamoja kama kulima,kuvuna, kutazama mifugo,na mambo ya kijamii. Ila kizazi cha 1980's mostly hawa tuliokulia mijini tulilelewa na utamaduni wa ajabu sana.

Watoto tunaletewa kila kitu kuanzia nguo,chakula,vitu vya kuchezea bila kujua vinatoka wapi. Baba pekee ndie alikuwa mtafutaji ila mama na watoto tukawa tunasema tunachotaka na kupewa.

Matokeo yake ile mentality ya kupewa ndio imekomaa kichwani kwahiyo code ya maisha tunayoielewa ni kupewa ndio upendo na sio kutoa.

Kuna wazazi wamewafunza watoto wao tofauti kimalezi kwa kuwafundisha kujitoa,kushiriki sana mambo ya wengine, kumsaidia mtu bila kutaraji malipo,kuthamini zaidi mahitaji ya wengine, kupambana kutafuta kwaajiri ya wengine na kadhalika na ndio hao sasa wamekuwa watu wazima wa kutegemewa kwenye hii jamii ya sasa na wanazongwa na watu wanaowapenda na kuwa muhimu kwenye jamii.

Ila kwa wastani wale ambao tumekuwa makuzi ya kuishi kivyetu, wazazi hawahangaiki na kutushirikisha maswala la kupanga bajeti za maisha,hawakututengenezea utamaduni wa kushirikiana na ndugu au wanajamii wengine kwa kujitoa kimasomaso kuwasaidia na kuwatatulia shida zao,ndio hawa sasa tumekuwa watu wazima tunaona kusaidia wengine ni kujidhurumu au ni pata potea,tusipopewa chochote tunahisi hatupendwi au kujaliwa,tunatafuta cha kututosha wenyewe akija mwenye shida tunamuona kama hana utimamu wa akili kwa kutaka kutumia tulichotafuta kama ni chake au kinamhusu.

So hizo formula ulizozisema zinaweza kuwa suluhu ya muda ya hizi changamoto za mahusiano ya kijamii tunazopitia ila nikwambie tu kuwa kuna picha kubwa ambayo hatuitazami na ndio inatutesa.

Unaweza kusema watu wamekuwa wa hovyo siku hizi ila chunguza mwenendo wako na wa kila m'moja utaelewa kuwa tunachangamoto za kimalezi zinatutafuna kama descendants au uzao wa toleo la wazazi waliolea watoto nje ya mfumo wa tamaduni zetu za asili za kuishi kijamaa kama wanajamii.
 
Shida ni kwamba kizazi cha sasa tumeingiwa na ubinafsi sana. Matokeo yake kila mtu anajifikiria yeye na kusahau kujitoa kwa wengine. Na akijotoa anajitoa kwa malengo ya kupokea maradufu ya alichotoa.

Ukitaka kulijua hili jaribu kuwa mkarimu na watu kwa kujitoa utaona usumbufu na ukaribu watakaofosi kwako. Kimsingi shida ilianza na aina ya familia tulizojenga miaka ya kuanzia 1980's. Watoto wa kizazi hicho ndio watu wazima wa sasa.

Tulizoea kuletewa kila kitu bila kushiriki kutafuta. Zamani watoto na wazazi walifanya mambo pamoja kama kulima,kuvuna, kutazama mifugo,na mambo ya kijamii. Ila kizazi cha 1980's mostly hawa tuliokulia mijini tulilelewa na utamaduni wa ajabu sana.

Watoto tunaletewa kila kitu kuanzia nguo,chakula,vitu vya kuchezea bila kujua vinatoka wapi. Baba pekee ndie alikuwa mtafutaji ila mama na watoto tukawa tunasema tunachotaka na kupewa.

Matokeo yake ile mentality ya kupewa ndio imekomaa kichwani kwahiyo code ya maisha tunayoielewa ni kupewa ndio upendo na sio kutoa.

Kuna wazazi wamewafunza watoto wao tofauti kimalezi kwa kuwafundisha kujitoa,kushiriki sana mambo ya wengine, kumsaidia mtu bila kutaraji malipo,kuthamini zaidi mahitaji ya wengine, kupambana kutafuta kwaajiri ya wengine na kadhalika na ndio hao sasa wamekuwa watu wazima wa kutegemewa kwenye hii jamii ya sasa na wanazongwa na watu wanaowapenda na kuwa muhimu kwenye jamii.

Ila kwa wastani wale ambao tumekuwa makuzi ya kuishi kivyetu, wazazi hawahangaiki na kutushirikisha maswala la kupanga bajeti za maisha,hawakututengenezea utamaduni wa kushirikiana na ndugu au wanajamii wengine kwa kujitoa kimasomaso kuwasaidia na kuwatatulia shida zao,ndio hawa sasa tumekuwa watu wazima tunaona kusaidia wengine ni kujidhurumu au ni pata potea,tusipopewa chochote tunahisi hatupendwi au kujaliwa,tunatafuta cha kututosha wenyewe akija mwenye shida tunamuona kama hana utimamu wa akili kwa kutaka kutumia tulichotafuta kama ni chake au kinamhusu.

So hizo formula ulizozisema zinaweza kuwa suluhu ya muda ya hizi changamoto za mahusiano ya kijamii tunazopitia ila nikwambie tu kuwa kuna picha kubwa ambayo hatuitazami na ndio inatutesa.

Unaweza kusema watu wamekuwa wa hovyo siku hizi ila chunguza mwenendo wako na wa kila m'moja utaelewa kuwa tunachangamoto za kimalezi zinatutafuna kama descendants au uzao wa toleo la wazazi waliolea watoto nje ya mfumo wa tamaduni zetu za asili za kuishi kijamaa kama wanajamii.
You nailed it! Imekaaa vizuri sana! Kuna cha kujifunza!
 
  1. Usijishughulishe kumtafuta Asiekutafuta
  2. Punguza ama acha kabisa kuomba! Kufa Kijerumani.
  3. Zungumza kilicho muhimu tu ili kujiepusha na yanaoepukika!
  4. Atakethubutu kukuonyesha dharau, confront Him/Her immediately.
  5. Usile Chakula cha Mtu zaidi ya aLIvyokula cha Kwako!
  6. Punguza vile unawatembelea Watu kama na wao hawakutembelei!
  7. Wekeza Juu yako, Jipe Furaha!
  8. Jiweke mbali na mambo za Kimbea unless zinakuletea Hela.
  9. Chagua cha kusema, watu watakuValue kwa kile wanachoskia kutoka kwako!
  10. Dress the way you should be addressed. Vaa Hovyo tukuone wa hovyo!
  11. Heshimu muda wako.
  12. Don't stay in a relationship where you don't feel respected and valued. Sepa zako tu. They will respect your ABSENCE!
  13. Learn to spend money on yourself. That's how people will learn to spend on you. Jionyeshe kuwa wewe ni wa Expenses fulani.
  14. Be scarce sometimes. Usiwe Mtu wa kupatikana Majira yote, Ukiitwa Mchana upo, Jioni upo, Asubuhi upo, weekdays unapatikana ... weekend unapatikana... No!
  15. Usile vya watu kama huna mipango nao! Kuwa Mtoaji zaidi kuliko Mpokeaji! Inaongeza Heshima yako!
  16. Don't go where you are not invited. And when invited don't overstay your welcome.
  17. Treat people exactly the way you want to be treated. Usipoteze muda kutaka kuwabadilisha Watu!
  18. Labda kama Mtu unamdai Hela, kinyume cha hapo usipige simu zaidi ya 2 kama mtu hapokei! Na asipokurudia kausha!
  19. Chochote unachofanya, fanya kwa ubora wa Juu kabisa
  20. Wafanyie wema, wasiposhukuru usiombe shukrani! Watumie Salio, Internet bundle kisha usipige simu kuuliza kama wameona ama laaah! Hifadhi SMS, siku wakiomba tena tuma ile SMS!
Sina neno naangalia tu na kusoma
 
  1. Usijishughulishe kumtafuta Asiekutafuta
  2. Punguza ama acha kabisa kuomba! Kufa Kijerumani.
  3. Zungumza kilicho muhimu tu ili kujiepusha na yanaoepukika!
  4. Atakethubutu kukuonyesha dharau, confront Him/Her immediately.
  5. Usile Chakula cha Mtu zaidi ya aLIvyokula cha Kwako!
  6. Punguza vile unawatembelea Watu kama na wao hawakutembelei!
  7. Wekeza Juu yako, Jipe Furaha!
  8. Jiweke mbali na mambo za Kimbea unless zinakuletea Hela.
  9. Chagua cha kusema, watu watakuValue kwa kile wanachoskia kutoka kwako!
  10. Dress the way you should be addressed. Vaa Hovyo tukuone wa hovyo!
  11. Heshimu muda wako.
  12. Don't stay in a relationship where you don't feel respected and valued. Sepa zako tu. They will respect your ABSENCE!
  13. Learn to spend money on yourself. That's how people will learn to spend on you. Jionyeshe kuwa wewe ni wa Expenses fulani.
  14. Be scarce sometimes. Usiwe Mtu wa kupatikana Majira yote, Ukiitwa Mchana upo, Jioni upo, Asubuhi upo, weekdays unapatikana ... weekend unapatikana... No!
  15. Usile vya watu kama huna mipango nao! Kuwa Mtoaji zaidi kuliko Mpokeaji! Inaongeza Heshima yako!
  16. Don't go where you are not invited. And when invited don't overstay your welcome.
  17. Treat people exactly the way you want to be treated. Usipoteze muda kutaka kuwabadilisha Watu!
  18. Labda kama Mtu unamdai Hela, kinyume cha hapo usipige simu zaidi ya 2 kama mtu hapokei! Na asipokurudia kausha!
  19. Chochote unachofanya, fanya kwa ubora wa Juu kabisa
  20. Wafanyie wema, wasiposhukuru usiombe shukrani! Watumie Salio, Internet bundle kisha usipige simu kuuliza kama wameona ama laaah! Hifadhi SMS, siku wakiomba tena tuma ile SMS!
Kila mtu ana formula yake ya maisha usikariri.
 
Shida ni kwamba kizazi cha sasa tumeingiwa na ubinafsi sana. Matokeo yake kila mtu anajifikiria yeye na kusahau kujitoa kwa wengine. Na akijotoa anajitoa kwa malengo ya kupokea maradufu ya alichotoa.

Ukitaka kulijua hili jaribu kuwa mkarimu na watu kwa kujitoa utaona usumbufu na ukaribu watakaofosi kwako. Kimsingi shida ilianza na aina ya familia tulizojenga miaka ya kuanzia 1980's. Watoto wa kizazi hicho ndio watu wazima wa sasa.

Tulizoea kuletewa kila kitu bila kushiriki kutafuta. Zamani watoto na wazazi walifanya mambo pamoja kama kulima,kuvuna, kutazama mifugo,na mambo ya kijamii. Ila kizazi cha 1980's mostly hawa tuliokulia mijini tulilelewa na utamaduni wa ajabu sana.

Watoto tunaletewa kila kitu kuanzia nguo,chakula,vitu vya kuchezea bila kujua vinatoka wapi. Baba pekee ndie alikuwa mtafutaji ila mama na watoto tukawa tunasema tunachotaka na kupewa.

Matokeo yake ile mentality ya kupewa ndio imekomaa kichwani kwahiyo code ya maisha tunayoielewa ni kupewa ndio upendo na sio kutoa.

Kuna wazazi wamewafunza watoto wao tofauti kimalezi kwa kuwafundisha kujitoa,kushiriki sana mambo ya wengine, kumsaidia mtu bila kutaraji malipo,kuthamini zaidi mahitaji ya wengine, kupambana kutafuta kwaajiri ya wengine na kadhalika na ndio hao sasa wamekuwa watu wazima wa kutegemewa kwenye hii jamii ya sasa na wanazongwa na watu wanaowapenda na kuwa muhimu kwenye jamii.

Ila kwa wastani wale ambao tumekuwa makuzi ya kuishi kivyetu, wazazi hawahangaiki na kutushirikisha maswala la kupanga bajeti za maisha,hawakututengenezea utamaduni wa kushirikiana na ndugu au wanajamii wengine kwa kujitoa kimasomaso kuwasaidia na kuwatatulia shida zao,ndio hawa sasa tumekuwa watu wazima tunaona kusaidia wengine ni kujidhurumu au ni pata potea,tusipopewa chochote tunahisi hatupendwi au kujaliwa,tunatafuta cha kututosha wenyewe akija mwenye shida tunamuona kama hana utimamu wa akili kwa kutaka kutumia tulichotafuta kama ni chake au kinamhusu.

So hizo formula ulizozisema zinaweza kuwa suluhu ya muda ya hizi changamoto za mahusiano ya kijamii tunazopitia ila nikwambie tu kuwa kuna picha kubwa ambayo hatuitazami na ndio inatutesa.

Unaweza kusema watu wamekuwa wa hovyo siku hizi ila chunguza mwenendo wako na wa kila m'moja utaelewa kuwa tunachangamoto za kimalezi zinatutafuna kama descendants au uzao wa toleo la wazazi waliolea watoto nje ya mfumo wa tamaduni zetu za asili za kuishi kijamaa kama wanajamii.
Pumba tupu.
 
Unashangaa na haya mawaidha ya mleta mada, akiweka simu mfukoni anarudi kuyafanya haya anayosema tusiyafanye
Anyway, good thread
Was this thread helpful?
Yes
No
 
Unashangaa na haya mawaidha ya mleta mada, akiweka simu mfukoni anarudi kuyafanya haya anayosema tusiyafanye
Anyway, good thread
Was this thread helpful?
Yes
No
Haaaaah Haaaah Haaaah! Au ndo ile fuateni maneno yng ... msifuate Matendo yng
 
  1. Punguza vile unawatembelea Watu kama na wao hawakutembelei!
Kuna jamaa yangu mmoja family friend way back tulikua very close, tunatembeleana, familia zinajuana nk. Kuna siku nikawa na event home nikamualika, hakuja. Siku nikakutana nae maana tunaishi mji mmoja akajitetea yakaisha. Second time tena nikamualika, hakuja. Third time hakuja! Juzi december akawa na event, akanialika nikajibu tu asante. Sikwenda. Januari hii na mimi nilikua na event, sikuona haja ya kumualika.
  1. Labda kama Mtu unamdai Hela, kinyume cha hapo usipige simu zaidi ya 2 kama mtu hapokei! Na asipokurudia kausha!
Sio simu tu, mimi hata meseji huwa situmi ya pili kama ya kwanza haijajibiwa. Nikituma msg hujajibu ndio mazungumzo yanishia hapo.
 
Back
Top Bottom